Wanawake mna moyo sana, mnawezaje?

Wanawake mna moyo sana, mnawezaje?

Wanaume nao wana mtihani kuishi na wanawake. Hujakutana na mwanamke mwenye mdomo wewe. Utasikia jirani zetu wamenunua phoenix mpya, sisi hatuna redio kaseti, wenzako wanaenda kukopa nyama kwa Abdalla amechinja dume lake. Yaani vijembe vya mke vinakuzeesha labda ujifanye kauzu.
 
Kuna mbaba mmoja mtaani kwetu alikuwa analewa mpaka anajikojolea na akawa analala mitarani,mkewe watu wanaenda kumpa taarifa alikuwa anaenda kumchukua anamkokota mpaka nyumbani na wakati huo wa kumkokota huyo mbaba unakuta anamtukana mkewe na kumuita mbwa wewe

Bahati mbaya yule mama alifariki,baada ya msiba yule baba aliacha kunywa pombe kabisa,alikuwa akisema kwasasa siwez kunywa maana malaika wangu hayupo,alikuwa anasikitika sana mkewe kufariki na kumuacha
Aisee..😂🙌🙌🙌
 
Unakutana na mtu ww tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.

Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.

Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.🙌
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
Mapenzi upofu walah.
Kuna mmja akinywa kichupa kimoja cha bia anaporomosha mitusi hiyo, Kaoa mdada mrefu mzuri wa kisukuma eeh anapeleka hadi limchangudoa ndani ety mwanamke analia akimaliza anakaa hapo hapo.
Akiwa na pesa ananunua tv inch 60 akimaliza anaipiga buti TV yote nyang'anyang'a.

Alf huyo mwanamke hata pesa ya kusuka apewi.
Mim mapenzi hayawezi nipofua kias hiko walahi tutakung'utana nikikushindwa nakuandalia kombora siku una pesa unazima week nzima siku umezinduka unajikuta pesa hakuna nmebeba hadi sabuni ya kuoshea vyombo nimekuvua nguo zote uko uchi *****😂😂
 
Unakutana na mtu ww tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.

Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.

Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.🙌
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
Acha tu wanawake ni viumbe wavumilivu sana lkn akishachoka akaondoka.. hawezi tena kurudi nyuma
 
Mapenzi upofu walah.
Kuna mmja akinywa kichupa kimoja cha bia anaporomosha mitusi hiyo, Kaoa mdada mrefu mzuri wa kisukuma eeh anapeleka hadi limchangudoa ndani ety mwanamke analia akimaliza anakaa hapo hapo.
Akiwa na pesa ananunua tv inch 60 akimaliza anaipiga buti TV yote nyang'anyang'a.

Alf huyo mwanamke hata pesa ya kusuka apewi.
Mim mapenzi hayawezi nipofua kias hiko walahi tutakung'utana nikikushindwa nakuandalia kombora siku una pesa unazima week nzima siku umezinduka unajikuta pesa hakuna nmebeba hadi sabuni ya kuoshea vyombo nimekuvua nguo zote uko uchi *****[emoji23][emoji23]
Hii stori ni kule Ghana Mbeya?
 
Unakutana na mtu ww tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.

Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.

Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.[emoji119]
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
Mbona hata sisi hua tunaishi na wanawake ambao ni Mungu ana tunusuru
JamiiForums-693560909.jpg
 
WAKOLOSAI 3:18-19.
[18]Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.
[19]Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.

Kwa maagizo hayo hapo juu [emoji115][emoji115] toka kwa Mungu utagundua aliyeagizwa kutekeleza kitu flani kwa Me au Ke ndicho ambacho hakuumbwa nacho ndiyomaana anasisitizwa na Mungu awe anakifanya kwa mwenziye.

Kiuhalisia huweziwasha tochi mchana sababu mwanga wake hautakuwa na tija yoyote ile tofauti na usiku tu.
Hawajawahi kueleweka
JamiiForums325268437.jpg
Screenshot_20221107-111506_1668690974199.jpg
JamiiForums-1922693080.jpg
JamiiForums410300119.jpg
 
Kuna mbaba mmoja mtaani kwetu alikuwa analewa mpaka anajikojolea na akawa analala mitarani,mkewe watu wanaenda kumpa taarifa alikuwa anaenda kumchukua anamkokota mpaka nyumbani na wakati huo wa kumkokota huyo mbaba unakuta anamtukana mkewe na kumuita mbwa wewe

Bahati mbaya yule mama alifariki,baada ya msiba yule baba aliacha kunywa pombe kabisa,alikuwa akisema kwasasa siwez kunywa maana malaika wangu hayupo,alikuwa anasikitika sana mkewe kufariki na kumuacha
Aisee
 
Kuna mbaba mmoja mtaani kwetu alikuwa analewa mpaka anajikojolea na akawa analala mitarani,mkewe watu wanaenda kumpa taarifa alikuwa anaenda kumchukua anamkokota mpaka nyumbani na wakati huo wa kumkokota huyo mbaba unakuta anamtukana mkewe na kumuita mbwa wewe

Bahati mbaya yule mama alifariki,baada ya msiba yule baba aliacha kunywa pombe kabisa,alikuwa akisema kwasasa siwez kunywa maana malaika wangu hayupo,alikuwa anasikitika sana mkewe kufariki na kumuacha
Kweli, huwezi jua kama kitu fulani ni muhimu mapaka ukipoteze ndio utajua[emoji24]
 
Sasa mimi navuta ndio maana nakueleza,sigara ni starehe yangu mimi,lazima nihakikishe haiwezi kumkera mwenzi wangu...hakuna sigara itakayonuka zaidi ya 30mint baada ya kuvutwa...
Sigara!!? Nilikua mvutaji kwa kipindi kirefu, Mungu aliniokoa na janga hilo! Hata usukutue na nini au ule nini harufu ya sigara hua haikati na bahati mbaya unavyo kua clonic hata jasho linakua naharufu ya sigara mda wote, nguo zote hata ujipulizie nini na usiombe uwe kwenye baridi au mvua ndio hua haikati kabisaa, bado kwenye kudendeka kiukweli ni aibu kwanza huyo mwenza hawezi ku_enjoy romance kabisa ulimi lazima uwe mkali by experience nimesha kutana na mwanamke mvutaji hivyo naelewa kero zake mbali na mimi mwenyewe kua mvutaji. Ila usiogope, pale unapo amua kuiacha kero zote hua zina toweka ndani ya week na nusu hata wewe mwenyewe utajisikia tofauti sana hata mdomoni mwako mwenyewe.
 
Unakutana na mtu ww tu ndani ya nusu saa ushamchoka. Ni ana gubu, mbishi + mgumu kuelewa. Lakini anaishi na mke na maisha yanaenda.

Ile harufu ya sigara kwa kweli haivumiliki lakini mwanamke analala nae na kuamka nae.

Mwingine muda wote kalewa chakali wa kubeba na tolori + kujikojolea. (mlevi mbwa) Lakini ana mke na watoto.
Kuna wale anajua mpaka bei ya kitunguu na nyanya, Yaani kila senti anataka kujua imetumikaje.🙌
Mwingine hasira hazimuishi kidogo tu kapaniki.
Naona Leo umeamua Kuwamwagia

Nyuzi wanajeiefu
 
Back
Top Bottom