Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Mi naamini mapenzi ni hisia, kila mmoja anaonyesha hisia zake kwa mwenzake na maisha yanaendelea.

Sasa kumekuwa na tabia kama ya kununua huduma, ili mwanaume apate penzi lazima amgharamie mwanamke, hata kama mwanamke ana kazi au biashara nzuri, bado ataomba apewe fedha; ukishindwa kumpatia, ndipo timbwili timbwili linapoanza.

Sasa mimi najiuliza, kama unauza si bora useme? Ili tujue tunanunua huduma. Na je, hisia zenu zipo kwenye pesa tu?
Wanawake sikuhizi ni wauzaji in “Stealth-Mode”

Watakujia juu ila ndio ukweli.
 
Pesa sio mapenzi!

Ndio maana hata kuwa waaminifu inawawia vigumu sababu kama pesa ndio password na sio upendo wako basi jua tu kuwa huwezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja.

Bidhaa siku zote haikataagi mnunuzi 😅 msihalalishe biashara ya ngono kwa style hio.

Leo ntakupa laki utakuwa na mimi akija wa laki na nusu nae utampa mbunye hapo kuna mapenzi kweli?
Hakuna ubaya ukimuomba mtu wako pesa hata mara moja .
Mimi sizungumzii huko kuomba hela kwingine .
 
Duh, kweli vijana wana kazi sikuhizi! Kwahio we penzi hutoi hadi upewe hela?

Yani mwanaume humuhitaji bila shaka unaweza kukaa milele bila kuhitaji mwanaume wewe?

Sio hivyo ila huyo nduguyo anasema kama utamu mnapata wote there is no need ya kumpa hela mwanamke [emoji28][emoji28]
We kipindi una mahusiano na huyo mkeo hukuwahi kumpa hela? Iwe aliomba au ulimpa tu
 
Ila pia kuna wenzako ambao wanatupa mapenzi bila invoice mbona[emoji3] na hawalalamiki kupewa hela kama wewe!
Huwa ndio hapo naamini kweli Mungu humpa kila mtu wa kufanana nae.

[emoji28][emoji28][emoji28]hata mi natoaga siombi hela hadi nauli natumia yangu sio shida zangu
 
Pesa sio mapenzi!

Ndio maana hata kuwa waaminifu inawawia vigumu sababu kama pesa ndio password na sio upendo wako basi jua tu kuwa huwezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja.

Bidhaa siku zote haikataagi mnunuzi [emoji28] msihalalishe biashara ya ngono kwa style hio.

Leo ntakupa laki utakuwa na mimi akija wa laki na nusu nae utampa mbunye hapo kuna mapenzi kweli?

Tatizo lenu ndo hilo, we mpe mpenzi wako pesa pale inapobidi, trust kama anakupenda anajua uwezo wako hata kama utampa elfu mbili kwa mwezi fresh tu mbona

Tatizo mba wapenzi kumi kumi mtawezaje kuwapa hela wote [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom