Nyie hamzaminik unaweza ukaongea hv hap tukuone mwema kwa vile hatukujuiYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Hongera sana. Wewe ni miongoni mwa wanawake wanaojiheshimu na kujitambua. Mumeo kapata mke haswaaYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Ninyi ndio mnaliwaga kirahisi hadi hasira.Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Utakuwaa fundi eeehAiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Hamna akili humo kichwani, kazi ipo hapo
Sio kila unachosikia au kuandikwa ni kweli akili ya kuambiwa tu fanyia kazi utapata matokeoHongera sana. Wewe ni miongoni mwa wanawake wanaojiheshimu na kujitambua. Mumeo kapata mke haswaa
tako ka lote.
Siyo wote wazinzi kama unavyofikiri. Kuna watu wanajitambua na wanajua thamani zao. Kama wewe unachepuka na ex wako haimanishi ni wote wanachepuka. Kupasha kiporo na ex wako inamaanisha kuwa "Hauna lolote kwenye dunia ya mapenzi yaani wewe ni takataka"Sio kila unachosikia au kuandikwa ni kweli akili ya kuambiwa tu fanyia kazi utapata matokeo
Wanawake wapuuzi ndo uwa wanalala na x zao..mi siwez na sipendag mawasiliano yaendelee kati yangu na x so tukiachana ni kama hatujuani sitak ata niilone status zako.Hapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k
Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
Hahahahahahahaaaaaaa jipe moyo,sijawai kucross na ex eye to eye,Kuna watu tuna pride n ego za kingese mpk Kuna saa ss wnyw tunazichukia,Mana znatunyima fursa.Ninyi ndio mnaliwaga kirahisi hadi hasira.
Walaaaa,kumfanya ajione yeye ndo mwanaume wngne fala tu,faraja,they always use my brain kwa faida zao(wananitumia) n the best problem solver they ve never met.Utakuwaa fundi eeeh
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
HahahaHapa sizungumzii ma ex ambao mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu kama mmoja kwenda nje kimasomo, kuhamishwa kikazi, kufungwa jela. n..k
Wanawake mlioolewa, je ex wako ambae hamkukosana bali mliachana kwa sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wenu ukikutana nae leo una ujasiri wa kukataa kuchepuka nae?
HahahaAkiikumbuka pipe iliyokua inamsugua vizuri lazima aipeleke ikasuguliweView attachment 1098295
Mwalimu wewe ni yupi kati ya hao kwenye hiyo avatar yako?
Kama ni huyo mwenye miwani nije PM tupige selfie nyingine!!