Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ hapo kwanza nchekeacha roho mbaya,,anataka mume mwenzio,, Mungu amjaalie tu kwakwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ hapo kwanza nchekeacha roho mbaya,,anataka mume mwenzio,, Mungu amjaalie tu kwakwel
C'mon baby girlπππππhee
Mimi Nimeuliza kama watu wanakukula vizuri?? Sikusema kama hauliwi...Najua kama unaliwa....Hiyo ni "obvious question"...kwani ukiwa single ndo hauliwiπππ
sijaolewa means niko single haiingiliani na kukulwa au kuliwa au kulaπ
dhambi zako baki nazo mwenyewe πππΎπΆπΎββοΈππππ hapo kwanza ncheke
Utakuwa danga chee sio bure πππππdah
mbona me naenjoy kuwa singleπ
na kweli sio bure ni mpaka hela π€Utakuwa danga chee sio bure π
Wewe hutakaa uolewe, na ukiolewa utakua mjane ndani ya week 1Good Observation
KwaniniWewe hutakaa uolewe, na ukiolewa utakua mjane ndani ya week 1
π hizi akili za wapiππππakati baby asiponipigia nanuna
ila kuwa singpe haimaanishi sina uhusiano niko single means sijaolewa β
Kwa upande wanawake mnatakiwa kufukuzana na umri. Ukigonga 30+ hapo market value inashuka na hata uzazi pia unaanza kusumbua.ila atulie bwan hizi papara zitamfanya aingie cha kiume
bahati mbayaπππ hizi akili za wapi
30 ndo umri ambao wanawake wengi hua tunakumbuka shuka kumekuchaKwa upande wanawake mnatakiwa kufukuzana na umri. Ukigonga 30+ hapo market value inashuka na hata uzazi pia unaanza kusumbua.
Jichanganyebahati mbayaππ
Ndoa inamlinda mwanamke, mke ukiachwa unaondoka na mgao tofauti na ukiwa girlfriend tu.Ndoa kwa usawa huu haina hata maana sababu vya ndoani vinapatikana hata wasio ndoani tena kwa ubora unaozidi
sirudiii tenaJichanganye
Story tu za kufunika uhalisia ni km icing sugar juu ya cakeNdoa inamlinda mwanamke, mke ukiachwa unaondoka na mgao tofauti na ukiwa girlfriend tu.