Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kazi ipo yaniHamuwezi ila unaweza na umeweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipo yaniHamuwezi ila unaweza na umeweza
Kwahiyo kwenye ndoa hamnaga 50 kwa 50?Kiasili na kwa utafiti wanawake wanapenda au wanajisikia faraja wamekamilika wanapokandamizwa kimfumo dume zaidi kuliko wakiwa diplomatic zaidi yaani laizer affair hivi kuwa kuachwa huru zaidi wajitawale. Zile ndoa ambazo mwanaume ni mbabe na ana kipato nyingi hazivunjiki tofauti na hizi za mwanaume mpole, muungwana na kamwachia huru mkewe. Wanawake wanapenda kutawaliwa na sio kujiongoza. Thus ndoa za zamani zilikuwa zinadumu.
Unaweza vipi kumcheat, kumletea dharau au jeuri mwanaume mbabe, saikolojia yao tu inakataa wakajikuta wanakaa kwenye mstari. Ukiwa na elimu na dini huwezi kuwa dikteta.
Sidhani. Wapo wanaume wengi wenye tabia hiyo, hata mke awe mpole namna gani. Watu kama hawa huitwa ''bullies'' kwa kiingereza. Pia kuna wanawake wenye tabia hii kwa waume zao au watoto.Hakuna mwanaume anayemfokea mwanamke mpole na asiye na mdomo. jiangalie Sana. anajihami kwa kukufokea baada ya kugundua una kiburi au mdomo pistol.
Mie sio mwongeaji Wala mpigaji. Ila mwaka huu nimeanza tabia ya kumfokea wife. amebaki anaduwaa kuwa miaka 16 yote sijawahi mfokea, imekuwaje Tena? namjibu tu achague mawili, kutuliza kimdomo chake au nimzibue mateke kabisa.
wanawake nanyi mnatubadilisha sana
www.jamiiforums.com
Tafuta mchepuko akikugombeza mchepuko utakutuliza.Mimi mdomo wangu unaishia jf....naogopa wanaume🤣
Hizo ajenda za kuzimuKwahiyo kwenye ndoa hamnaga 50 kwa 50?
hahahahahaTozo.
Stress hizo. We huwaoni hata humu wanavyofoka foka
HakikaSababu ni mbili tuu Kwa Watu wanaofokafoka;
1. Anamatatizo ya Akili
2. Hakupendi.
[emoji28][emoji28][emoji28]Km kibunda kipo achague mwenyewe afoke km cobra au abweke km mbwa koko hatujali
Ni mwendo wa kung'ang'ania.🤣🤣🤣Km kibunda kipo achague mwenyewe afoke km cobra au abweke km mbwa koko hatujali
kwahiyo hata wenye dyudyu ndogo wakiwa na kibunda bas poa😂Ni mwendo wa kung'ang'ania.🤣🤣🤣
Hamna mwanaume mwenye dyudyu ndogo, trust me🤣🤣🤣kwahiyo hata wenye dyudyu ndogo wakiwa na kibunda bas poa😂
umeongea kwa hisia 😂Hamna mwanaume mwenye dyudyu ndogo, trust me🤣🤣🤣
Habari zenu jamani.
Naomba kuuliza, inawezekana mie nimesahau mafundisho ya shangazi, wanawake wenzangu mnawezaje kuishi na mwanaume anaye fokafoka? Maana mimi naona yamenifika hapa!
Huyu mwanaume amenizidi umri kwa miaka saba, sasa sijui ananichukulia mimi mdogo yake! Yaani nikikosea kitu kidogo atafoka huku ananikata jicho kali, haijalishi kuna dada wa kazi karibu, ni atafoka tu! Huyo dada wa kazi nae anafokewa hadi namuonea huruma mtoto wa watu.
Huwa nanyamaza kisha namtafutia pose zuri namwambia anavyonikwaza ila routine ni ile Ile, nahisi kukonda, kugombana nae siwezi atanibonda nife.
Naombeni mbinu jamani nifanyeje, yamenifika kwa koo mwenzenu?!
Huo ndo ukweli🤣🤣🤣🤣umeongea kwa hisia 😂