Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Kama mdau hapa alileta mrejesho jinsi alivyomkimbia pisi kwenye lodge aliyokuwa amefikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uzi ulikuwa una maudhui ya kuwashukuru wahudumu(ke) wa Lodge wanaojali.

Na wewe usije ukamkimbie....
Siwezi kumkimbia joanah mie[emoji23]
Joanah nikuwowe sasa[emoji23][emoji23] japokuwa kuna mdau kasema eti wewe ni dume[emoji23][emoji23]
 
Kwakweli ni hatari mm napenda mtu nikimkwaza anifate aniambie tu nitamsikiliza

Mimi ni bora asinifate nitamnawa mpk ajishangae sipendagi upuuzi kabisaa haswa khs wanaume tena wa jf.
Mtu anifate kwa issue za msingi sio za wanaume aiseee!! Ndo nitamuharibia mood yake kabisaa waachane na huyo kiposongo wake
 
Mimi ni bora asinifate nitamnawa mpk ajishangae sipendagi upuuzi kabisaa haswa khs wanaume tena wa jf.
Mtu anifate kwa issue za msingi sio za wanaume aiseee!! Ndo nitamuharibia mood yake kabisaa waachane na huyo kiposongo wake
😂😂😂😂Wewe unajiweza kwakweli hawana utu hata kidogo
 
Mimi ni bora asinifate nitamnawa mpk ajishangae sipendagi upuuzi kabisaa haswa khs wanaume tena wa jf.
Mtu anifate kwa issue za msingi sio za wanaume aiseee!! Ndo nitamuharibia mood yake kabisaa waachane na huyo kiposongo wake
[emoji1787][emoji1787]
 
Unajua wanawake sisi ni wajinga, tunagombana wenyewe kwa wenyewe mwanaume katulia anafurahia anajiona kidume. Matokeo yake anawapitia wote
😀😀Kwanza Yani Nini yote hayo wanaume wenyew siwaoni hapa kujichosha tu
 
Back
Top Bottom