Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

wanamaanishi kwamba
wanamaanisha kwamba "CHAKE CHAKE,CHAKO CHAKE"
 
By 2013 ni asilimia 3 tu ya wanaume US ndio walikuwa wana receive Allomony na unaweza ukakuta hata sasa haijafi 5,ila zaidi ya asilimia tisini ya Allomony US wanapokea wanawake na kama hujui ,US wanaharakati wanao ongoza kupigania uonevu zidi ya wanaume ni wanawake ambao wengi wao ni wanasheria wa talaka au mafenist ambao mitizamo yao imebadilika baada ya kupata watoto au wajukuu wa kiume? Ushajiuliza ni kwa nini,wanawake wenzenu ndio wanao pambania haki za wanaume?
 
Na ndio maana tukiachana tunataka tugawane mali zenu nusu kwa nusu.

Sababu mwanaume akipata 30,000 nyumbani analeta 20,000 nyingine anampa mchepuko.
Mwanamke akipata 30,000 yote anaitumia kwake na watoto.
Watoto???
 
Hii muhimu, mwanamke sio wa kumuambia kila kitu
 
Tafadhali ambatanisha na takwimu za asilimia ngapi ya wanawake waliotalikiana mpaka mwaka 2013 walikua na kipato cha juu kuzidi wanaume. Asante!
 
Aisee inasikitisha...
 
Nyinyi wanaume ndiyo mnasababisha wanawake wawe hivyo.
 
Uko sahihi kabisa.....Ngoja nikuuulize swali jepesi umefanya utafiti kwa kiwango gani kutambua kwamba wanaume weeng japo sio wote wakitelekeza familia linakuwa jukumu la mama kulea ...

Mahakamani ukitokea mtafaruko WA kugawana Mali inakuwaga 50/50 ...Ila mgawanyo huegemea upande WA mwanaume Sana Sana na huduma juu bado atoe Huoni kama kuna upendeleo fulani ambao huwapa kiburi wanawake?

Ubinafsi tunaugongelea pia katika malezi mkiachana lazima mama Ampandikize Sumu mtoto huo ni ubinafsi bado kwasababu matumizi Yao baadhi wanapata kwa mzazi WA kiume
 
Hili wanalo hasa wanawake wa kiswahili. Uswahilini huwa wanawake wanaambiana mume anaweza kukuacha muda wowote hivyo ni lazima ujiandae. Ila ni tabia ya hovyo sana na ukiona mwanamke kafanya hivyo basi ujue hakuamini wewe na anajindaa kuvunja ndoa siku yoyote mambo yake yakikaa sawa. Tena wanawake wa aina hii wanakuwa jeuri sana wanapokuwa wamemamaliza nyumba.
 
Sasa mfano Kelsea hayo umeyashuhudia Mama yako akifanyiwa na Baba yako. Kesho unakutana na mwanaume anakuoa anakwambia uache kazi utakubali?
 
Tafadhali ambatanisha na takwimu za asilimia ngapi ya wanawake waliotalikiana mpaka mwaka 2013 walikua na kipato cha juu kuzidi wanaume. Asante!
Women are still the primary alimony recipients, but the number of men who receive alimony from their former spouses is increasing. According to the 2000 census, 0.5 percent of alimony recipients in the United States were male. By 2010, 3 percent of the 400,000 alimony recipients in the country were male.

Correction ni 2010 na si 2013.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…