Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Sisi wengine mwili mdogo mwembamba kila mwaka tuna miaka 25 ni wanawake wanaamini [emoji28]yaani kila mwaka mimi nina miaka 25 sijawahi kuvuka hapo [emoji28]nachukua mabinti kuanzia miaka 18 mwisho 21 sitongozi kabisa wastaaafu wenzangu
Safi
 
Kwanza tambua mwanaume hazeeki jaribu kuwa na watoto mapacha wa kike na wakiume halafu waangalie utajua nani atawahi kukua? Binti wa miaka 18 huwezi mlinganisha na kijana wa kiume wa 18 kiumri wako sawa ila kwa mengine wameachana mbali.

Haina shida wewe oa tu.
Wanawake wanawahi kukomaa kishenzi
 
Na ss tulio sawa na wake zetu na tunadeka uzi inatuhusu??
 
Yani nimuogope dogo naemzidi 10 yrs[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio kikombe changu hicho,, hatukui kwa kurudi nyuma kua kua kwanza hizi sifa utazikuta tu usiumie sana mtoto mzuri
Mi nina 24 njoo olewa na mm ujue mwanaume anakuwa je karibu pm tutest
 
Hapa tunadanganyana oen kwanza tuwape miaka13 alafu mje hapa
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Wanataka wenye damu joto sio wewe kimoja au viwili unakoroma na kujaza mto maudenda.Mifumo yote inawabeba wanawake walichobakiza ni kutokutaka kuzeeka ni mwendo wa bata batani na ule mchezo wa bata ndo wanaoupenda.Amini usiamini
 
Wanataka wenye damu joto sio wewe kimoja au viwili unakoroma na kujaza mto maudenda.Mifumo yote inawabeba wanawake walichobakiza ni kutokutaka kuzeeka ni mwendo wa bata batani na ule mchezo wa bata ndo wanaoupenda.Amini usiamini
Mifumo yote inawabeba wanawake? Eleza vizuri.

35 yrs ni mzee wa kulala na kukoroma baada ya bao 2, tena kwa binti wa miaka 20? Maelezo yako hayajitoshelezi.
 
Sisi wengine mwili mdogo mwembamba kila mwaka tuna miaka 25 ni wanawake wanaamini [emoji28]yaani kila mwaka mimi nina miaka 25 sijawahi kuvuka hapo [emoji28]nachukua mabinti kuanzia miaka 18 mwisho 21 sitongozi kabisa wastaaafu wenzangu
Kweli mkuu wanaume ukiwa na mwili mdogo mwembamba na urefu kidogo jamii inakuona bado mdogo.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom