Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

[emoji23][emoji23][emoji23]
Uno liwe la mahaba sasa,ukiniua utabaki na nani my dear
Khaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi kuanzia leo ntamwaga Uno hadi usikie kizunguzungu, uzimie, ufe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kama anakufokea hakupendi au ana matatizo binafsi ya kisaikolojia, wanaume hatuko hivo....
Nimeamua kumuelewa, kuna maisha alipitia utotoni.....though ni Kazi hasa kuendana na hiyo Hali.
Kuhusu kunipenda naamini ananipenda, sidhani Kama kuna anayenipenda zaidi ya huyu mwanaume jamani.
 
Nimeamua kumuelewa, kuna maisha alipitia utotoni.....though ni Kazi hasa kuendana na hiyo Hali.
Kuhusu kunipenda naamini ananipenda, sidhani Kama kuna anayenipenda zaidi ya huyu mwanaume jamani.
hii ndo maana halisi ya committed relationship😂 nakupa pongezi....
 
hii ndo maana halisi ya committed relationship😂 nakupa pongezi....
Asante, halafu hata Kama hanipendi Mie sijali, muhimu mie nampenda tutatumia upendo wangu🤣🤣🤣

sipendi tu kufokewa, mimi ni dady'girl, sijawahi kufokewa fokewa utotoni.....halafu yeye kalelewa na mama wa kambo full masingi...imagine🤣🤣🤣 nikimwambia ananifokea ananambia nadeka tu, yeye hafoki🤣🤣🤣🤣
 
Habari zenu jamani.

Naomba kuuliza, inawezekana mie nimesahau mafundisho ya shangazi, wanawake wenzangu mnawezaje kuishi na mwanaume anaye fokafoka? Maana mimi naona yamenifika hapa!

Huyu mwanaume amenizidi umri kwa miaka saba, sasa sijui ananichukulia mimi mdogo yake! Yaani nikikosea kitu kidogo atafoka huku ananikata jicho kali, haijalishi kuna dada wa kazi karibu, ni atafoka tu! Huyo dada wa kazi nae anafokewa hadi namuonea huruma mtoto wa watu.

Huwa nanyamaza kisha namtafutia pose zuri namwambia anavyonikwaza ila routine ni ile Ile, nahisi kukonda, kugombana nae siwezi atanibonda nife.

Naombeni mbinu jamani nifanyeje, yamenifika kwa koo mwenzenu?!
Kwa mfano ukimkosea kitu gani!?
Andika makosa 3 tu.
 
Asante, halafu hata Kama hanipendi Mie sijali, muhimu mie nampenda tutatumia upendo wangu🤣🤣🤣

sipendi tu kufokewa, mimi ni dady'girl, sijawahi kufokewa fokewa utotoni.....halafu yeye kalelewa na mama wa kambo full masingi...imagine🤣🤣🤣 nikimwambia ananifokea ananambia nadeka tu, yeye hafoki🤣🤣🤣🤣
Safi
 
Kiwa kitandani unamkatikia huwa anafoka? Kama anafoka then huyo ni wa kumuacha. Ila kama hafoki huwa anakuwa mpole ndio muda muafaka wa kumwambia ya moyoni huku unaongeza speed ya kumwaga uno hadi maji aite m'ma.
 
Huko kwenye kumpea hafoki, kwanza sijawahi kumnyima toka anioe....ye mwenyewe anakiri hilo.
Ila hebu fikiria labda namtengea chakula, bahati mbaya wakati naweka glass mezani nikosee hesabu glass ijigonge, jamani atafokaaa, Yani atanifokea Kama mtoto.
Ni mtu wa kanda maaruum rorya mura?
 
Back
Top Bottom