Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zako na wewe unampaga au nawewe ndio mkono wa birika [emoji28]
Huyu atanifaa sana ila ngoja kwanza nikamilishe kitu kimoja hapa😅😅😅😅😅😅 jana kuna clip nimeona nimecheka sana!
Demu anapika huyo balaa anasema...”Mume wangu kokote ulipo njoo tu ila mie sina tako ila kwa kula nakuhakikishia utaota mpaka kitambi yani njaa haiwezi kukusumbua kamwe” 😅😅😅😅😅
Njoo unichune basi, mrembo😘😁Mimi nisipokuomba hela..... Ujue sikupendi.
Yan hata kwenye ratiba yangu haupooooooooooo
Yeah ndio tulipofikia watu hawaoni sababu ya kuweka efforts sababu anajua ukizingua ataenda honga sehemu apate penzi chap!Hizo tabia ndio sinafanya thaman ya ndoa/mahusiano mengi siku hiz kupungua, maana wanaume nao tunajijengea akili ya kuwa wanawake ni wakutumia na kudump hawana masaasa wowotr kwetu
Piga ishara ya msalaba na umkubali kristo kuwa mwokozi wa maisha yako!😅Hajawahi kuniomba [emoji28]
HahahahahahhahahahahahUnakuta hadi Demu Bovu linang'ang'ania kuhudumiwa😂😂😂😂😂😂😂
HahahaIla kanuni ni moja ujue unaponigonga virungu ipo siku na mimi ntakuwasha virungu vile vile😅 system ya Ecology lazma izingatiwe!
Piga ishara ya msalaba na umkubali kristo kuwa mwokozi wa maisha yako![emoji28]
😀Hahahahahahhahahahahah
Hapo ndio mapenzi yanakuwa na maana sasa😅!!!Hahaha
Tit for tat
Sasa kama hugegedwi vizuri sii utafute mwanaume mwengine why uanze kupiga mizinga[emoji28][emoji28]kama unatoa raha huwezi sumbuliwa, ukute unampaka shombo tu binti wa watu alafu asikupige vizinga
Hakuna ubaya ukimuomba mtu wako pesa hata mara moja .
Mimi sizungumzii huko kuomba hela kwingine .
Wengi wenu hamjui jinsi ya kuomba yani mnaomba mpaka mnapitiliza utakuta mpenz wako mshaara laki 6 sasa mwanamke ataomba laki 3 yakodi akishapewa baada ya wiki 2 anaomba hela ya birthday ya mtoto wa dada yake mara mdogo wake ana daiwa Ada ya shuleVyovyote vile [emoji28][emoji28]ila toa pesa mkuu wacha ubahili na uzuri wetu wengi hua hawaombi usichokimudu hata kama ni kizinga utapigwa kilichopo ndani ya uwezo wako
Ooh ni sawa hakuna shida ..Na mimi siku nimenasa huko sielewi nakuomba si Sawa?
na kiuno kinalainika chenyeweWanasemaga Love is sweet but when money enter love is sweeter [emoji3][emoji3]
Ooh ni sawa hakuna shida ..
Ila inatakiwa iwe long term relationship au ndoa ndo unampa hela mwanaume , sio hizi fling .
Wengi wenu hamjui jinsi ya kuomba yani mnaomba mpaka mnapitiliza utakuta mpenz wako mshaara laki 6 sasa mwanamke ataomba laki 3 yakodi akishapewa baada ya wiki 2 anaomba hela ya birthday ya mtoto wa dada yake mara mdogo wake ana daiwa Ada ya shule
Sent using Jamii Forums mobile app