Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
na kiuno kinalainika chenyewe
Unatoa yote (in mange’s voice)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na kiuno kinalainika chenyewe
Kwani kuomba kistaarabu ndiyo kuombaje?Sasa hayo ni mengine sie wengine tunaomba kistaarabu
Kuomba hela siku ya kwanza si sawa .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mimi kukupa inaweza kuwa hata siku iyo iyo niliyoomba namba?
haswaa jaman...sasa unambakizia nani na moyo ushapata raha? automatically unatoa yoteUnatoa yote (in mange’s voice)
Kalio muhimuSi mnaangaliaga matako[emoji28][emoji28]ndo hayo sasa
sasa mkisema mbovu na wewe ulimpenda inakuwaje? kwangu naona hakuna demu mbovu ni macho yako tuUnakuta hadi Demu Bovu linang'ang'ania kuhudumiwa😂😂😂😂😂😂😂
Muombe na kutuhurumia jamani! Halafu mkiomba angalieni uwezo wa mabwana zenu. Stress zinawamaliza vijana asee!Pesa ni sabuni ya roho
Acha tuombe tu
Kuomba hela siku ya kwanza si sawa .
Hapo labda mwanaume utoe mwenyewe bila kuombwa .
Umeongea point rafiki .Muombe na kutuhurumia jamani! Halafu mkiomba angalieni uwezo wa mabwana zenu. Stress zinawamaliza vijana asee!
Wasaidie tu kama una uwezo maana shida tumeumbiwa binadamu .Okay Sawa umeongea vyema!!! Lakini sasa kuna hawa wakuishiwa gesi na Luku pindi ukikutana nae tu baada ya muda wanaishiwa na izo vitu au wazazi wao kuumwa pindi akikutana na men” hawa unawazungunziaje?
Ukipenda mtu wala hutamkomoa, kila kitu kitaongozwa na upendo so hata kupeana ni kwa upendo tu!Umeongea point rafiki .
Unaomba kiustarabu sio kwa ajili ya kumkomoa mtu .
wauzaji wa nini? be specificWanawake sikuhizi ni wauzaji in “Stealth-Mode”
Watakujia juu ila ndio ukweli.
Well saidUkipenda mtu wala hutamkomoa, kila kitu kitaongozwa na upendo so hata kupeana ni kwa upendo tu!
Jukumu la me ni kutoa na kuhudumia, tatizo ni pale ke anapotumia nafasi hiyo kumuumiza mwenzake..maisha yamekuwa tight sana!
Yeah,Well said
Ukimpenda hata humuombi hela kabisa sema ndo hivyo maisha yamekuwa magumu watu inabidi waombe siku ziende.
Wasaidie tu kama una uwezo maana shida tumeumbiwa binadamu .
Kama unampenda mhudumie
Sambusa na Utumbo mpanawauzaji wa nini? be specific
Mtu hana ramani halafu unategemea aanze na kuhonga 😅Yeah,
Watu wamemaliza vyuo wapo tu hawana ramani, so wakipata sehem ya kupunguza machungu wanajibana hapo, sio poa hata kidogo!
Huwa nawahurumia sana vijana, though hata sisi wazee tunahemea mirija tu!!!
Dah inasikitishaYeah,
Watu wamemaliza vyuo wapo tu hawana ramani, so wakipata sehem ya kupunguza machungu wanajibana hapo, sio poa hata kidogo!
Huwa nawahurumia sana vijana, though hata sisi wazee tunahemea mirija tu!!!
Wengine ni style ya kuwabamiza na kuna wengine wanasema ukweliKusaidia ni Sawa lakini embu nisaidie kujua hili/ ni kweli kunakuwa na shida iyo au ni style tu yakutubamiza?