Yawezekana alikuacha kwasababu aliona wewe huna sifa yakua mke wake,akaenda kwa mwingine mwenye sifa yakua mke,siyo kila mwanamke niwakuoa,wengine niwakupitia tu ila unawaachia wengine,kama huyo X alivyomwachia mumeo,ila akikutaka anakuja kukulamba.kuna x huyo hata akinikuta nnatembelea mkongojo ntachepuka tu kwakweli
Wanawake wenye akili Kama yako ni wachache sana,wengi wao huwa hawajiulizi kwanini waliachwa,wakaolewa wenzao,matokeo yake wamekua mifano mibaya kwa watu ambao hawajaoa,hivyo kuwakatisha tamaa.Yani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Haya mke keyboardYawezekana alikuacha kwasababu aliona wewe huna sifa yakua mke wake,akaenda kwa mwingine mwenye sifa yakua mke,siyo kila mwanamke niwakuoa,wengine niwakupitia tu ila unawaachia wengine,kama huyo X alivyomwachia mumeo,ila akikutaka anakuja kukulamba.
Jibu hili angelitoa mke wangu....lingenifariji sanaYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Tena ujinga kama mlikuwa mnapendana kwanini msioane!Haya mambo ya kuachana na kuja kutongozana tena mara ya pili sio mazuri kabisa
Duh..wanawake mna mambo, na bado unahesabu tu si ajabu, waoaji na waoe tu.Wanne mkuu!una swali jingine!??
Wewe haujatoa mchango kumsaidia mwenzio[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] au bado unakumbuka usharobaro wake enzi hizo!Mimi.bahat mbaya huwa sikutan na mtu level ya ex..huwa nakutana na level ya juu..so naonaga km nawangalizia kwenye balcony ya 5th floor vile ...haka ka ex kangu kamejenga kajumba ka vyumba 2 chalinze..naskia nyumba km shule ya msingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..Mungu nisamehe...alafu namrudiaje ss mm km huyo[emoji23][emoji23][emoji23]...pyeee...!mwingine alipigwa na risasi bas kuutwa kuomba michango atibiwe..Mungu nisamehe
Hahahahaa....na waoe tu kwa kweli.Mmmmmh! inaonyesha umeshapitiwa na Mabehewa mengi sana si moja huyo atakayekuowa atakuwa kaowa Cha wote "Nothing new" huna jipya [emoji13][emoji13][emoji13]
Haki ya Mungu siowi mimi
Pole sana wakati mwingine mapenzi yanatesa sana fanya wewe uone mpaka ndugu zake wanasimamisha masikio, pole sana kaeni chini myamalize Mungu hapendi kuachanaUnafanyaje sasa na urojo unadondokea kwa watu wengine..... yani nyie mnatutesa kweli...
🤣🤣🤣🤣Mwalimu wewe ni yupi kati ya hao kwenye hiyo avatar yako?
Kama ni huyo mwenye miwani nije PM tupige selfie nyingine!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haumwamini mkeo?Jibu hili angelitoa mke wangu....lingenifariji sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee nikisema watasema unasema hivyo kwa kuwa hujaolewa
Unadhani napenda kuhesabu,hakuna mwanamke anayependa kupitia series ndefu bali ndo hivyo.Duh..wanawake mna mambo, na bado unahesabu tu si ajabu, waoaji na wake tu.
Jibu lako limenigusa, nimekuelewa wangu, pole..[emoji1431]Unadhani napenda kuhesabu,hakuna mwanamke anayependa kupitia series ndefu bali ndo hivyo.
Pole sana wakati mwingine mapenzi yanatesa sana fanya wewe uone mpaka ndugu zake wanasimamisha masikio, pole sana kaeni chini myamalize Mungu hapendi kuachana
Bro usiamin kila unachokickiaJibu hili angelitoa mke wangu....lingenifariji sana