Wanawake mliofika 30+ acheni kutusumbua sisi washamba tunaovaa mashati ya vitenge na suruali za vitambaa

Babe wangu heri ya mwaka umeingia na kivumbi mpe huyu boya chake
 
Halafu ndio awe na nyash tena kijana yupo tayari hata kukopa ili wenzake waone anamiliki hiyo pisi .

Madogo wanapata pesa nyingi mno ila hawana cha maana wanatunza pisi zenye nyash na nyeupe🤣🤣🤣🤣
Yani huu ni ukweli mweupeeeee na wengi wanaumia sana ila Kila wakiambiwa kitaa "una pisi Kali" basi Wanavumilia maumivu
 
Wavaa vitegn umm
Tatizo la huyo jamaa
 
Hahahahaaa daah ila wee jamaa Bichwa wewe unanipaga raha sana
 
Huna soko mshangazi, hauna soko. Acha kujifariji wewe gazeti la jioni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…