Wanawake mlioolewa hamwingiwi na tamaa ya mapenzi na vijana wasiooa?kama wafanyavyo waume zenu kwa mabinti

Wanawake mlioolewa hamwingiwi na tamaa ya mapenzi na vijana wasiooa?kama wafanyavyo waume zenu kwa mabinti

Hawatulii hawa watu na hawatatulia kamwe!
waombee bhana hakuna kinachoshindakana kwa Mungu.

Wewe unaona nini mbele yako kuwahusu? mm naona mabadiliko yanawezekana
 
waombee bhana hakuna kinachoshindakana kwa Mungu.

Wewe unaona nini mbele yako kuwahusu? mm naona mabadiliko yanawezekana
Aisee..
Utaomba miaka na miaka hakuna kitakachobadilika, wenyewe wanasema ni nature yao wameumbwa hivyo, tukubaliane na uumbaji wa Mungu.
.
.
**Hiyo nature naona ishaanza kuhamia jinsia ya pili. Kazi ipo!
 
ni wale ambao hawana girlfriend au wife, huwez toa comment kama ile kwa akili tu hata za darasa la kwanza
Duh..kweli alfu jamaa ali comment kwa kufikirisha ubongo wake wote
 
Aisee..
Utaomba miaka na miaka hakuna kitakachobadilika, wenyewe wanasema ni nature yao wameumbwa hivyo, tukubaliane na uumbaji wa Mungu.
.
.
**Hiyo nature naona ishaanza kuhamia jinsia ya pili. Kazi ipo!
hahahaha ama kweli kazi ipo.
 
Navutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli


we nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
 
we nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
Wewe ni pacha wangu hujajua tu??
 
Back
Top Bottom