Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

Kwanza tambua mwanaume hazeeki jaribu kuwa na watoto mapacha wa kike na wakiume halafu waangalie utajua nani atawahi kukua? Binti wa miaka 18 huwezi mlinganisha na kijana wa kiume wa 18 kiumri wako sawa ila kwa mengine wameachana mbali.

Haina shida wewe oa tu.
 
Kwanza tambua mwanaume hazeeki jaribu kuwa na watoto mapacha wa kike na wakiume halafu waangalie utajua nani atawahi kukua? Binti wa miaka 18 huwezi mlinganisha na kijana wa kiume wa 18 kiumri wako sawa ila kwa mengine wameachana mbali.

Haina shida wewe oa tu.
Ewaaa
 
Tatizo unataka tukubaliane na fikra zako, wapo mabinti walioolewa na 20 au chini ya hapo na wanaume wanaowazidi, miaka 10-20 na wakadumu,,

Ijapokuwa umri huo 20-25, ni umri sumbufu kwa wanawake maana anakuwa hot hivyo rika lake wwtamsumbua lakini watamchezea tu na kumdampo hapo, akiongeza miaka 2-3 mingine akili inamkaa ndo atajua mwanaume wa kweli yukoje na Yuko wapi,, Sasa Basi Kama mwanamke unamzidi sana na unamuhitaji kwq mahusiano marefu,, mtafute akiwa kwenye late 20's mpk mid 30's, hawezi kukuletea drama za kijinga, sababu kashavuka umri wenye ujinga mwingi,

Binafsi yangu kitu sikiwezi Ni kuwa na mwanaume mdogo naelingana nae au namzidi sababu sijui kumfundisha mwanaume kabisa na sio asili ya mwanamke kumfundisha mwanaume,, pia sie akili yetu ktk mahusiano iko mbele kww miaka 10 zaidi ya wanaume, Yani binti mwenye miaka 25 anaweza kuhimili akili ya mwanaume wa miaka 40 na zaidi tofautu na mwanaume mwenye miaka 25 bado ananuka hata pumbu,,
Itakua kweli maana ninamiliki pisi ina miaka 29 na mimi nina 24 haiwezi pita siku bila kutaka ndoa pumbafu sana yule binti haende kwa wazeee wa miaka 40
 
Kudate na mwanaume uliyemzidi umri hakuna tofauti na kuchunguliwa na mtoto
Mbona mimi wangu kanizidi miaka mitano? kwahiyo namchungulia yeye now ana 29
 
Angalia jayz na Beyonce wameachana Gap hipi?

Shida wanaume wenye 30+ hapa Tz wengi kichwani Kama watoto hawana future hawajitambui uzinzi wa kufa Mtu hata hapa JF ndo wanaongoza kupost ujinga kwa kiwango kikubwa johnthebaptist ndo dizaini ya hawa


So mm naona vijana around 20+ wako focus Sana katk future ukilinganisha na wazee.
 
Itakua kweli maana ninamiliki pisi ina miaka 29 na mimi nina 24 haiwezi pita siku bila kutaka ndoa pumbafu sana yule binti haende kwa wazeee wa miaka 40
Hasara ni kwake kujitoa Kwa mvulana aina yako
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Tuna 50 huko tunakanyaga under 25. Halafu unamwita tu na kumwambia leo nimejisikia nikuone. Anajibu 'fresh tu'

Kimsingi mwanaume uone haya wewe kutongoza. Mwanaume ana 25yrs anabeba limama la 50yrs.

Ushauri, mtoto wa mwenzio ni mtoto wako. Mheshimu mtoto wa mwenzio.
 
Huyo alijua mzee atamjengea nyumba mzee akishamzalia,kifupi ali bet[emoji2]
Sasa mzee mwenye ana wake wandoa watatu tena ndoa za kiislamu sasa kwa sheria za Dini ya kiislamu mtoto wa nje ya ndoa hawezi kupa urithi na wao wanasema mtoto wa nje ya ndoa ni mtoto wa mama peke ata majina harusiwi kutumia ya baba" sheria hizi wanatumia sana Zanzibar. Sasa Mwanamke ni mkristo utakubali vipi kuzaa nje ya ndoa na muislamu tena mume wa mtu, mtoto atakosa huduma na haki za baba yake yaani ata haki ya malezi tu.
 
Harmonize pekee ndo anaweza kuja kueleza ukweli maana yeye ana uzoefu huko kwa kajala.

Anyways, kuchagua ni kupanga na kupanga ni kuchagua.
 
Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.

Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.

Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Kwani unapomtongoza anakuomba cheti za kuzaliwa?
 
Wa mikoani[emoji2955]
Ndiyo wechunguza wanawake wengi waliokulia mikoani uko na kuja mjini wengi wao ndiyo wanatabia ya kuzaa na waume wawatu tena wazee, Binti wa mjini hawezi kuzaa hovyo na wazee au mume wa mtu mkwanza binti wa mjini kuzaa na mzee ataogopa kuchekwa na kutaniwa kwao na marafiki zake, siyo kwamba wasichana wa mjini hawatembei na wazee wanatembea nao.
 
Ndiyo wechunguza wanawake wengi waliokulia mikoani uko na kuja mjini wengi wao ndiyo wanatabia ya kuzaa na waume wawatu tena wazee, Binti wa mjini hawezi kuzaa hovyo na wazee au mume wa mtu mkwanza binti wa mjini kuzaa na mzee ataogopa kuchekwa na kutaniwa kwao na marafiki zake, siyo kwamba wasichana wa mjini hawatembei na wazee wanatembea nao.
🤝
 
Sisi wengine mwili mdogo mwembamba kila mwaka tuna miaka 25 ni wanawake wanaamini [emoji28]yaani kila mwaka mimi nina miaka 25 sijawahi kuvuka hapo [emoji28]nachukua mabinti kuanzia miaka 18 mwisho 21 sitongozi kabisa wastaaafu wenzangu
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee kutoka na mimama au midada mikubwa above 23 huko ni kujishushia hadhi na kutojiheshimu.
 
Back
Top Bottom