Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnasambaziana upendo
Kaa kwa kutulia unaletewa mafile yangu yote hadharani siunapenda umbeya kaa karibu usiende mbaliAfu sikuona hii ndiomana ulisema nimeiga? Unajua nilikua najiambia tu maua [emoji23][emoji23][emoji23]
👀👀 ngoja ningoje wanguTuambieni jamani wanawake ukiona ID yanani humu unaanza kupata hisia za mapenzi sema tu basi tujue siri sio nzuri.
Naombeni mushuke
kuna mtu katajwa na watu wawili ila hayanihusu 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kaa kwa kutulia unaletewa mafile yangu yote hadharani siunapenda umbeya kaa karibu usiende mbali
wanajipa wenyewe 😀 😀 😀 😀 😀 sie ni wapenzi watazamaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shoga unataka kuwapa watu presha
we qmmmko sitaki shobo na weweNikuitie kipenzi chako [emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅 hao wamcheki balozi wa tanzani aliepo marekani.. mie mwisho kuwapeleka ni kigamboni tu hapo kula pweza na ngisiKuna wengine wanakutaja sana, sema wale wako kwenye lile kundi la wanaotaka kupelekwa USA... 🤣
we qmmmko sitaki shobo na wewe
usinizoeee kabisa malaya mchafu wewe
wanajipa wenyewe 😀 😀 😀 😀 😀 sie ni wapenzi watazamaji
hata mzabzab hakuvutii 😅😅Hakuna [emoji125][emoji125]
NitakutagWee usinambie?? Na nani tena mbona jf ina hekaheka sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hao wamcheki balozi wa tanzani aliepo marekani.. mie mwisho kuwapeleka ni kigamboni tu hapo kule pweza
je Mzee wa kupambania nae 😊😊Akuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakutag