Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Linaweza kuwepo ila kulichezesha uwanjani ni sifuri[emoji3][emoji3][emoji3]ndio ndo kina sisi haiwezekani hatuna mpododo na kupika tusijue weee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linaweza kuwepo ila kulichezesha uwanjani ni sifuri[emoji3][emoji3][emoji3]ndio ndo kina sisi haiwezekani hatuna mpododo na kupika tusijue weee
ni ukweli Mungu atusaidie,,,ila in life kuna wakati unapata,,,naongelea hapo,,ukipata jaribu ku save kidogo 'Unaweka vipi akiba ukiwa na majukumu? Hicho kipato cha kuweka akiba kiko wapi. Mambo yamebadilika sana mama!
Haya tuma kwenye namba hiiHajawahi kuniomba [emoji28]
hatari mimi nashangaa, ukubwa wa mwiko sio sababu ya kufanya ugali uive vizuri, ni jinsi tu ya kuutumia..hata mwiko mdogo unaivishaNad
Nadhani ni tamaa tu,nimeona clips nyingi wadada wanagusanisha clitoris wanasagana hadi wanakojoa huku hawana vitu virefu,kibamia kinashindwaje kumtosheleza Mdada au tamaa?
hahahahahah tujipe pole woteHahahahah ni rahisi kama huna majukumu! Utaweka akiba akati kuna mtu anahitaji urgent solution😅 hujakaa sawa mara umepigwa fine na polisi hela haikai jamani!
Kwa Ke sio kivile bwana, mambo magumu kwa me!!ni ukweli Mungu atusaidie,,,ila in life kuna wakati unapata,,,naongelea hapo,,ukipata jaribu ku save kidogo '
najaribu tu kuwaza kwa sauti ila mambo ni magumu haswaaaaa
Huu ni usanii tuna kiuno kinalainika chenyewe
hamna aiseee ndo inakuwa hivyo,,,wewe si mwanamke huwezi jua haya mamboHuu ni usanii tu
Huo ni utapeliUnatoa yote (in mange’s voice)
Ni kweli mkuu, kuombwa hela sana maana yake ana mapenzi na hela na hana mapenzi na mwanaumeMwanamke anayekupiga vizinga hakupendi...! Kila siku anakupiga vya mbavu tu kama ATM machine bwana. Matumizi ya hela sio kuhongana bwana...!
Kuna mmoja nilikutana naye, baada ya siku mbili kumpelekea moto, anakuja kuomba hela ya mafuta ya gari lita 100Okay Sawa umeongea vyema!!! Lakini sasa kuna hawa wakuishiwa gesi na Luku pindi ukikutana nae tu baada ya muda wanaishiwa na izo vitu au wazazi wao kuumwa pindi akikutana na men” hawa unawazungunziaje?
Pale kati ni hatari....wauzaji wa nini? be specific
Mbona nyie mnamuuzi mrs original, mpaka mpewe hela ndio ahudumiwe?uzuri wa hapo au niseme tu pole kwa hili ni kwamba hata Mr. original haamki,,anakuwa anasikitika muda wote
wanaume tafuteni tu hela na mishe ili msimuuzi Mr. original ,,,msimkoseshee raha zake
Wazo zuri, kuwa na vyanzo zaidi ya kimojaila tujiongeze wakati mwingine.
Ni hivi: wakati unapata usitumie zote weka akiba ili mambo yakiharibika at least you have something unaweza start hata busness kidogo
at least uwe na kitu kinakuweka busy
Unatafuta wa pembeni kwa ajili ya starehe, ila wa maisha anakuwa huyo flatHahahhaha ila tako hana
Tupe uzoefu mkuuPole sana, mambo yao waachie wenyewe...
Na kama huwezi kununua fanya mambo mengine...
Kwa nini mkuuMada kama hizi nitaanza kuchangia maoni yangu miaka hiyoo ya 2025 uko [emoji1][emoji125][emoji125][emoji125]
kwa kweli mimi kama mimi siwezi muuzi mrs original,,sasa nawezaje muuzi wakati hata mr. original lazima apewe service?Mbona nyie mnamuuzi mrs original, mpaka mpewe hela ndio ahudumiwe?