Wangu ananizidi 15,, ni raha aje.. nampenda kuliko kupenda kwenyewe kwa shida na raha, sio wanawake wote tunavutiwa na mionekano ya wanaume haswa wanawake matured,, tunaangalia mwanaume anaeweza kuyakabili majukumu yake ya kiume hayo ya muonekano ni wanawake wachache wanaoyazingatia, na wenye sura personal labda,,
Mi ladha yangu ni wanaume wakubwa kiumri kianzia gap la 12 -18 hapo najisikia raha sana na sura yake isiwe nzuri awe mbaya yani mbaya ndo napata burudani hao ndo wanakuwaga wanaume jamani,, wanathamini mapenzi, wanajua kupiga mashine, wanapambana na wanajiweza kimaisha,,
Kwa umri wa huyo binti anaweza kukusumbua lakini nikutoe wasiwasi tupo tunawapenda tunawaelewa na Wala hatuoni hata kuwaza hizo aibu za kuongozana nae mara sijui mzee,, hakuna mwanaume mzee wewe