Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

Wanawake mnaoomba fedha huwa hamna hisia?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kuna kunena kwa lugha automatically na kuna ya kupanga ili umalize unachokifanya[emoji28][emoji28]
Hamna mkuu [emoji23][emoji23] nakupa raha mwenyewe unanena kwa lugha [emoji4] kwa hiari yako
 
Pesa sio mapenzi!

Ndio maana hata kuwa waaminifu inawawia vigumu sababu kama pesa ndio password na sio upendo wako basi jua tu kuwa huwezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja.

Bidhaa siku zote haikataagi mnunuzi [emoji28] msihalalishe biashara ya ngono kwa style hio.

Leo ntakupa laki utakuwa na mimi akija wa laki na nusu nae utampa mbunye hapo kuna mapenzi kweli?
Punguza jazba mkuu, toa Ela Wewe[emoji2]
 
Wazee walihudumia kwa sababu walikuwa na uhakika wanagonga wenyewe tu! Sahizi unahudumia na bado unagongewa aisee. Hamna demu wa pekeako kwa sasa.
Kumbe na wewe umeliona hilo...aisee ni wadeadly joooo katika kugawa mbususu hawa viumbe ila wakwanza kuwalaum wanaume kuwa hatutulii
 
Ila jamani wanaume mnaolalamika kwenye huu Uzi unaombwa hela hebu tunawaomba mkue wakubwa Sasa,yaani mkomae kiakili.Hakuna mapenzi bila kuhudumiana yaani hili Jambo Ni nature kabisa.Mwanamme unapomhudumia mpenzi wako inakuongezea Ujasiri na mamlaka na heshima kwa Yule unaemiliki.Hivi mwanaume unajisikiaje unachukua tu mwanamke unafanya Mambo yako then unamwambia tutawasiliana?Haya,anaogea sabuni gani baada ya hapo?anapaka nini ili aendelee kukuvutia,akija ananuka kikwapa unakuja kumtangaza hapa,kazi yenu kusema waoooh umependeza Sana, 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔mmmh shauri yenu.Mpe mpenzi wako huduma kwa kadri ya uwezo wako,na usisubiri mpaka akuombe itakukera tu....kikubwa mpunguze makoloni mbona inawezekana tu ,Na mpunguze story za vijiweni wenzenu wanajifanya hawatoi kumbe ndio watoaji wakuu Nina mashaka Sana na Extrovert 🤣🤣
Tatizo unajipinda hivyo lakini tambua kuwa kunakidume ambaye ana hela zaidi yako atamtongoza na atakula mbususu. Changamoto ndio ipo hapo kwamba nyie wanawake hamtosheki.....mgetosheka mbona ata hapa tusingefika tungekuwa eden tuu tunatembea uchi
 
Back
Top Bottom