Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Watakuja tuWasubirie wauzaji wanatakuja kukujibu
Hatari mkuuInvoices ni nyingi sana, left and right. Kweli wanaume tumeumbiwa mateso
Uwe na moyo mkuuWatakuja tu
πππNa ukiwa bahili sana huku una hela wanakuloga ili uwape vizuri π
πWanaume ni watawala
Wanawake ni watawalia
Sasa Kama hutaki kuliwa,nawe usile
Hisia zimehamia kwenye pochi
Kweli mnatutesa, hakuna mapenzi hapo; bali tunauziwa hudumaWanaume ni watawala
Wanawake ni watawalia
Sasa Kama hutaki kuliwa,nawe usile
Hisia zimehamia kwenye pochi
Mi naamini mapenzi ni hisia, kila mmoja anaonyesha hisia zake kwa mwenzake na maisha yanaendelea.
Sasa kumekuwa na tabia kama ya kununua huduma, ili mwanaume apate penzi lazima amgharamie mwanamke, hata kama mwanamke ana kazi au biashara nzuri, bado ataomba apewe fedha; ukishindwa kumpatia, ndipo timbwili timbwili linapoanza.
Sasa mimi najiuliza, kama unauza si bora useme? Ili tujue tunanunua huduma. Na je, hisia zenu zipo kwenye pesa tu?
Wanasema hivyo ili kuhalalisha kulipia hudumaWanasemaga Love is sweet but when money enter love is sweeter [emoji3][emoji3]
Kweli mnatutesa, hakuna mapenzi hapo; bali tunauziwa huduma
Kwa maana hiyo, anayepata raha zaidi ni mwanaume mpaka alipie huduma?Tatizo msioombwa hamjiongezi, we unamzagamua binti wa watu alafu hata pedi kumnunulia hutaki, kujiongeza hata kumpa hela ya matumizi yake hutaki
haijalishi ana kazi au hana hudumia jomba acha kulalamika, usitake kula kula usichokihudumia unless uendelee na mafuta na sabuni[emoji23]
Vyovyote vile π π ila toa pesa mkuu wacha ubahili na uzuri wetu wengi hua hawaombi usichokimudu hata kama ni kizinga utapigwa kilichopo ndani ya uwezo wakoWanasema hivyo ili kuhalalisha kulipia huduma
Mwanaume si ndo umetaka πππ, umenikuta zangu sina habari ukanitongoza baba hizo sio shida zangu ni zako kwahiyo kubali tu matokeoπKwa maana hiyo, anayepata raha zaidi ni mwanaume mpaka alipie huduma?
Kama tunapata raha wote, mi sitoi πππVyovyote vile π π ila toa pesa mkuu wacha ubahili na uzuri wetu wengi hua hawaombi usichokimudu hata kama ni kizinga utapigwa kilichopo ndani ya uwezo wako
Itabidi tukae pembeni muwe mnatufuata pale naniii zitakapowazidiMwanaume si ndo umetaka πππ, umenikuta zangu sina habari ukanitongoza baba hizo sio shida zangu ni zako kwahiyo kubali tu matokeoπ
Sasa una uhakika gani kama mnakua mnapata wote raha, ukute kitu enyewe ndo ile mtu ukipiga chafya inatoka, au huna maajabu π π π π wooooiKama tunapata raha wote, mi sitoi πππ