Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ok sasa unaniweka roho juu juu asePiem nimefunga, nitakucheck baadae
Ok sasa unaniweka roho juu juu ase
Njoo sasa pmNikuweke roho juu kwan kuna nini??
Njoo sasa pm
Njoo sasa pmNikuweke roho juu kwan kuna nini??
ok teyarNimeifungua njoo
HatimaeKuna avatar wanaziweka Wana six pack mweeee mi kunimaliza..
Ila navutiwa sana na National Anthem
Anataka nisutwe kama ule mwaka nilivyo chambwa na wadada kama 10 kwa pamoja hapa ndani..πͺMaua anatutaka ubaya huyu watu wagombane na wapenzi wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo sasa pm
ok teyar
Poa ngoja nifungue pmPm nilifuta na niliignore watu wote hivyo anza kutuma tena msg ndo itanifikia
Anataka nisutwe kama ule mwaka nilivyo chambwa na wadada kama 10 kwa pamoja hapa ndani..[emoji25]
Mh Joan ni mwanaume?Mkuu, utampendaje mwanaume mwenzio...!!π―
Nimekuchukia sana kweli kweli kuhusu lile likitu gemtinize ukawa upande wake ulini huzunishaHajakoma bado? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nilikua nahesabu wamefika Me 3 ambao wamewapenda wanaume wenzao huku wakidhani ni Ke....πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi nasubiri niwaone wapendanao, mtu mmoja anapendwa na wanawake / wanaume 10
Nimekuchukia sana kweli kweli kuhusu lile likitu gemtinize ukawa upande wake ulini huzunisha
Hapa nilikua nahesabu wamefika Me 3 ambao wamewapenda wanaume wenzao huku wakidhani ni Ke....[emoji12][emoji12][emoji12]