Ombenikhalungu
Member
- Nov 19, 2013
- 96
- 47
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja niondoke huku kwa wananguwe nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
Tena utakuta mke wa mtu analiwa mpaka tigo wakati muwewe hamfanyii michezo hiyo
Hapo umenenaAkili imetulia.. Na kwasababu wote mpo kwenye ndoa mnaendana kwa story na changamoto, mnafarijiana.
Anaelewa vizuri mipaka yako na wewe unaelewa mipaka yake.
Game pia wanaielewa!
Umefungukakwa staili ya kurusha jiwe gizaniwe nae kwann tunaendana vingi namn hyo !arghhh unaniiga best hhhe mie nikishajua we single napunguza kbs wenge na ww !bora kuwa na mhenga mwenzako mnafarijiana kwa shida na raha !kukibuma kwake unamtuliza kukibuma kwangu na yy ananipunguza hasira !hawa masingle sipend hata pm zao kwakwel!
Kama mimi vileNavutiwa na waliooa, wasiooa wanipitie mbali kwa kweli
Kumbe we babu
DuuhMwanamke amefungwa na minyororo ya kiutamaduni juu ya kuelezea hisia zake za kimapenzi kwa mwanamme ambaye angetamani japo a-date naye siku moja katika maisha yake.
Tofauti na mwanamme,aliyepewa wadhfa wa kichwa cha familia pale anapomwitaji binti au mwanamke aliyemvutia huweza kufanya mipango na hatimaye kutimiza haja ya moyo wake.
Wanawake mlioolewa ni kweli kwamba mnavyozunguka katika harakati zenu hamkumbani na changamoto ya kumpenda mwanaume ambapo mnatamani japo angekuja kukumbatia ili atulize haja ya moyo wako?
DuuhKutaman kupo pale pale, na muda mwingine tunajilipua km kawaida ila kwa usiri saaana.. Kila siku rungu moja mpk ufe inahusu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wanachepuka sana, labda huko mkoani kwenu ila Dar heya heya hiya hiya 😹😹😹Mwanamke amefungwa na minyororo ya kiutamaduni juu ya kuelezea hisia zake za kimapenzi kwa mwanamme ambaye angetamani japo a-date naye siku moja katika maisha yake.
Tofauti na mwanamme,aliyepewa wadhfa wa kichwa cha familia pale anapomwitaji binti au mwanamke aliyemvutia huweza kufanya mipango na hatimaye kutimiza haja ya moyo wake.
Wanawake mlioolewa ni kweli kwamba mnavyozunguka katika harakati zenu hamkumbani na changamoto ya kumpenda mwanaume ambapo mnatamani japo angekuja kukumbatia ili atulize haja ya moyo wako?