Asiwe mwanafunzi ila mengine utajiona ww ulivyo mdogo kwake maana jasho litakutoka kukabiliana nae.Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.
Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.
Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Ukutane na huyo anaependa wazee kama wewe mbona fresh tuMm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.
Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.
Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Wanaangalia tu helaMm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo.
Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake.
Wanaume wenye uzoefu na hili pia mnakaribishwa kuchangia hapa.
Sawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..Hapo ndio penye Sasa!full kubebishwa
Hapana,mnakuwa na muonekano mzuri tu,Tena mnavutia kwelikweli maana mnajiweza kiuchumi.Hayo ya pesa huwezi kukwepa,tunapochagua wapenzi lazima tuangalie na uchumi wako,Maisha yamebadilika Sana,kila mwanamke anapenda kuwa na mwanamme mpambanaji inaongeza security...Sema nini hapo kwenye case yako inategemea na akili za mhusika,yaani anaweza kukupenda mpaka ukashangaa au akakupasua kichwa mpaka ukashangaaSawa mnabebishwa, ila nachouliza mnavutiwaga na muonekano wa hao wanaume? Isije ikawa unaenda kwa huyo mwanaume alokuzidi miaka 15 kisa pesa..
Mimi ninachokwepa ni kupendewa hela na huyo binti, ukute Labda muonekano wangu (physical appearance) haumvutii kwasababu ya umri wangu kuwa mkubwa..ukute huyo binti kichwani anawaza huyu babu alonizidi miaka 15 ntampeleka wapi, Siwezi olewa nae, naona aibu kutembea nae barabarani, ngoja anihudumie kipesa, ilhali moyo wangu uko kwa kijana wa rika langu k.v miaka 24 au 22 Joannah Dinazarde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa matamu hayo mapenzi acha kabisa.unadeka yaan unakuwa umepata baba [emoji23][emoji23] mi nazidiwa 16
Ni kweli mimi nilikuwa na demu single mother kuja kujua baba mtoto wake alimzalisha ni umri sawa na wazazi wangu yani baba mtoto wake ana miaka 64 sawa na baba yangu mpaka leo najiuliza inakuwaje msichana unazalishwa na mume wamtu tena mzee wa miaka 64, sijui kwanini wanawake wa mikoani hawaoni shida kuzaa na wazee.Hapana,mnakuwa na muonekano mzuri tu,Tena mnavutia kwelikweli maana mnajiweza kiuchumi.Hayo ya pesa huwezi kukwepa,tunapochagua wapenzi lazima tuangalie na uchumi wako,Maisha yamebadilika Sana,kila mwanamke anapenda kuwa na mwanamme mpambanaji inaongeza security...Sema nini hapo kwenye case yako inategemea na akili za mhusika,yaani anaweza kukupenda mpaka ukashangaa au akakupasua kichwa mpaka ukashangaa
Kikubwa utelezi15 michache hata zaidi ya hiyo.
eti ... it's just a numbers....