Wanawake mlioolewa hamwingiwi na tamaa ya mapenzi na vijana wasiooa?kama wafanyavyo waume zenu kwa mabinti

Wanawake mlioolewa hamwingiwi na tamaa ya mapenzi na vijana wasiooa?kama wafanyavyo waume zenu kwa mabinti

we nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja niondoke huku kwa wanangu
Ngoja niende kwa wababa
 
Tena utakuta mke wa mtu analiwa mpaka tigo wakati muwewe hamfanyii michezo hiyo

[HASHTAG]#Zombi[/HASHTAG], hii comment inaeleweka. Haihitaji chochote ili uielewe. Ni ngumu kumeza ila jisukumie hata kwa kijiko cha chai ili uimeze na uielewe.
Ila hii , comment ni ARVs ndiyo maana unaona ni ngumu kuelewa.
 
Wanaume weng ndoa ni Utimizaji wajibu katika Jamii inayokuzunguka ila Wanawake Ndoa ni Dream come true thing so tunatofautiana kwenye how we Value hyo kitu.
 
we nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
Umefungukakwa staili ya kurusha jiwe gizani
 
Basi kwa taarifa yako hakuna wanawake wajasiri na wachepukaji wazuri kama wake za watu. Kwa experience yangu wake za watu wamekuwa na guts za kunitongoza. Huwa wanaharibu mpaka wakati mwingine nashikwa na hofu mimi. Huku ninakoishi Kibada kuna matukio kadhaa yanasikitisha. Mke wa mtu anavuka pantoni anakuja mpaka nyumbani kwako kufata dushe. Uzuri wao hawana michezo ya kupiga vimondo. As long as unampa emotional support, vizawadi vidogo vidogo, akikwama ada ya mtoto unamsaidia bila kuombwa n.k. Tatizo lao inafika point wanaanza kuwa ving'ang'anizi na wivu wa kupindukia. Akikuona na girlfriend anafura. Lakini truth be told married women are the gutsiest in my experience.
 
Mwanamke amefungwa na minyororo ya kiutamaduni juu ya kuelezea hisia zake za kimapenzi kwa mwanamme ambaye angetamani japo a-date naye siku moja katika maisha yake.
Tofauti na mwanamme,aliyepewa wadhfa wa kichwa cha familia pale anapomwitaji binti au mwanamke aliyemvutia huweza kufanya mipango na hatimaye kutimiza haja ya moyo wake.
Wanawake mlioolewa ni kweli kwamba mnavyozunguka katika harakati zenu hamkumbani na changamoto ya kumpenda mwanaume ambapo mnatamani japo angekuja kukumbatia ili atulize haja ya moyo wako?
Duuh
 
Mwanamke amefungwa na minyororo ya kiutamaduni juu ya kuelezea hisia zake za kimapenzi kwa mwanamme ambaye angetamani japo a-date naye siku moja katika maisha yake.
Tofauti na mwanamme,aliyepewa wadhfa wa kichwa cha familia pale anapomwitaji binti au mwanamke aliyemvutia huweza kufanya mipango na hatimaye kutimiza haja ya moyo wake.
Wanawake mlioolewa ni kweli kwamba mnavyozunguka katika harakati zenu hamkumbani na changamoto ya kumpenda mwanaume ambapo mnatamani japo angekuja kukumbatia ili atulize haja ya moyo wako?
Mbona wanachepuka sana, labda huko mkoani kwenu ila Dar heya heya hiya hiya 😹😹😹
 
Back
Top Bottom