Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Kapeace umejua kutuliwaza mababu asee

Hii comment itengenezewe frame itunzwe
Siwaliwazi ila ni ukweli,, Kuna hatua ikifika mtu hutaki drama za kitoto, unahitaji utu na utulivu

Tatizo wengi wanahisi tumefata pesa tu kwa wanaume wanaotuzidi parefu kumbe sivyo,,, na utakuta mtu anasema hao hata kupiga mzigo hawawezi ni visukari na presha, sio wote umri huo ni wagonjwa tena mjue tu hao ni wazoefu wanatujua wanawake na akili zetu, wameshakutana na chiu nyingi tu,, na kama life style yake ni nzuri na hajazidi 55 amini nakwambia huo mziki wake kitandani lazima uombe poo, wanajua na wanajua tena na pumzi wanayo kuzidi hata barobaro wa miaka 30,

Wanawake tuna tabia ya kupenda wanaume wenye experience, kinyume kabisa na wanaume
 
Hamnaga baya ktk mahusiano mnajua nini wanawake tunataka
IMG_20221004_073446.JPG
tukutane kule kule kwa weekend ilioisha mrembo
 
Msichokielewa ni kuwa wanawake wengi wa humu ni 30+ years of age. Sio rahisi binti wa miaka 21 akaanza kuwaza kutoka na mtu wa miaka 45 wakati yuko katika pool ya vijana wengi wa 25-30yrs. Labda demu mshamba asiyejitambua.

Kwa mtoto wa kike peak years ni 18-24 hapo ambapo wengi anaovutiwa nao ni age mates na gap linaongezeka kidogo anapo approach 26-28yrs.

Mwanamke akishafika lets say 30-35 yrs kwake si rahisi ku date na kijana age mate wake sababu aakuwa nje ya soko la vijana tayari.

Option iliobaki inakuwa ni kudate na mtu mwenye 10-15yrs older na wengi huona fahari sababu wanaume wengi wa huo umri wanakuwa tayari wame stabilize kimaisha, wengine wana wake na familia zao na ambao hawajaoa wanakuwa wana financial muscles na incase ya ndoa ni rahisi kuoa hawa wanawake sababu wanakuwa na uwezo ishu ni kushawishiwa tu.

KE wengi wanachoinjoy humo ni lile penzi linaloambatana na spoiling ama uchakavu wa mapene, anacholilia kinapatikana kwa wakati. Ila cha ajabu wauza kahawa wengi wapo wenye age hizo ila huwezi sikia wakiongelewa na hawa mademu,,, tafakari!!!😂
Tatizo unataka tukubaliane na fikra zako, wapo mabinti walioolewa na 20 au chini ya hapo na wanaume wanaowazidi, miaka 10-20 na wakadumu,,

Ijapokuwa umri huo 20-25, ni umri sumbufu kwa wanawake maana anakuwa hot hivyo rika lake wwtamsumbua lakini watamchezea tu na kumdampo hapo, akiongeza miaka 2-3 mingine akili inamkaa ndo atajua mwanaume wa kweli yukoje na Yuko wapi,, Sasa Basi Kama mwanamke unamzidi sana na unamuhitaji kwq mahusiano marefu,, mtafute akiwa kwenye late 20's mpk mid 30's, hawezi kukuletea drama za kijinga, sababu kashavuka umri wenye ujinga mwingi,

Binafsi yangu kitu sikiwezi Ni kuwa na mwanaume mdogo naelingana nae au namzidi sababu sijui kumfundisha mwanaume kabisa na sio asili ya mwanamke kumfundisha mwanaume,, pia sie akili yetu ktk mahusiano iko mbele kww miaka 10 zaidi ya wanaume, Yani binti mwenye miaka 25 anaweza kuhimili akili ya mwanaume wa miaka 40 na zaidi tofautu na mwanaume mwenye miaka 25 bado ananuka hata pumbu,,
 
View attachment 2376617tukutane kule kule kwa weekend ilioisha mrembo
Hivi mtu mnaezidiana miaka 10-20 Kuna tofauti ya namna hii kweli au hujaelewa mada? Hao wanazidiana zaidi ya 25 hiyo Sasa ni ishu nyingine kabisa tofauti na mada,, na ukisoma michango ya wanawake wengi tupo kati ya 12-18, hii sio tofauti ya mtu na baba au babu yake usilete dhihaka zako hapa
 
Mwalimu wangu wa chuo mara moja aliwahi sema wanaume tunaanza kuwa "hensamu" tukifikisha miaka 35. Maana hapo tunakuwa almost stable kwenye masuala mengi.

Mkuu chukua chombo hicho, kuna mzee alioa binti wa miaka 21 yy akiwa na 38, na wako pamoja mpaka leo.
Mimi mke wangu ninamzidi miaka 14 na ndoa yetu ina miaka 33 sasa na amani tele.
 
Mnasema tu hivi coz wanaume mlionao huenda wapo late thirties au forties huko, ukiwa 20s na mtu yuko 40s mbona sawa tu. Lakini huyu huyu kidume akifika 55 wewe upo 30s ndio chanzo cha kusalitiana. Nimesikia wanawake wanakuwa na urge ya ngono sana wakiwa 30s hivi, sasa kidume kina 60 wewe uko late 30s na nyege zako, lazima matamanio ya nje yawe mengi coz huyu mwamba kwa kiasi kikubwa hakuweziii.

Kwenye social & economic security ni kweli, wengi wa 40s kwenda mbele tayari wamejiwekeza kiuchumi, marafiki zao wapo vizuri so socially wewe kama mwanamke unaenjoy.
 
Mke wangu namzidi 13yrs na anafurahia kuongozana na mimi. Kwani ananiganda hata kama nataka kwenda kivyangu. Ukiongeza na bahati ya kitanda kunacheza mara kwa mara nyakati za usiku, nyumbani kwangu pamekuwa mahala pa amani tele. Kiukweli wapo wadada wananogewa sana na waliowazidi umri.
 
Kuna hatua ikifika mtu hutaki drama za kitoto, unahitaji utu na utulivu

na kama life style yake ni nzuri na hajazidi 55 amini nakwambia huo mziki wake kitandani lazima uombe poo, wanajua na wanajua tena na pumzi wanayo kuzidi hata barobaro wa miaka 30,

Wanawake tuna tabia ya kupenda wanaume wenye experience, kinyume kabisa na wanaume
Asante Kapeace you are mature enough dada yangu
 
Siwaliwazi ila ni ukweli,, Kuna hatua ikifika mtu hutaki drama za kitoto, unahitaji utu na utulivu

Tatizo wengi wanahisi tumefata pesa tu kwa wanaume wanaotuzidi parefu kumbe sivyo,,, na utakuta mtu anasema hao hata kupiga mzigo hawawezi ni visukari na presha, sio wote umri huo ni wagonjwa tena mjue tu hao ni wazoefu wanatujua wanawake na akili zetu, wameshakutana na chiu nyingi tu,, na kama life style yake ni nzuri na hajazidi 55 amini nakwambia huo mziki wake kitandani lazima uombe poo, wanajua na wanajua tena na pumzi wanayo kuzidi hata barobaro wa miaka 30,

Wanawake tuna tabia ya kupenda wanaume wenye experience, kinyume kabisa na wanaume
Kwamba hutaki drama za vijana as if older men wote hawana drama!
Mwanaume mwenye standard na maisha yake yapo kwenye mpangilio mzuri atakuwa na drama if you provide less than what he deserves, regardless of age, vinginevyo huyo mtu hajielewi. It's not a flex kuona upo over 30 na unadate wanaume wakubwa ukadhani una option kuliko, know that most men are thirsty, they accept whatever's on a table.
 
Sawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..

Mimi ninachokwepa ni kupendewa hela na huyo binti, ukute Labda muonekano wangu (physical appearance) haumvutii kwasababu ya umri wangu kuwa mkubwa..ukute huyo binti kichwani anawaza huyu babu alonizidi miaka 15 ntampeleka wapi, Siwezi olewa nae, naona aibu kutembea nae barabarani, ngoja anihudumie kipesa, ilhali moyo wangu uko kwa kijana wa rika langu k.v miaka 24 au 22 Joannah Dinazarde

Mfano mimi kama mimi nitakubali huyo mwanaume mwenye kunizidi miaka 15 kwa sababu hela anayo hata Kama ana sura mbaya

Issue inakuja uwe na sura mbaya na pesa huna…. Wakati wapo vijana wa umri wangu wenye sura nzuri japo hawana pesa ni heri niolewe na kijana mwenzangu tutatafuta hela


Kwa mzee tunaanza kupenda pesa…. Mapenzi yanakujaga baadae kama ukimnogeshaa

Sasa ukute una miaka 35 halafu maisha huna unataka katoto si bora ukaache kaolewe na wa age yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwalimu wangu wa chuo mara moja aliwahi sema wanaume tunaanza kuwa "hensamu" tukifikisha miaka 35. Maana hapo tunakuwa almost stable kwenye masuala mengi.

Mkuu chukua chombo hicho, kuna mzee alioa binti wa miaka 21 yy akiwa na 38, na wako pamoja mpaka leo.

Hakuna Mzee wa miaka 38
Kikawaidaa Mzee ni miaka 60…. Suala la uzee tunalijua sisi wanawake nyie wanaume hamjui hii issue

Miaka 38 kijana mwenye nguvu anatakiwa kutafuta hela tu aoe dogodogo
 
Mfano mimi kama mimi nitakubali huyo mwanaume mwenye kunizidi miaka 15 kwa sababu hela anayo hata Kama ana sura mbaya

Issue inakuja uwe na sura mbaya na pesa huna…. Wakati wapo vijana wa umri wangu wenye sura nzuri japo hawana pesa ni heri niolewe na kijana mwenzangu tutatafuta hela


Kwa mzee tunaanza kupenda pesa…. Mapenzi yanakujaga baadae kama ukimnogeshaa

Sasa ukute una miaka 35 halafu maisha huna unataka katoto si bora ukaache kaolewe na wa age yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamfano huyo mwanaume aliokuzidi miaka 15 sura yake na muonekano wake ni mzuri unakuvutia hlf hana mtoto, hajaoa, na kitabia ni husband material utakubali uolewe nae mamamzungu
 
Kwamba hutaki drama za vijana as if older men wote hawana drama!
Mwanaume mwenye standard na maisha yake yapo kwenye mpangilio mzuri atakuwa na drama if you provide less than what he deserves, regardless of age, vinginevyo huyo mtu hajielewi. It's not a flex kuona upo over 30 na unadate wanaume wakubwa ukadhani una option kuliko, know that most men are thirsty, they accept whatever's on a table.
Ujue hapa tunaongelea tofauti ya umri ktk mahusiano ya me na ke,, anaweza kuwa na 33 kwa 18, automatically huyo mwanaume atamtreat hivyo hivyo km wenyw tofauti ya 45 kwa 30,, uzuri nyie huwa mnajiset hivyo wanawake mnaowazidi sana mnavyowatreat Ni tofauti na wa age yenu,,

Kuhusu drama wengi akishajua anadate na binti anaemzidi parefu huwa wana act km walezi Sasa hao wenye drama za kijinga ni wachche mnoo
 
Ujue hapa tunaongelea tofauti ya umri ktk mahusiano ya me na ke,, anaweza kuwa na 33 kwa 18, automatically huyo mwanaume atamtreat hivyo hivyo km wenyw tofauti ya 45 kwa 30,, uzuri nyie huwa mnajiset hivyo wanawake mnaowazidi sana mnavyowatreat Ni tofauti na wa age yenu,,
Kuhusu drama wengi akishajua anadate na binti anaemzidi parefu huwa wana act km walezi Sasa hao wenye drama za kijinga ni wachche mnoo

Ni kweli kabisa, ila kuna hoja jamaa mmoja umu katoa kua wanawake mkishafikia umri wa30 na mkawa na maisha yasio na stress hua mnakuasexual active sana, nalishuhudia ili sana kwa workmate wenzangu sema wengi ni wasimbe(hawako kwenye ndoa kwa sababu tofautitofauti)

Hata mimi nilikua nawaza ilo swala uzuri mke wangu nimemzidi miaka michache(5) ila tungekua tumepishana gep kubwa hii ingenipa stress maana naona wengi age mate wangu wanawake wanasumbua sana vijana sijui kwanini! hasa hawa vijana sector za Afya&Matibabu ndo wanashobokewa sana na wamama.
 
Kama kapita umri halali wa kua na mwanaume, halali yako...
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Kumi michache hivyo? Watu wanapiga hata kwa difference ya 40!
 
Dah.. Mimi vitoto ndio siviwezi kabisaa, unaweza nipa mtoto nikatoka nae Mtwara mpaka kigoma na kisitokee kitu, ila mtu mzima[emoji23] mtaa wa aggrey na likoma mbali, mbivu na mbichi zishajulikana. [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwenu Studio...
 
Back
Top Bottom