Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tutumie kwanza mambo ya kulana ni baadae
Kuna mdada nilikutana naye sehemu, kabla ya kumpa hela alikuwa ana sura ya mbuzi; nilipompatia salio, nikaona anaanza kunitikisia chura yake; ama kweli, bila kutoa hela hupati huduma.
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Nakuti siuzi imi wala sitoi bue
Nkunkha vyosheni hea na pete haho
 
Upendo wa kweli unasahaugi hata pesa unajikuta unakumbuka ukuni wake tu...
Kumhudumia mwanamke wako ni wajibu wako usisubiri awe ombaomba kwako
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ya chochote kile

Ila we big girls hatuombi hela hovyo ila get ready hiyo siku ukiombwa[emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom