Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Asiwe mwanafunzi ila mengine utajiona ww ulivyo mdogo kwake maana jasho litakutoka kukabiliana nae.
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Ukutane na huyo anaependa wazee kama wewe mbona fresh tu
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Wanaangalia tu hela
 
Hapo ndio penye Sasa!full kubebishwa
Sawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..

Mimi ninachokwepa ni kupendewa hela na huyo binti, ukute Labda muonekano wangu (physical appearance) haumvutii kwasababu ya umri wangu kuwa mkubwa..ukute huyo binti kichwani anawaza huyu babu alonizidi miaka 15 ntampeleka wapi, Siwezi olewa nae, naona aibu kutembea nae barabarani, ngoja anihudumie kipesa, ilhali moyo wangu uko kwa kijana wa rika langu k.v miaka 24 au 22 Joannah Dinazarde
 
Sawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..

Mimi ninachokwepa ni kupendewa hela na huyo binti, ukute Labda muonekano wangu (physical appearance) haumvutii kwasababu ya umri wangu kuwa mkubwa..ukute huyo binti kichwani anawaza huyu babu alonizidi miaka 15 ntampeleka wapi, Siwezi olewa nae, naona aibu kutembea nae barabarani, ngoja anihudumie kipesa, ilhali moyo wangu uko kwa kijana wa rika langu k.v miaka 24 au 22 Joannah Dinazarde
Hapana,mnakuwa na muonekano mzuri tu,Tena mnavutia kwelikweli maana mnajiweza kiuchumi.Hayo ya pesa huwezi kukwepa,tunapochagua wapenzi lazima tuangalie na uchumi wako,Maisha yamebadilika Sana,kila mwanamke anapenda kuwa na mwanamme mpambanaji inaongeza security...Sema nini hapo kwenye case yako inategemea na akili za mhusika,yaani anaweza kukupenda mpaka ukashangaa au akakupasua kichwa mpaka ukashangaa
 
Mwalimu wangu wa chuo mara moja aliwahi sema wanaume tunaanza kuwa "hensamu" tukifikisha miaka 35. Maana hapo tunakuwa almost stable kwenye masuala mengi.

Mkuu chukua chombo hicho, kuna mzee alioa binti wa miaka 21 yy akiwa na 38, na wako pamoja mpaka leo.
 
Wangu ananizidi 15,, ni raha aje.. nampenda kuliko kupenda kwenyewe kwa shida na raha, sio wanawake wote tunavutiwa na mionekano ya wanaume haswa wanawake matured,, tunaangalia mwanaume anaeweza kuyakabili majukumu yake ya kiume hayo ya muonekano ni wanawake wachache wanaoyazingatia, na wenye sura personal labda,,

Mi ladha yangu ni wanaume wakubwa kiumri kianzia gap la 12 -18 hapo najisikia raha sana na sura yake isiwe nzuri awe mbaya yani mbaya ndo napata burudani hao ndo wanakuwaga wanaume jamani,, wanathamini mapenzi, wanajua kupiga mashine, wanapambana na wanajiweza kimaisha,,

Kwa umri wa huyo binti anaweza kukusumbua lakini nikutoe wasiwasi tupo tunawapenda tunawaelewa na Wala hatuoni hata kuwaza hizo aibu za kuongozana nae mara sijui mzee,, hakuna mwanaume mzee wewe
 
Nikikumbuka juzi kati hapa alipita binti kama miaka 18 nkampa hi nkamwambia njoo uniambie jina lok, ghafla kakajibu, "siji! We mkubwa hivo?" Af kakachora. Roho iliuma kwakweli.. subiri nfike 40 nijarib tena
 
Hapana,mnakuwa na muonekano mzuri tu,Tena mnavutia kwelikweli maana mnajiweza kiuchumi.Hayo ya pesa huwezi kukwepa,tunapochagua wapenzi lazima tuangalie na uchumi wako,Maisha yamebadilika Sana,kila mwanamke anapenda kuwa na mwanamme mpambanaji inaongeza security...Sema nini hapo kwenye case yako inategemea na akili za mhusika,yaani anaweza kukupenda mpaka ukashangaa au akakupasua kichwa mpaka ukashangaa
Ni kweli mimi nilikuwa na demu single mother kuja kujua baba mtoto wake alimzalisha ni umri sawa na wazazi wangu yani baba mtoto wake ana miaka 64 sawa na baba yangu mpaka leo najiuliza inakuwaje msichana unazalishwa na mume wamtu tena mzee wa miaka 64, sijui kwanini wanawake wa mikoani hawaoni shida kuzaa na wazee.
 
Back
Top Bottom