Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Wanawake mlioolewa na wale msiowategemea mliwezaje

Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia watu wetu tunaowapenda watuoe, jambo linaloshindikana na kuamua kuolewa na yoyote. Sasa na mimi naona kama yanataka kunikuta hayo mambo

Niwe mkweli tu baada ya kuona mahusiano yangu na huyo kijana hayaeleweki nikatafuta backup ambayo now tuna miezi michache tu

Huyo niliekuwa nae naona hanipendi maana leo ni wiki ya pili hajanitafuta na mimi sijamtafuta kiufupi hatuongeleshani.. sasa sijui tumeachana ama la

Sasa huyu nilienae now naona tu tupo normal, japo sijui mengi kuhusu yeye ila angalau najisikia na mimi napendwa tofauti na yule wa mwanzo

Cha kushangaza tangu nipate kazi kuna hali fulani nakutana na watu ambao wanataka kunioa wawili tumejuana miaka hii hii wengine miaka ya nyuma…

Kila kijana anasema anataka kunioa aje nyumbani… hiki kitu kinanichanganya haswa kutoa maamuzi yupi sahihi
Hawataki mahusiano ya dating wanataka kuja home kufanya process

Vijana watatu ni church boy(walokole)wawili ni wa kawaida tu sio watu wa kanisani kihivyo.. hao wote naowataja ni tofauti na huyu ambae na date nae now.. yeye hajawai kunitamkia kuwa anataka kunioa now.. anasema tu tuombe Mungu mapenzi yake yafanyike,, pia tuzidi kufahamiana..

Katika hao wa 5 ambao angalau wana sifa zangu ni wawili tu.. japo sijawaelewa kihivyo,,

Sasa mimi napata kigugumizi sijui ndio milango kufunguka au majaribu tu
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..

Ninae date nae now sio kwamba nampenda kihivyo ni vile tu yule wa mwanzo hanizingatii nikaamua kumkubali huyu,, japokuwa huyu hata akisema ananioa nitakubali maana ana vigezo vyote vya kuwa mume

Sasa hapa nilitaka muongozo haswa kwa wanawake wenzangu, mliweza vipi kucheza na hii hali mpka ukaolewa.. maana kuna muda nawaza nijilipue tu lakini naogopa what if nikaingia huko kumbe nimekurupuka..
mimi dada enu age go kidogo 28-25 umri wangu una range hapo
Una miaka 30 kasoro bado hujui unachotaka shaur yako.
 
We mwenyewe mbona hueleweki anyway ni maisha yako choose wisely
 
Ww hujamwelewa mtoa mada, mtoa mada anataka kuolewa, ila hao wanaume 5 wote wanaotaka kumuoa, hampendi mwanaume hata mmoja kati ya hao 5, mwanaume anaependwa na kadogo2 haeleweki na hapendeki Leejay49
Mwanamke hakuumbwa kumpenda mumewe anatakiwa kutii! Mwanaume Ndio anayetakiwa kupenda! This is battle against nature and less will win
 
Hakuna jambo gumu kama kujua yupi ni mtu sahihi na upi ni wakati sahihi Kwa mungu.
Fanya ivi madam ask your heart yupi ana feeling better nawew Kisha muangalie matendo yake bila kujali hisia zako muombe mungu Kisha fanya maamuz
 
Kama mnavojua kwenye jamii yetu wanawake huoelewa wakiwa tayari na mtu yoyote ambae kwa wakati huo anajitokeza.. mara nyingi wanakuwa ni wale watu ambao tuna waweka pending huku tukiwasikilizia watu wetu tunaowapenda watuoe, jambo linaloshindikana na kuamua kuolewa na yoyote. Sasa na mimi naona kama yanataka kunikuta hayo mambo

Niwe mkweli tu baada ya kuona mahusiano yangu na huyo kijana hayaeleweki nikatafuta backup ambayo now tuna miezi michache tu

Huyo niliekuwa nae naona hanipendi maana leo ni wiki ya pili hajanitafuta na mimi sijamtafuta kiufupi hatuongeleshani.. sasa sijui tumeachana ama la

Sasa huyu nilienae now naona tu tupo normal, japo sijui mengi kuhusu yeye ila angalau najisikia na mimi napendwa tofauti na yule wa mwanzo

Cha kushangaza tangu nipate kazi kuna hali fulani nakutana na watu ambao wanataka kunioa wawili tumejuana miaka hii hii wengine miaka ya nyuma…

Kila kijana anasema anataka kunioa aje nyumbani… hiki kitu kinanichanganya haswa kutoa maamuzi yupi sahihi
Hawataki mahusiano ya dating wanataka kuja home kufanya process

Vijana watatu ni church boy(walokole)wawili ni wa kawaida tu sio watu wa kanisani kihivyo.. hao wote naowataja ni tofauti na huyu ambae na date nae now.. yeye hajawai kunitamkia kuwa anataka kunioa now.. anasema tu tuombe Mungu mapenzi yake yafanyike,, pia tuzidi kufahamiana..

Katika hao wa 5 ambao angalau wana sifa zangu ni wawili tu.. japo sijawaelewa kihivyo,,

Sasa mimi napata kigugumizi sijui ndio milango kufunguka au majaribu tu
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..

Ninae date nae now sio kwamba nampenda kihivyo ni vile tu yule wa mwanzo hanizingatii nikaamua kumkubali huyu,, japokuwa huyu hata akisema ananioa nitakubali maana ana vigezo vyote vya kuwa mume

Sasa hapa nilitaka muongozo haswa kwa wanawake wenzangu, mliweza vipi kucheza na hii hali mpka ukaolewa.. maana kuna muda nawaza nijilipue tu lakini naogopa what if nikaingia huko kumbe nimekurupuka..
mimi dada enu age go kidogo 28-25 umri wangu una range hapo
Najaribu kuwaza body count inasoma ngapi, hapa unawaelezea wanaume sita
Wote wakitaka kuloweka wanaloweka tuu mpaka apatikane bwege wa kuja kuoa
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA ILI UONE VIZURI WE NI MWANAMKE MAISHA YENU YANAONGOZWA NA HISIA HIVYO BASI OLEWA NA UNAYEMPENDA TOFAUTI NA HAPO HAUTAFURAHIA HIYO NDOA YAKO
 
Ww hujamwelewa mtoa mada, mtoa mada anataka kuolewa, ila hao wanaume 5 wote wanaotaka kumuoa, hampendi mwanaume hata mmoja kati ya hao 5, mwanaume anaependwa na kadogo2 haeleweki na hapendeki Leejay49
Hili nalo tatizo
 
Hakuna niliempa jibu la ndio au hapana.. ni kama nimewaweka njiapanda..

Ninae date nae now sio kwamba nampenda kihivyo ni vile tu yule wa mwanzo hanizingatii nikaamua kumkubali huyu,, japokuwa huyu hata akisema ananioa nitakubali maana ana vigezo vyote vya kuwa mume
Unaweza hisi wao ndio wanakuchanganya, ila uhalisia ni kwamba wamekukuta tayari umeshachanganyikiwa.

Sitoshangaa ukija kuoelewa na mtu mwingine tofauti kabisa, nje ya hao uliowaweka njia panda na huyo unayedate nae sasa.
 
1000017297.png
 
Nafkiri ungeomba ushauri tukusaidie ktk vigezo gani unapaswa uvitazame kwa mwanaume ingekuwa bora zaidi.
 
Najaribu kuwaza body count inasoma ngapi, hapa unawaelezea wanaume sita
Wote wakitaka kuloweka wanaloweka tuu mpaka apatikane bwege wa kuja kuoa
Soma ukiwa Upo timamu mkuu.. kama umelewa usisome
 
Back
Top Bottom