Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Umeongea point
 
99.9% yao ni Wabobezi wa Kuiba Mabwana na Kutembea na Waume wa Watu halafu wana Nuksi sana Kimaisha kama Ukijitusu kuwa nao Kimahusiano ya Kibaikolojia.
 
Sahii kabisa chief[emoji106]
Sio kila mwanamke Ni wakuoa, wengine wanafaa kutumika TU.

Mfano mzuri:
Niko na Mchepuko Wangu mmoja tunaenda mwaka wa 4 huu, ndie mwanamke pekee anaenikosha sana kitandani.

Huwa najisemea
Hata itokee bahat mbaya Mungu amchukue MKE wangu mamaG,
Wallahi huyu mwanamke simuoi.

Ntatafuta mwanamke mwingine nioe au ntabaki singo, na yeye ataendelea TU kua Mchepuko wangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ah....hapo kwenye sadaka ya shukran nmecheka Sana[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Many women want to get married, but most of them are not ready to be wives" [emoji3578]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu wee unajua mie nakupenda basi tuu unanikatalia kwa kuwa mie bodaboda ila ningekuwa ceo wa kampuni tulishafunga ndoa. Sasa ungekuwa unalea mimba tuu. Tena na urefu wako huo u will look even more beautiful while pregnant😜
😂😂 Nitarudi
 
Maneno ya busara Sana haya[emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona leo jpili watu wa jf wanashusha nondo zilizoenda skonga. Roho mtakatifu amewashukia watu wa jf.🤣🤣🤣🤣 Malaika wa zamu itabidi aendelee wiki nzima
 
sio kwamba wamekosa ile ni ishara kwamba hawatendi dhambi ya uzinzi watu wawaone ila unafki ni mkubwa sana , ukitaka kumuoa sasa ndio utaona wanaume wake zote walio katika foleni.
 
Sio kilamtu ni hivo kunawanaume wa kuwaweka wapenz wao et wasubir muda waoane na tunavopenda kijinga unamsubir mtu miaka hta mitano akipata Sasa anawaza kuoa anaempenda wakat huo wew ushagongwa 30
Sio kweli,
Ukiona anakwambia subiri,
jua anasubiri ubadilike anavotaka au ndo anatafuta mbadala wako

Ikishindikana kabadilika na akampata anaeendana nae, unapigwa kiburi bila kupepesa.

Tatizo mwanamke akishakua na mtu, akakuzoea Sana, akaona anampenda Sana. Anapata overconfidence kwamba hata amfanyie ya ovyo hawezi kumuacha.

Wanaume tuna uvumilivu,
Ila ikizid mipaka tunapiga chini fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…