Wanawake mlio kwenye ndoa waheshimuni waume zenu na ndoa zenu

Wanawake mlio kwenye ndoa waheshimuni waume zenu na ndoa zenu

kwani ukiwa single ndo hauliwiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚




sijaolewa means niko single haiingiliani na kukulwa au kuliwa au kulaπŸ˜‰
Mimi Nimeuliza kama watu wanakukula vizuri?? Sikusema kama hauliwi...Najua kama unaliwa....Hiyo ni "obvious question"...
 
Mbona huwambii wanaume wawaheshimu wake zao maana nao wamekubali kuishi nao?? Any way KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Wewe hutakaa uolewe, na ukiolewa utakua mjane ndani ya week 1
Kwanini

kutofautiana hoja humu basi kusikufanye uone everyone is BAD

am a good person and s not necessary to prove to anybody. Take your time and rest πŸ™πŸΎ
 
Huwa hawaelewi hadi waachike.
Akili zao ni sawa na wanafunzi wa kike wakionywa kuhusu mapenzi hawasikii hadi wakishadungwa mimba.
 
Kwa upande wanawake mnatakiwa kufukuzana na umri. Ukigonga 30+ hapo market value inashuka na hata uzazi pia unaanza kusumbua.
30 ndo umri ambao wanawake wengi hua tunakumbuka shuka kumekucha
 
Ndoa kwa usawa huu haina hata maana sababu vya ndoani vinapatikana hata wasio ndoani tena kwa ubora unaozidi
Ndoa inamlinda mwanamke, mke ukiachwa unaondoka na mgao tofauti na ukiwa girlfriend tu.
 
Back
Top Bottom