DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Sahii kabisa,Kama mwanamke ana tabia mbaya, keshamaliza wanaume wa mtaani , wa kanisani na wakazini anategemea nini?
Ukikubali ku onjwa ojwa shauri yako. Mwanaume akishakuonja hata Kama ana mke lazima amuambie rafiki yake kwamba wewe Ni kitonga. Wakishaonja watatu hata uokoke. Kazi bure
Kuna wadada wanaona kudanga mjini ndio dili, muda wa kuolewa Bado.
Wanaume tukishaonja tunaambizana,
Wakishakuonja wawili watatu tayar sifa ya kua MKE inapotea. Labda uhame mji.
Siwez kuoa mwanamke amewahi kuliwa na rafiki zangu,
haileti heshima kumtambulisha mkeo kwa shemeji Yake ambae Ni ex wake wa zamani (alishawai kumchojoa chupi)
Sent using Jamii Forums mobile app