Cauldron
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 362
- 586
Kwanini unavutiwa na wanaume waliooa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Navutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unavutiwa na wanaume waliooa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Navutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
msema kweli ndo Wewe... Wanaume wanajiaminisha kuwa wake zao hawachepuki yaani wangeyajua ya behind the scenes wangechanganyikiwa. Wanawake walioolewa si tu wanachepuka na waliooa bali hata hao vijana (viserengeti) kinachofanyika hapa ni usiri mkubwa kama bado anaipenda ndoa yake.. Ila mwanamke akiwa amemchoka mumewe haangaiki sana kujificha. Ndo mjue na sie tunabadilishaga ladha....Kutaman kupo pale pale, na muda mwingine tunajilipua km kawaida ila kwa usiri saaana.. Kila siku rungu moja mpk ufe inahusu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa hujaaoa wala kuolewa wewe...!!Mwanamke amefungwa na minyororo ya kiutamaduni juu ya kuelezea hisia zake za kimapenzi kwa mwanamme ambaye angetamani japo a-date naye siku moja katika maisha yake.
Tofauti na mwanamme,aliyepewa wadhfa wa kichwa cha familia pale anapomwitaji binti au mwanamke aliyemvutia huweza kufanya mipango na hatimaye kutimiza haja ya moyo wake.
Wanawake mlioolewa ni kweli kwamba mnavyozunguka katika harakati zenu hamkumbani na changamoto ya kumpenda mwanaume ambapo mnatamani japo angekuja kukumbatia ili atulize haja ya moyo wako?
Hivi yule jamaa wa hapa JF uliekuwa unamtani sana kipindi kile ulifanikiwa kumpata?Kutaman kupo pale pale, na muda mwingine tunajilipua km kawaida ila kwa usiri saaana.. Kila siku rungu moja mpk ufe inahusu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Kutaman kupo pale pale, na muda mwingine tunajilipua km kawaida ila kwa usiri saaana.. Kila siku rungu moja mpk ufe inahusu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini. Imetokea tu..wasiooa wanakuwa hawana "vuto"Kwanini unavutiwa na wanaume waliooa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi. Ila nimeona jibu lako lina ka-mzungusho fulani hivi. Ila mwisho mwenye kufikiri kwa kujiongeza anaelewa.Umeonaee...
HahahahaUnadhani watasema kiwa wanatoaga...kila atakaechangia atakwambia anajiheshimu hatoi nje
Perfect for a wife. Umenena vema sana.Wanawake kama walivyo wanaume wako na hisia, kwa hiyo basi kutamani kupo. Sema wanawake wana woga wa kumfuata mwanaume na kumweleza hisia zake na zaidi sana anaiwazia ndoa yake, kwa mwanamke anaejiheshimu hawezi fanya hivyo.... Unakufa na tai shingoni....
Na ukumbuke wapoo wanaowarubuni vijana hawa kwa fedha ili tu wawakubali, kwa hiyo hapo inategemea na tabia ya mtu...
Kwa mie sioni sababu ya kumsaliti mwenzio, maumivu ya usaliti huwa hayasahauliki daima
Kutaman kupo pale pale, na muda mwingine tunajilipua km kawaida ila kwa usiri saaana.. Kila siku rungu moja mpk ufe inahusu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
my massage of the day...thank youWanawake kama walivyo wanaume wako na hisia, kwa hiyo basi kutamani kupo. Sema wanawake wana woga wa kumfuata mwanaume na kumweleza hisia zake na zaidi sana anaiwazia ndoa yake, kwa mwanamke anaejiheshimu hawezi fanya hivyo.... Unakufa na tai shingoni....
Na ukumbuke wapoo wanaowarubuni vijana hawa kwa fedha ili tu wawakubali, kwa hiyo hapo inategemea na tabia ya mtu...
Kwa mie sioni sababu ya kumsaliti mwenzio, maumivu ya usaliti huwa hayasahauliki daima
Mimi sijasoma hii comment.aliyesoma atufanyie summaryTena utakuta mke wa mtu analiwa mpaka tigo wakati muwewe hamfanyii michezo hiyo
You're welcomemy massage of the day...thank you