Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Mufti Menk alishasema. Tafuta utaona somewhere 😃😃😃Mimi Bado sokolangu halijawa gumu sana😂😂 rafikizangu Wana watoto 2 au 3 washaolewa na kuachika wengine washaolewa Tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mufti Menk alishasema. Tafuta utaona somewhere 😃😃😃Mimi Bado sokolangu halijawa gumu sana😂😂 rafikizangu Wana watoto 2 au 3 washaolewa na kuachika wengine washaolewa Tena
Dah! Ngoja nikae pembeni niangalie kwanza mechi ya Simba v Wanyamwenga.Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
34 bado unajiona mrembo 🤣 jitahidi kuhudhuria kanisani wewe.Uchakavu upi kuna wanaume wanataka wanawake kama sis na 34 so siogopi kusema kwani lazima tuolewe humu my foot na katoto kadogo kana 31 kana taka kanioe na simtunzi ananitunza .
SO jipe shughuli kuna mwenzako alikuwa kama wewe kazi kuchukua mishangazi nyota zao sai analia na Mungu wake kachawi kabisa
Kama hana watoto wengi aliyempata sahizi anafaidi tu😁Ni kweli, halaf mbona kuna wanawake 40s huko lakin wako poa tu.
Mfano, mi wife kanipiga chini akiwa na 36 yrs na am sure anayemla bado anamfaidi tu maana si kwamba kachoka.
Sio kila mwanamke yuko desparate namna hiyo, kuna wengine wametuacha na si kwamba wana haja sana ya kuolewa
Hapa ndio napopenda mie, wanawake ujanja wote mwisho 28.
Akishagusa 29 anaanza kupanjc. Yupo mmoja hapa ni 29 anajua nina ngoma lakini anasema wee mzabzab nioe tu
I see😛😛😛 utaambiwa yy mzuri akitaka kuolewa dkTuwe tu wakweli 34 ushakwama
Hakuna mwanaume rijali atavutiwa na kikongwe cha miaka 34
K hadi zimeota sigda,🤣🤣🤣🤣Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Yaani ni balaa sasa mkuuK hadi zimeota sigda,🤣🤣🤣🤣
Yaani hao waendelee kwenye stage ya kuwa wanagongwa tu na kupewa pesa ya kujikimu tu.Yaani ni balaa sasa mkuu
4, wa kwaza yuko form 2Kama hana watoto wengi aliyempata sahizi anafaidi tu😁
Hapo hamna kitu, samahani lakini😂4, wa kwaza yuko form 2
Sana kama naita shida ipo wapi ???34 bado unajiona mrembo 🤣 jitahidi kuhudhuria kanisani wewe.
Unaita kwa nani mshangazi wewe??..Sana kama naita shida ipo wapi ???
Napewa lift napia naenda dinner naninalipiwa sio nalipa nasiendi guest kuilipia mlo niliopatq
UMezeeka sana mjomba huna hadhi namimi katafute wenzako mliopauka wote . Sura imechoka.Unaita kwa nani mshangazi wewe??..
Mnahela gani mmechoka maishaYaani hao waendelee kwenye stage ya kuwa wanagongwa tu na kupewa pesa ya kujikimu tu.
Hakuna kuwaweka ndani kinyumba,ni hatari kwa afya zetu,kilometa zimesoma sana
Ehh!!!😳😳😳Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Bila samahani..sasa kwann kaamua kusepa ndio kinachoniumiza kichwa, why?Hapo hamna kitu, samahani lakini😂
Dah!Wakati mpo wabichi wa miaka 19 mpaka 24, Sisi mlituona washamba.
Sisi mlituona hatuna swagger za watoto wa mjini.
Sisi mlituona tupo kama wazee wa kale.
Sisi mlituona tupo kama walimu wa vijijini.
Sasa kwanini mnatusumbua jua likiwa tayari limezama?? Shida ni nini?? Kwani wale wajanja wavaa raba, jinsi na t-shirts kali mliokuwa mnawapapatikia, kipi kimewatokeeni??
Leo hii wavaa vitenge ndio wamekuwa retirement plan baada ya kufanya um@laya wenu na K kuchakaa, eti??
Hayo magonjwa mliyoyaokota huko, mimi niyapeleke wapi??
Umefilisika mzee,Bila samahani..sasa kwann kaamua kusepa ndio kinachoniumiza kichwa, why?