Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Apo sawasirudiii tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo sawasirudiii tena
Ha haaaaUtakuwa danga chee sio bure 😀
Pole sanaWanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat.
Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani tupate wa kutoongoza, single ni shida kuna mda unataman mtu akupe maelekezo icho usifanye, kule usiende n.k
Mungu alituumba kwa pair tusidanganyane usingle ni mateso ni shida japo ndoa zingine ni changamoto ila ukipata mtu sahihi ndoa nahisi ni tamu sana.
Amehlo,kama uko single njoo basi tuwe double maisha ndo haya.kwani ukiwa single ndo hauliwi😂😂😂
sijaolewa means niko single haiingiliani na kukulwa au kuliwa au kula😉