Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Wanawake mnaosimama kanisani kweli mmekosa wachumba na wanaume?

Kama mwanamke ana tabia mbaya, keshamaliza wanaume wa mtaani , wa kanisani na wakazini anategemea nini?
Ukikubali ku onjwa ojwa shauri yako. Mwanaume akishakuonja hata Kama ana mke lazima amuambie rafiki yake kwamba wewe Ni kitonga. Wakishaonja watatu hata uokoke. Kazi bure
Sahii kabisa,
Kuna wadada wanaona kudanga mjini ndio dili, muda wa kuolewa Bado.

Wanaume tukishaonja tunaambizana,
Wakishakuonja wawili watatu tayar sifa ya kua MKE inapotea. Labda uhame mji.

Siwez kuoa mwanamke amewahi kuliwa na rafiki zangu,

haileti heshima kumtambulisha mkeo kwa shemeji Yake ambae Ni ex wake wa zamani (alishawai kumchojoa chupi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa ulivyosema kwa Ground Mambo ni Moto: Lakini kwasababu umeniuliza basi naomba nikupashe.
Kiufupi hakuna ndoa ambayo haisumbui hapa duniani, sema tu mnaamua kuviheshimu viapo vyenu na kuangalia taswira pana kwamba mna watoto ambao wanahitaji malezi ya baba na mama. Ukweli ni kwamba "Whenever there's peace in
Haya madini nimescreenshot
 
Sio kweli,
Ukiona anakwambia subiri,
jua anasubiri ubadilike anavotaka au ndo anatafuta mbadala wako

Ikishindikana kabadilika na akampata anaeendana nae, unapigwa kiburi bila kupepesa.

Tatizo mwanamke akishakua na mtu, akakuzoea Sana, akaona anampenda Sana. Anapata overconfidence kwamba hata amfanyie ya ovyo hawezi kumuacha.

Wanaume tuna uvumilivu,
Ila ikizid mipaka tunapiga chini fasta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wavumilivu Hao ni wanchi gani kaka
 
Tabia
Mwanamke ana miaka michache sana ya ku "shine" ambapo hapo wale wajanja ndio hua wanapata waume wa kuwaoa. Wale ambao sio wajanja hudhani kwamba wataendelea ku shine forever so wanatanguliza nyodo, majivuno na starehe. By the time anakuja kushtuka kashagonga 30 na wale vijana wote aliowaletea nyodo wameshaoa wana familia zao ndio kuanza kukimbilia makanisani.
Ya wanawake hio akishakosa options anakuja kwa ukali eti oh tusameheane tugange yajayo 😂😂😂 akifeli kabisa anawahi kwa mwamposa.
 
Shida kubwa wadada wa kwa Mwamposa ni viburi, wajeuri sana na hawana adabu ya kuishi na mahusiano wapo tofauti sana na wadada wa madrasa za kiislamu. Mabinti wa Mwamposa wanaamini wanaweza kupata malaika humo kanisani. Acha wasimame mpaka vigimbi viwatoke.
😂😂😂 Dah
 
Huwa siamiani kama mwanamwke anaweza kukosa mchumba,au mwanaume wa kumtongoza kundi la wanawake wanaosimama kanisani Kwa mwamposa ambao hawana wachumba,na wanaume ni kubwa tena Hilo kundi linakua na mixture ya wanawake wote mim kitu ambacho huw najiuliza nyinyi wanawake ambao hamna wachumba Wala wanaume kwamba humtongozwi,au Kuna Nini behind

au nyinyi ndio wale ambao mkitongozwa mim na mtu wangu ila mkiwa kanisani mnasimama muombewe mpate wachumba na je kama kweli hamna humo kanisani hamna vijana kweli wakachangamkia hiyo fursa manaa Kuna watoto wengine wakisama unaridhika mwenyewe unasema hapa kweli Mungu kaumba

Haiwezakani Mwanamke wa miaka 24 to 25 ukawa huna mchumba kabisa kwajinsi sisi wanaume tulivyo Kuna wanaume wanaweza kutongoza hadi wanawake wa miaka 50 nyiny mabinti wadogo mnakua mmejifisha wapi

au nyinyi ndio wale wanawake ambao tukiwa kweny daladala tukiwapa salamu tu mnajifanya mpo bize mnachart na simu zenu Yani mwanamke unakosaje mwanaume kabisa yani wew utoke mbezi hadi kariakoo ukose kijana wakukusumbua humo njiani maana kariakoo ndio sehemu yenye vijana wakila aina wenyewe sumu Kali mdomoni,wasumbufu,vinganizi wa kuomba namba,waongaji,waongowaongo wasumbufu,wale wenye kusifia sifia na chap Kwa chap anakuomba namba hapo hapo

Kweli upite mfano ule mtaa wa congo na mchikichi ule mtaa wa vijana wanauza suluali za jeans za kike wanapenda kuweka begani wale vijana wanawasumbua sana na wanatongoza sana wanawake ovyo ule mtaa una vijana machachari kweli.

Mwanamke kukosa mchumba au mwanaume ni ungo tusidanganyane Kwa sababu Kuna vijana wa ovyo anaweza kupanga Ata listi ya wanawake kumi peke Ake

Au nyinyi ndio wale January hadi disemba nyumbani kazin kazini nyumbani nyumbani kazini hutaki Ata kwenda coco beach kutembea,tu au sehemu zenye mikusanyiko hutaki

Au nyinyi ndio wale ambao mnataka tall dark handsome men mkishakosa mtaani mnakimbilia kanisani kuombewa

Mim hii kitu SIAMINI kabisa mnamchosha mzee wa watu tu kanisani na kama kweli hamna kabisa wanaume na wachumba basi kutakua Kuna sababu kubwa nyuma ya panzia iliyopelekea kuwafikisha kuanza kuombewa
Wengine wananunuliwa na wachungaji
 
Huwa siamiani kama mwanamwke anaweza kukosa mchumba,au mwanaume wa kumtongoza kundi la wanawake wanaosimama kanisani Kwa mwamposa ambao hawana wachumba,na wanaume ni kubwa tena Hilo kundi linakua na mixture ya wanawake wote mim kitu ambacho huw najiuliza nyinyi wanawake ambao hamna wachumba Wala wanaume kwamba humtongozwi,au Kuna Nini behind

au nyinyi ndio wale ambao mkitongozwa mim na mtu wangu ila mkiwa kanisani mnasimama muombewe mpate wachumba na je kama kweli hamna humo kanisani hamna vijana kweli wakachangamkia hiyo fursa manaa Kuna watoto wengine wakisama unaridhika mwenyewe unasema hapa kweli Mungu kaumba

Haiwezakani Mwanamke wa miaka 24 to 25 ukawa huna mchumba kabisa kwajinsi sisi wanaume tulivyo Kuna wanaume wanaweza kutongoza hadi wanawake wa miaka 50 nyiny mabinti wadogo mnakua mmejifisha wapi

au nyinyi ndio wale wanawake ambao tukiwa kweny daladala tukiwapa salamu tu mnajifanya mpo bize mnachart na simu zenu Yani mwanamke unakosaje mwanaume kabisa yani wew utoke mbezi hadi kariakoo ukose kijana wakukusumbua humo njiani maana kariakoo ndio sehemu yenye vijana wakila aina wenyewe sumu Kali mdomoni,wasumbufu,vinganizi wa kuomba namba,waongaji,waongowaongo wasumbufu,wale wenye kusifia sifia na chap Kwa chap anakuomba namba hapo hapo

Kweli upite mfano ule mtaa wa congo na mchikichi ule mtaa wa vijana wanauza suluali za jeans za kike wanapenda kuweka begani wale vijana wanawasumbua sana na wanatongoza sana wanawake ovyo ule mtaa una vijana machachari kweli.

Mwanamke kukosa mchumba au mwanaume ni ungo tusidanganyane Kwa sababu Kuna vijana wa ovyo anaweza kupanga Ata listi ya wanawake kumi peke Ake

Au nyinyi ndio wale January hadi disemba nyumbani kazin kazini nyumbani nyumbani kazini hutaki Ata kwenda coco beach kutembea,tu au sehemu zenye mikusanyiko hutaki

Au nyinyi ndio wale ambao mnataka tall dark handsome men mkishakosa mtaani mnakimbilia kanisani kuombewa

Mim hii kitu SIAMINI kabisa mnamchosha mzee wa watu tu kanisani na kama kweli hamna kabisa wanaume na wachumba basi kutakua Kuna sababu kubwa nyuma ya panzia iliyopelekea kuwafikisha kuanza kuombewa
Hata wakipata wataendekea kuomba mpya
 
Shida kubwa wadada wa kwa Mwamposa ni viburi, wajeuri sana na hawana adabu ya kuishi na mahusiano wapo tofauti sana na wadada wa madrasa za kiislamu. Mabinti wa Mwamposa wanaamini wanaweza kupata malaika humo kanisani. Acha wasimame mpaka vigimbi viwatoke.
Unaponda wenzio na kusifia chako 😂😂 Kwan mwamposa ndio aliwalea... Usitumie Kanisa kumuondoa mwanamke kwenye Mizengwe yake.
Rejea taraka utajua hao wa Madrasa nao chenga😂😂
 
Back
Top Bottom