Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

Wanawake mnaojenga nyumba kwa siri bila mwenza kujua huwa mnamaanisha nini?

Na ndio maana tukiachana tunataka tugawane mali zenu nusu kwa nusu.

Sababu mwanaume akipata 30,000 nyumbani analeta 20,000 nyingine anampa mchepuko.
Mwanamke akipata 30,000 yote anaitumia kwake na watoto.
Mhhh mwanamke anaweza akadai hela ya matibabu aliyo mtibia mtoto wake na hapo utakuta jamaa kasafiri labda kwa wiki kamwachia laki mbili na nusu ,moja na nusu ni matumizi,moja ni ya ziada .Ila mtoto akiumwa ukakuta labda matibabu yake alitumia elfu 30,siku mumewe akirudi atadai elfu 30 akisahu kuwa lipewa laki moja ya ziada.

Nina mfano huo hata sijasimuliwa jamaa yangu dereva wa bajaj,kakesha usiku ila usiku huo biashara ilikuwa sio nzuri karudi night kali,anahelaya kula tu yy na familia yake. Asubuhi mkewe anamuamsha anataa hela ya pampas jamaa akamwambia jela ana,ila amfunge mtoto na vikanga mchana akiingia road atamtumia,demu akawa analalamika mara kanga sijui style za kizamani ila akakubali kwa shingo upande. Sasa akatoka kwenda kunua vitafunio na jamaa mda huo kaamka anaanza kutafuta simu yake,katafufuta weee,baadae akaanza kupekua kabatini kaanza upande wake wapi hakuiona,akasema labda atizame upande wa mkewe kupekua pekua anakutana na 1.2m,jamaa alichoka. Mkewe kurudi home anamuuliza hii 1.2m umeipata wapi, akadai alipewa na baba 1.5m baada ya mzee kuuza kiwanja chake, laki tatu alitumia (matumizi yenyewe hayaeleweki) ndio ikabaki hiyo 1.2m,sasa pata picha kwenye 1.2m anashindwa kutoa mia tano ya pampas kwa ajili ya mtoto.

Shukuruni tu wanaume kiasili sio waongeaji kabisa, mengi tunamezea tu.
 
Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.
Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafte ela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.
Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake,, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa ...
Duh!?
 
Mhhh mwanamke anaweza akadai hela ya matibabu aliyo mtibia mtoto wake na hapo utakuta jamaa kasafiri labda kwa wiki kamwachia laki mbili na nusu ,moja na nusu ni matumizi,moja ni ya ziada .Ila mtoto akiumwa ukakuta labda matibabu yake alitumia elfu 30,siku mumewe akirudi atadai elfu 30 akisahu kuwa lipewa laki moja ya ziada.

Nina mfano huo hata sijasimuliwa jamaa yangu dereva wa bajaj,kakesha usiku ila usiku huo biashara ilikuwa sio nzuri karudi night kali,anahelaya kula tu yy na familia yake. Asubuhi mkewe anamuamsha anataa hela ya pampas jamaa akamwambia jela ana,ila amfunge mtoto na vikanga mchana akiingia road atamtumia,demu akawa analalamika mara kanga sijui style za kizamani ila akakubali kwa shingo upande. Sasa akatoka kwenda kunua vitafunio na jamaa mda huo kaamka anaanza kutafuta simu yake,katafufuta weee,baadae akaanza kupekua kabatini kaanza upande wake wapi hakuiona,akasema labda atizame upande wa mkewe kupekua pekua anakutana na 1.2m,jamaa alichoka. Mkewe kurudi home anamuuliza hii 1.2m umeipata wapi, akadai alipewa na baba 1.5m baada ya mzee kuuza kiwanja chake, laki tatu alitumia (matumizi yenyewe hayaeleweki) ndio ikabaki hiyo 1.2m,sasa pata picha kwenye 1.2m anashindwa kutoa mia tano ya pampas kwa ajili ya mtoto.

Shukuruni tu wanaume kiasili sio waongeaji kabisa, mengi tunamezea tu.
Umeuwa mkuu....Pampas ya 500 kwa Million 1.2 Daah
 
Ni kama wanaume mnavyofanya mambo yenu kimya kimya basi na wanawake ni hivyo hivyo. Kuna dada alienda kununua kiwanja mahala hakumuambia mumewe kumbe mumewe nae katafuta kiwanja eneo hilo hilo bila kujua na hakumuambia mkewe. Mbeleni wamekuja kujua wamenunua viwanja eneo moja na kila mtu kamficha mwenzake.
😱 😀 😀 😀 Wakawa majirani ...... hata wakiachana watakutana tu hata kwenye vikao vya mtaa.
 
Aisee... Kuna kipindi nilikuwa napitia msoto yani kula kwenyewe shida niko na mwanamke ndani anaona navyohangaika nimeshuka from 100 to 5 hata kula ni kwa shida. kumbe ana ela lak 7 kaficha kabatini.
Sasa kuna siku nataka kutoka nikatafte ela and nilikuwa na hustle coz niko naye vinginevyo ningerudi kwetu, nikachukua begi lake la mgongoni nibebe kitu. alhaula, manoti yakamwagika. alikuwa amelala. nikachukua na kuzirudisha kabatini nikaondoka na bag. sasa aliposhtuka hizo simu alizopiga akihisi labda nimesepa na fedha yake.
Nikapokea na kumwambia najua umepiga unahisi nimesepa na fedha yake,, iko kabatini. Akaanza jieleza about fedha ila mimi nikajua hapa ...
Uaminifu ziro
 
Kuna jamaa yangu alimshtukia mkewe ana kibanda cha room 3 na kajenga kimya kimya. Kilichomfanya aanze kufanya uchunguzi ni mke kuanza kuwa jeuri kupitiliza. Alitafuta wahuni wakakivunja usiku, dada wa watu alitumia wiki kama mbili anaongea kwa ukwali huku akitema mate kama cobra bila kueleza kipi kimemkuta.
😀 😀 😀 Raha sana. Jamaa ye anachekea tu tumboni akijua kinachoendelea.
 
Kuna jamaa yangu alimshtukia mkewe ana kibanda cha room 3 na kajenga kimya kimya. Kilichomfanya aanze kufanya uchunguzi ni mke kuanza kuwa jeuri kupitiliza. Alitafuta wahuni wakakivunja usiku, dada wa watu alitumia wiki kama mbili anaongea kwa ukwali huku akitema mate kama cobra bila kueleza kipi kimemkuta.
Ubaya ubwela 😀😀😀
 
Duniani sheria za mgawanyo wa mali hazijawahi kuwa rafiki kwa wanaume ndio maana hata US wameanza kufuatili hili na moja ya jimbo waliolipitisha hili ni Miami mgawanyo na Allomony wanangalia umeishi na mwanaume kwa kipindi gani na mchamgo wako kwake. Huko US talaka zinaongoza kuwaumiza na kuwafilisi wanaume na kuwachia Mental Health kwani, kwani kwenye mgawanyo wa mali alizo tafuta kwa jasho lake wanapunjwa,Allomony wanalipa wao na bado wananyimwa nafasi ya kuwaona watoto. (Si zungumzii hisia bali na zungumza uhalisia).

Halafu unaposema jukumu la watoto ni la mama,wakati kuna wazee kibao wanakimbizana kulipa ada na mahitaji mengine ya msingi ya mtoto hawa wazee jukumu lao ni lipi ambalo ww unataka walifanye? By nature wanaume sio waongeaji na hawanaga kelele,wanaume wengi wanatelekeza mahitaji ya msingi, hata kama wengi wenu hamuadmit, ila wengi wenu mnataka mfaidike kupitia hela ile ile anayopewa mtoto.


Nimekuulizwa swali umeriruka mnajenga na kuwekeza kimya kimya why sasa ndoa ikivunjika unataka mgawanyo kwenye mali za mwanaume ila zako hutaki?Najua huwezi jibu sababu si kosa lako bali by nature mwanamke ni mbinafsi.
Kulipa Alimony au huduma za watoto siyo gender specific, yule mwenye kipato kikubwa au mali zaidi hua anamlipa mwenzake kama sapoti ya kumuwezeha kiuchumi.

Kama kweli unazungumzia uhalisia, hizi ni case tatu kati ya nyingi za marekani ambazo wanawake waliamriwa kuwalipa Alimony wanaume.
  • Britney Spears - Aliamriwa kumlipa $20,000 kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya watoto kwa mume wake wa zamani, Kevin Federline, baada ya talaka yao mnamo 2007.
  • Mary J. Blige - 2018, aliamriwa kumlipa aliyekuwa mume wake, Kendu Isaacs, $30,000 kwa mwezi kama alimony baada ya talaka yao. Huyo mumewe alikua ameomba alipwe $100,000 kwa mwezi mahakama ikakataa.
  • Halle Berry - alilamriwa kumlipa aliyekua mpenzi wake Gabriel Aubry $16,000 kwa mwezi kwa ajili ya matunzo ya mtoto wake. Huyu hakuwa mume bali mpenzi waliyezaa pamoja.

    Kwenye swali lako la pili, ni kosa kisheria kwa mwanamke (au mwanaume) kuficha mali na kung'ang'ania kugawana mali za mwenzake tu, ikigundulika unachukuliwa hatua za kisheria. Huko Marekani, divorce lawyers huwa wanatafuta forensic accountants au financial experts kwa ajili ya kuchunguza mali kabla ya mgawanyo.
 
Back
Top Bottom