kallenge
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 623
- 606
Kwahio nawewe ukinitamani ukanishawishi nikaingia line, itabidi tubinuawane bure [emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume si ndo umetaka [emoji3][emoji3][emoji275], umenikuta zangu sina habari ukanitongoza baba hizo sio shida zangu ni zako kwahiyo kubali tu matokeo[emoji28]