Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hela ya mwanaume ina kazi nyingi sanaSababu mwanaume akipata 30,000 nyumbani analeta 20,000 nyingine anampa mchepuko.
Mwanamke akipata 30,000 yote anaitumia kwake na watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela ya mwanaume ina kazi nyingi sanaSababu mwanaume akipata 30,000 nyumbani analeta 20,000 nyingine anampa mchepuko.
Mwanamke akipata 30,000 yote anaitumia kwake na watoto.
wanamaanisha kwamba "CHAKE CHAKE,CHAKO CHAKE"Nataka kujua ndio ujanja,umaarufu,ukisasa, usomi,kiburi,majigambo,majivuno,dharau,umwamba au!!?
Na tena wakati unafanya hivyo upo kwako na mlishajenga pa kuishi,na mwenza anakushirikisha Kila jambo la kifamilia analofanya!
MSAADA TAFADHALI,sio kwamba natumika baadae nitangulizwe baada ya mpangokazi wake wa ukwasi kukamilika!
Maoni yenu nitayazingatia!
Kataa ndoa mje pole pole!!
Na wale waume wenza mliopo humu mje pole pole nawajua!
By 2013 ni asilimia 3 tu ya wanaume US ndio walikuwa wana receive Allomony na unaweza ukakuta hata sasa haijafi 5,ila zaidi ya asilimia tisini ya Allomony US wanapokea wanawake na kama hujui ,US wanaharakati wanao ongoza kupigania uonevu zidi ya wanaume ni wanawake ambao wengi wao ni wanasheria wa talaka au mafenist ambao mitizamo yao imebadilika baada ya kupata watoto au wajukuu wa kiume? Ushajiuliza ni kwa nini,wanawake wenzenu ndio wanao pambania haki za wanaume?Kulipa Alimony au huduma za watoto siyo gender specific, yule mwenye kipato kikubwa au mali zaidi hua anamlipa mwenzake.
Kama kweli unazungumzia uhalisia, hizi ni case tatu kati ya nyingi za marekani ambazo wanawake waliamriwa kuwalipa Alimony wanaume.
- Britney Spears - Aliamriwa kumlipa $20,000 kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya watoto kwa mume wake wa zamani, Kevin Federline, baada ya talaka yao mnamo 2007.
- Mary J. Blige - 2018, aliamriwa kumlipa aliyekuwa mume wake, Kendu Isaacs, $30,000 kwa mwezi kama alimony baada ya talaka yao. Huyo mumewe alikua ameomba alipwe $100,000 kwa mwezi mahakama ikakataa.
- Halle Berry - alilamriwa kumlipa aliyekua mpenzi wake Gabriel Aubry $16,000 kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto wake. Huyu hakuwa mume bali mpenzi waliyezaa pamoja.
Kwenye swali lako la pili, ni kosa kisheria kwa mwanamke (au mwanaume) kuficha mali na kung'ang'ania kugawana mali za mwenzake tu, ikigundulika unachukuliwa hatua za kisheria. Huko Marekani, divorce lawyers huwa wanatafuta forensic accountants au financial experts kwa ajili ya kuchunguza mali kabla ya mgawanyo.
Watoto???Na ndio maana tukiachana tunataka tugawane mali zenu nusu kwa nusu.
Sababu mwanaume akipata 30,000 nyumbani analeta 20,000 nyingine anampa mchepuko.
Mwanamke akipata 30,000 yote anaitumia kwake na watoto.

Hii muhimu, mwanamke sio wa kumuambia kila kituJamaa yangu inno wa moshi aliishi na mke wake kwa furaha, wakafanikiwa kufungua kampuni ya Utalii , mke akaanza usiri kwenye mambo yake akaanzisha biashara ya kuuza bidhaa nje ya nchi, zile bidhaa akawa anazitangaza export hub , globy (B2B) , ikawa Siri kweli baadae biashara ya Utalii ikayumba mke kajikausha , baadae inno akagundua mke alikua kwenye biashara , nzuri Tu na haukusema na mke alipobanwa ndio akatoboa Siri lakini biashara yake ikiwa imeyumba tayari, inno akajifunza ubinafsi mkubwa wa wanawake hadi Leo hawezi kuweka wazi mambo yake kwa mwanamke.
Tafadhali ambatanisha na takwimu za asilimia ngapi ya wanawake waliotalikiana mpaka mwaka 2013 walikua na kipato cha juu kuzidi wanaume. Asante!By 2013 ni asilimia 3 tu ya wanaume US ndio walikuwa wana receive Allomony na unaweza ukakuta hata sasa haijafi 5,ila zaidi ya asilimia tisini ya Allomony US wanapokea wanawake na kama hujui ,US wanaharakati wanao ongoza kupigania uonevu zidi ya wanaume ni wanawake ambao wengi wao ni wanasheria wa talaka au mafenist ambao mitizamo yao imebadilika baada ya kupata watoto au wajukuu wa kiume? Ushajiuliza ni kwa nini,wanawake wenzenu ndio wanao pambania haki za wanaume?
WaleeeeeWanawake wengi, ila siyo wote, wakipata hela hawataki au hawaoni umuhimu wa mwanaume na ndoa.
Kataa ndoa hapa wanayoyoma kwa kasi ya SGR
Aisee inasikitisha...Nataka kujua ndio ujanja,umaarufu,ukisasa, usomi,kiburi,majigambo,majivuno,dharau,umwamba au!!?
Na tena wakati unafanya hivyo upo kwako na mlishajenga pa kuishi,na mwenza anakushirikisha Kila jambo la kifamilia analofanya!
MSAADA TAFADHALI,sio kwamba natumika baadae nitangulizwe baada ya mpangokazi wake wa ukwasi kukamilika!
Maoni yenu nitayazingatia!
Kataa ndoa mje pole pole!!
Na wale waume wenza mliopo humu mje pole pole nawajua!
Sheria ipi ya Mungu inasema mwanamke hatakiwi kufanya kazi?Mkuu ndio maana mwanamke alipaswa kukaa nyumbani azae na kulea watoto. Kwa sababu tunakiuka sheria za mungu ndio maana haya yanatokea.
🤣🤣🤣 wanaume wanaotelekeza mama na watoto wapo wengi tu!!Kama hao watoto tayari Wana kwao wameshajengewa ndio ajenge kisiri siri!!?Ina maana Kuna mwanamme Dunia hii atafukuza mama na watoto kwenye nyumba halafu akae na mchepuko!!?
Hebu eleza hili!
Kizazi hiki kina nukuu maneno kinyuma nyumaSheria ipi ya Mungu inasema mwanamke hatakiwi kufanya kazi?
Nyinyi wanaume ndiyo mnasababisha wanawake wawe hivyo.Kama akili zenyewe ndio hizi acheni tu vijana wa siku hizi wawe wagumu kuoa.Sasa mtu yupo kwenye ndoa anatelekeza vipi mtoto? Ila cha ajabu siku wakija kuachana zinagawanywa na mwanaume ila mali a mwanamke haziguswi,halafu kesho mnalamika mnataka 50/50 ,haki sawa ila vya kwenu hamtaki usawa.
Kama bado unaroho ya UBINAFSI ndoa haikufai achana nayo, endelea kukaa mwenyewe ujenge nyimba zako ,ufungue biashara zako uendelea na maisha yako binafsi.
Uko sahihi kabisa.....Ngoja nikuuulize swali jepesi umefanya utafiti kwa kiwango gani kutambua kwamba wanaume weeng japo sio wote wakitelekeza familia linakuwa jukumu la mama kulea ...Hivi ni kweli hamna uelewa wa haya mambo ya migogoro ya kifamilia na kadhia za talaka au kutengana.
Wanaume wangapi wanaendelea kuhudumia watoto ipasavyo baada ya ndoa kuvunjika na bila kushurutishwa na ustawi wa jamii au mahakama? Wapo ila ni wachache, wengi wanaamini mkiachana jukumu la watoto ni la mama.
Ndoa ikivunjika, taratibu za kutafuta mpaka kupata talaka inaweza kuchukua miaka. Hicho kipindi chote hao watoto uliomwachia mkeo wanaishije? Kama mke hajasimama kiuchumi ni either watoto watateseka au atarudi kwao kusaidiwa kulea na ndugu zake.
Naona kama majadiliano mengine tunalazimisha tutoke nje ya maisha yetu ya kiuhalisia kwenye jamii.
Kuna shida kubwa sana ya malezi ya watoto na mwanamke kwa kiwango kikibwa ndiye anayeathirika ndoa ikivunjika. Sheria za mgawanyo zimewekwa ili kulinda maslahi wa wanandoa wote na watoto. Kisheria, ni kosa kuidanganya mahakama na kuficha mali iwe amefanya mwanamke au mwanaume.
Hili wanalo hasa wanawake wa kiswahili. Uswahilini huwa wanawake wanaambiana mume anaweza kukuacha muda wowote hivyo ni lazima ujiandae. Ila ni tabia ya hovyo sana na ukiona mwanamke kafanya hivyo basi ujue hakuamini wewe na anajindaa kuvunja ndoa siku yoyote mambo yake yakikaa sawa. Tena wanawake wa aina hii wanakuwa jeuri sana wanapokuwa wamemamaliza nyumba.Nataka kujua ndio ujanja,umaarufu,ukisasa, usomi,kiburi,majigambo,majivuno,dharau,umwamba au!!?
Na tena wakati unafanya hivyo upo kwako na mlishajenga pa kuishi,na mwenza anakushirikisha Kila jambo la kifamilia analofanya!
MSAADA TAFADHALI,sio kwamba natumika baadae nitangulizwe baada ya mpangokazi wake wa ukwasi kukamilika!
Maoni yenu nitayazingatia!
Kataa ndoa mje pole pole!!
Na wale waume wenza mliopo humu mje pole pole nawajua!
n 😂Aisee wanawake niwakugegeda tuuu
Sasa mfano Kelsea hayo umeyashuhudia Mama yako akifanyiwa na Baba yako. Kesho unakutana na mwanaume anakuoa anakwambia uache kazi utakubali?Mimi mama yangu kajenga mikoa tofauti na hadi mshua anaenda kaburini hajui lolote. Wakati wa uhai wake kampiga sana matukio hataki afanye kazi na hataki awe na maendeleo yoyote eti mke wa mtu na alimkuta kasoma na ana kazi tayari. Mtu hawazi ya mbele na ukoo wake ni ule wanaamini cha ndugu yoyote ni cha ukoo mzima. Akaona isiwe kesi katafuta mahala pengine kimya kimya. Na mzee alipofariki tu fujo zikaanza haya niambie kama hakua kajiongeza mapema hali ingekuaje.
Kama ndoa huwezi hujalamizwa,then jaribu upweke, hujashikiwa bunduki ili uingie kwenye ndoa.Nyinyi wanaume ndiyo mnasababisha wanawake wawe hivyo.
Tafadhali ambatanisha na takwimu za asilimia ngapi ya wanawake waliotalikiana mpaka mwaka 2013 walikua na kipato cha juu kuzidi wanaume. Asante!