Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kuna kijana anataka kukukosea adabu hapa hadharanu...😜Wanaume hawatakiwi kupendana baba DICKson? 🤣
Misijambojambo,  Dickson naona hana maneno mengi skuizi ametulia...🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kijana anataka kukukosea adabu hapa hadharanu...😜Wanaume hawatakiwi kupendana baba DICKson? 🤣
😂😂😂Nimecheka ila sio uungwana kabisa Yani Nini yote haya duniani tunapita tuHivi huwa wanakutana kweli? Mimi najua utani tu!! Basi kazi ipo ndio hao wanaletwa baadae wamepasiana mpira?
Bwana mmoja anatembea na marafiki wote?
Kijana hana bayaKuna kijana anataka kukukosea adabu hapa hadharanu...😜
Misijambojambo,  Dickson naona hana maneno mengi skuizi ametulia...🤣
Siwezi kumkimbia joanah mie[emoji23]Kama mdau hapa alileta mrejesho jinsi alivyomkimbia pisi kwenye lodge aliyokuwa amefikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzi ulikuwa una maudhui ya kuwashukuru wahudumu(ke) wa Lodge wanaojali.
Na wewe usije ukamkimbie....
Kwakweli ni hatari mm napenda mtu nikimkwaza anifate aniambie tu nitamsikiliza
Mshana JrTuambieni jamani wanawake ukiona ID yanani humu unaanza kupata hisia za mapenzi sema tu basi tujue siri sio nzuri.
Naombeni mushuke
😂😂😂😂Wewe unajiweza kwakweli hawana utu hata kidogoMimi ni bora asinifate nitamnawa mpk ajishangae sipendagi upuuzi kabisaa haswa khs wanaume tena wa jf.
Mtu anifate kwa issue za msingi sio za wanaume aiseee!! Ndo nitamuharibia mood yake kabisaa waachane na huyo kiposongo wake
Oyiiiii[emoji119][emoji119][emoji1787]Nipende hivyo hivyo kidume mwenzio tufike mbali sisi vidume tuoane [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Mimi ni bora asinifate nitamnawa mpk ajishangae sipendagi upuuzi kabisaa haswa khs wanaume tena wa jf.
Mtu anifate kwa issue za msingi sio za wanaume aiseee!! Ndo nitamuharibia mood yake kabisaa waachane na huyo kiposongo wake
🤣🤣Ila hutajwi
Oyiiiii[emoji119][emoji119][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka ila sio uungwana kabisa Yani Nini yote haya duniani tunapita tu
😀😀Kwanza Yani Nini yote hayo wanaume wenyew siwaoni hapa kujichosha tuUnajua wanawake sisi ni wajinga, tunagombana wenyewe kwa wenyewe mwanaume katulia anafurahia anajiona kidume. Matokeo yake anawapitia wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unajiweza kwakweli hawana utu hata kidogo
[emoji3][emoji3]Kwanza Yani Nini yote hayo wanaume wenyew siwaoni hapa kujichosha tu