Shem shem
Nionee huruma mimi
Sijui nitakimbilia wapi akifika huyo kivuruge[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jiandae kunisitiri
Barikiwa sana mkuu one love.
Shem shemYaani nakuonea huruma shem [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe bora umwambie ukweli maua usimdanganye
Kama Intelligent businessman kakuKataa pia usijali tupo pamojaNipewe ulinzi
Nipewe ulinziiππ
Mleta mada umetufungia wengine kuna mapenzi na upendo ungeweka upendo ili tufunguke nina watu kibao napenda ID zao japo siwajui hata kidogo.Tuambieni jamani wanawake ukiona ID yanani humu unaanza kupata hisia za mapenzi sema tu basi tujue siri sio nzuri.
Naombeni mushuke
Sema wewe maana wewe ndio nitahuzunika zaidi nisipojua ukweliYaani nakuonea huruma shem [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe bora umwambie ukweli maua usimdanganye
Shem shem
Unanipeperushia njiwa wangu ujue
Sawa nimeelewaMimi sikupeperushii ila naona unataka kumdanganya shosti angu maua, wakati moyo wako upo kwa mdogo angu coca
Labda km mmeachana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wewe maana wewe ndio nitahuzunika zaidi nisipojua ukweli
Unahitaji ulinzi mana upi na cocastic ngoja niite jeshi langu sasa niite kanini unanidanganyaNipewe ulinzi
Nipewe ulinziiππ
Aje tujue ukweliWote selfika wanajua Mjep wa coca na hawaachanagi hao wanagombana kwa muda, lakini km mwenyewe kasema hapa anakupenda na watu wote wameona kuwa naye
Ila majibu zaidi utayapata bibie Coca-Cola akifika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binti Maua Kuna nini π€ππKama Intelligent businessman kakuKataa pia usijali tupo pamoja
Aje tujue ukweli
Nimeanzisha ila hawakurespond vyema ukafutwaMaua wewe anzisha uzi wa wanaume uone kivumbi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ndio utajua unasimamia upande gani?!
Nimeanzisha ila hawakurespond vyema ukafutwa
[emoji36] nyie mbona wengine hamtutaji?
[/QUOT,uE]
......nimedokezwa kwamba unatakiwa kwenda inbox kuomba kutajwa, then unalipa ten, Sasa kama huna chochote ndo basi tena, kutajwa ni ghali bro......