Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Yaan wew na 35 yako ye ana 20 lakini kwa muonekano mnapeana na mambo kabsa na namba mnapeana... suala la kujua huyu kanizid miaka mingap ilo ushakula na mzigo mara kibao katika mastor ndo unajua khaa nimekazid 15yrs aseee
 
Ubaya unakuja pale ambapo we umeruka weee mwisho wa siku una miaka yko 35-40 unataka sasa utulie ujenge maisha unaoa binti ana mwenye 20-25 ambae nae ndo anaanza kuuchea ujana,,Hapo ndo utasikia mdada kakatwa mbususu imewekwa mezani 😂
 
Sawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..

Mimi ninachokwepa ni kupendewa hela na huyo binti, ukute Labda muonekano wangu (physical appearance) haumvutii kwasababu ya umri wangu kuwa mkubwa..ukute huyo binti kichwani anawaza huyu babu alonizidi miaka 15 ntampeleka wapi, Siwezi olewa nae, naona aibu kutembea nae barabarani, ngoja anihudumie kipesa, ilhali moyo wangu uko kwa kijana wa rika langu k.v miaka 24 au 22 Joannah Dinazarde
Jibu la uhakika la swali lako/wasiwasi wako analo huyo binti umpendae.
 
Msichokielewa ni kuwa wanawake wengi wa humu ni 30+ years of age. Sio rahisi binti wa miaka 21 akaanza kuwaza kutoka na mtu wa miaka 45 wakati yuko katika pool ya vijana wengi wa 25-30yrs. Labda demu mshamba asiyejitambua.

Kwa mtoto wa kike peak years ni 18-24 hapo ambapo wengi anaovutiwa nao ni age mates na gap linaongezeka kidogo anapo approach 26-28yrs.

Mwanamke akishafika lets say 30-35 yrs kwake si rahisi ku date na kijana age mate wake sababu aakuwa nje ya soko la vijana tayari.

Option iliobaki inakuwa ni kudate na mtu mwenye 10-15yrs older na wengi huona fahari sababu wanaume wengi wa huo umri wanakuwa tayari wame stabilize kimaisha, wengine wana wake na familia zao na ambao hawajaoa wanakuwa wana financial muscles na incase ya ndoa ni rahisi kuoa hawa wanawake sababu wanakuwa na uwezo ishu ni kushawishiwa tu.

KE wengi wanachoinjoy humo ni lile penzi linaloambatana na spoiling ama uchakavu wa mapene, anacholilia kinapatikana kwa wakati. Ila cha ajabu wauza kahawa wengi wapo wenye age hizo ila huwezi sikia wakiongelewa na hawa mademu,,, tafakari!!!😂
 
Mi ladha yangu ni wanaume wakubwa kiumri kianzia gap la 12 -18 hapo najisikia raha sana na sura yake isiwe nzuri awe mbaya yani mbaya ndo napata burudani hao ndo wanakuwaga wanaume jamani,, wanathamini mapenzi, wanajua kupiga mashine, wanapambana na wanajiweza kimaisha,,
Kapeace umejua kutuliwaza mababu asee

Hii comment itengenezewe frame itunzwe
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
oi mtongoze tu hatak pesa wala nn mapenz n mapenz umri ni namba tu
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Kuna jamaa mke wake kachakazwa,jiandae kuchakaziwa mzee baba.
 
Back
Top Bottom