mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Kwamfano huyo mwanaume aliokuzidi miaka 15 sura yake na muonekano wake ni mzuri unakuvutia hlf hana mtoto, hajaoa, na kitabia ni husband material utakubali uolewe nae mamamzungu
Asa kwanini nikataee …. Kwanza ndo umri bomba kabisa huo