Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
hapana mi napenda mjologobaTangoz au kale kabomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana mi napenda mjologobaTangoz au kale kabomba
😂😂😂 Dharau kufokewa na kibamia.🤣🤣🤣🤣 Wee nifalaaa sasa jamani kibamia changu kinahusika vipi tena.
Ah wee nina kibamia alafu nina hela wala sikufokei wee mwenyewe tuu utaniheshimu
Umesnishinda tabiahapana mi napenda mjologoba
Na sie wwnye vibamia ndio tuna pesa ati....yaani wenyewe mnavumilia sie kuwachafua....inabidi muende kwa maex wenu wakawanyandue vizuri😂😂😂 Dharau kufokewa na kibamia.
Ila km una pesa sawa hapo hata ukifoka huonekani km mtu aliyerukwa na akili.
Kitu sipendi kufua, kifupi mikazi ya nyumbani yote siipendi, sasa ndio niishi na toto la mtu linipelekeshe.!! Hapana kwakweli, tuishi kila mtu kwake, tukimisiana tutakutana. 😂😂😂😂imagine 😂😂😂kufua majeans woooi
akati tukimisiana ndo tunaonana
Ss hivi tuna pesa zetu tunachagua wa kuwa naye, yani na sisi tunawachezea km mpira 😂😂😂Na sie wwnye vibamia ndio tuna pesa ati....yaani wenyewe mnavumilia sie kuwachafua....inabidi muende kwa maex wenu wakawanyandue vizuri
Pesa zenu wapi nyie roho zinawauma kuzitumia. Hum hezei mtu bwana hapo mnapeana burudaniSs hivi tuna pesa zetu tunachagua wa kuwa naye, yani na sisi tunawachezea km mpira 😂😂😂
kwa kweliKitu sipendi kufua, kifupi mikazi ya nyumbani yote siipendi, sasa ndio niishi na toto la mtu linipelekeshe.!! Hapana kwakweli, tuishi kila mtu kwake, tukimisiana tutakutana. 😂😂😂😂
Haziumi, tena zinaleta jeuri asikwambie mtu Mr kiockra. Unaweza kumgomea mtu akikwambia kaa hivi, unamjibu sitaki km vipi tuache. 😂😂😂Pesa zenu wapi nyie roho zinawauma kuzitumia. Hum hezei mtu bwana hapo mnapeana burudani
Unaenjoy wapi, unajikaza tu ni kujitia moyo😂😂😂😂dah
mbona me naenjoy kuwa single🌚
Nyooo huna ubavu huo ukiwa ulishavuliwa kyupiHaziumi, tena zinaleta jeuri asikwambie mtu Mr kiockra. Unaweza kumgomea mtu akikwambia kaa hivi, unamjibu sitaki km vipi tuache. 😂😂😂
Sio kujitia moyo tuu, navingine pia anajitia🤣🤣🤣Unaenjoy wapi, unajikaza tu ni kujitia moyo
Subiri ferminists waje kukushambulia hapa.Wanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat.
Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani tupate wa kutoongoza, single ni shida kuna mda unataman mtu akupe maelekezo icho usifanye, kule usiende n.k
Mungu alituumba kwa pair tusidanganyane usingle ni mateso ni shida japo ndoa zingine ni changamoto ila ukipata mtu sahihi ndoa nahisi ni tamu sana.
Jamaniiii 🤣 ila wewe khaaaMwee utakuwa master wa masturbation
Nyiee sii mnajidai kutokusema ukwliJamaniiii 🤣 ila wewe khaaa
kwani kwenye ndoa kuna nini?kulala nayo na kuamka nayo tu? au nini haswaUnaenjoy wapi, unajikaza tu ni kujitia moyo
acha roho mbaya,,anataka mume mwenzio,, Mungu amjaalie tu kwakwelHuyu anawachora watu hapa.
Mtu anae ila ajaolewa.Unaenjoy wapi, unajikaza tu ni kujitia moyo
Baada ya kufikisha 40+ ndio umeanza kupata akiliWanawake mliokuwa kwenye ndo muheshimu waume zenu maana wamewapa heshima kubwa ya kuwaoa na kuwaweka ndani, wanawalisha na kuwavisha punguzeni midomo, gubu, dharau, jeuri, na baadhi yenu ku-cheat.
Huku nje ngumu jamani wenzenu tunatamani hizo ndoa lakini tunakutana na magumegume tunatamani tupate wa kutoongoza, single ni shida kuna mda unataman mtu akupe maelekezo icho usifanye, kule usiende n.k
Mungu alituumba kwa pair tusidanganyane usingle ni mateso ni shida japo ndoa zingine ni changamoto ila ukipata mtu sahihi ndoa nahisi ni tamu sana.