Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Mnatutisha ambao hatujaingia ndoani

Mwenzio kule mume anachepuka sana,huku mwenzetu unafokewa mixer jicho kali na unahofia kubondwa 🙆‍♀️
Ujaolewa bado mrembo,ngojea nilete posa
 
Achana na hiyo ndoa, kwa nini? Mimi ni mwanaume, sikiliza:

1. Mwanamke akigombea hawezi kuwa na mapenzi ya hiyari.

2. Mwanaume anaweza asielewe na akikosa mapenzi ugomvi pale pale.

3. Usipokuwa na mapenzi naye atawaza unabated mtu nje ya ndoa - ugomvi Unaendelea.

4. Ataanza toka nje ya ndoa kwa sababu anaitaji mapenzi!

Achana naye! Hiyo cycle huishia kwenye mauaji
Nadhani alikua anataka ushauri kama huu sasa apige kura toka kwenye maoni ya ushauri kisha achukue maamuzi,ila ushauri wangu aangalie anakosea wapi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
asikutese kiasi hicho mpe altimatum na kama habadiliki chukua maamuzi ya kutengana. ikibidi mtengane vyumba au uhame kabisa mtengane kwa muda fulani mpeane nafasi akiona ana kuhitaji basi akubali sharti la kubadilika, la habadiliki achana nae huyo atakupa stress tu.
inaonekana hajiamini ndio mana anafoka, kwa nini umfokee mtu mzima ambaye hakatai maelekezo ukimuelekeza? kama mtu ni jeuri ni sawa akifokewa ila kama wewe sio jeuri basi anakuonea.

siku nyengine mrekodi kwa siri asijue halafu baadae utoke nae nje ya mji huko akiwa ametulia msikilizishe upuuzi wake halafu muulize kama ni yeye ndio anafanyiwa hivyo angejisikiaje?
Mboni una mshauri ujinga,kwamba achane nae.
 
Kufoka Mara moja si vibaya! Lakini kufoka kila muda HAIFAI! na inakera sana!
Mimi ni mwanaume nafaham kuna maudhi madogo ya mke kukosea vitu vidogo ndani ya nyumba!
Chanzo kikuu huwa ni kutokuyafanyia kazi maelekezo ya awali.
Mfano, mume anaweza kuwa hapendi vyakula vya mafuta anakueleza kwa upole kwamba usiweke mafuta iwe chukuchuku tu kama ni nyama n.k unaitika sawa! Lakini kesho yake unapika nakuunga na mafuta,
Anakula anakukumbusha tena mafuta hapendi, unaitika sawa, baada ya siku tena unampikia mafuta mafuta!
Hapo huwa inaanza kuibua makasiriko taratibu,
Kingine akikutuma kitu anakupa maelekezo vizuri lakini ukienda hufanyi kama alivyokuagiza akirudi anakuta umedabanga dabanga hovyo, mbaya zaidi hata na pesa umetapeliwa Hii hupandisha kiwango cha KUFOKA!

Kuna mambo ambayo mke akiyakosea kosea kila wakati mwanaume huanza kuwaza mbona kule wanawake wengine wanaelewa na kujisimamia vizuri lakini huyu Pimbi wangu hanielewi navyomulekeza!...hivyo mambo haya hupandisha hasira taratibu hadi mwanaume ANAKUWA WA KUFOKA FOKA!
Ingawa SAA NYINGINE KUNA WANAUME WAKORA Hasa wa kichaga wanapenda kufoka tu kama fala paspo sababu! Wa hivi hawana tiba hata umlambe miguu dawa nikuondoka, kama huwezi kutoka basi tafta mchepuko akugongee taratibu siku ziende!

TURUDI kwenye mume ambaye tabia za mke wake kukosa umakini kwenye maelekezo ya Mme!
Mume wa hivi tiba yake ni kwanza kutambua unakosea! Dawa yake ni kutafta muda kumkalisha mume na kumuahidi kwamba UTAONGEZA UMAKINI na USIKIVU kwake.
pili kama kitu hujaelewa muulize MUME WANGU ULICHONITUMA SIJAELEWA Ebu nielekeze tena! Usifanye kama hujaelewa! Hii itaanza kushusha masiriko na kuongeza imani kwamba unaweza Fanya vizuri kwa kuhisimamia!
Akikutuma kitu hakikisha unarudi kimetiki, hii inaongeza sana imani kwa mume anaona na kujisifu.

Mfano; Mimi na mke wangu ananikera sana kwenye ishu ya maelekezo! Unaweza mwambia njoo hapa POSTA ASKARI MONAMENT! anakuitikia sawa ...lakini utashangaa anakwambia nimefika njoo, ukimuangaza haonekani, ukimuuliza ebu nisomee jengo lolote unaloona karibu yako hapo utasikia anakujibu naona pameandikwa CENTRAL POLICE!
unamuuliza ulinielewa nilivyokuambia uje mnara wa askari? Anakujibu dear ndiyo mi nilizani sentro!
Mara nyingi sana ananikwaza kwasababu wakati wa kumpa maelekezo huitika sawa kumbe haelewi na wala haulizi! Mambo hayo huibua sana hasira!
Kibaya zaidi ukimwambia naomba nikufundishe kutumia GpS uwe unasoma location anakujibu anaelewa! Lakini maelekezo haelew!
KIBAYA ZAIDI ANAONA SAWA TU SHE IS PERFECT UKIMKOSOA MBISHI!
sasa MTU kama huyu kwakweli anachangia sana makasiliko na kuondoa mudi hata kutoka nae!

Mwanamke anaesikiliza maelekezo ni MZURI SANA! Kwanza huwa anaongeza ujasiri kwa mumewe!
Kuna wanawake ukiwapa kichwa cha habari tu (heading) na pesa akirudi kamaliza kila kitu hadi na zaidi yaani very genius!

Ukimtuma jambo analifanya vizuri hadi wewe uliye mtuma unaona usingeweza! UNAANZAJE KUMFOKEA MWANAMKE MZURI KAMA HUYU!!?
Lakini kuna wengine Bomu kabisa ukimpa pesa picha linaanza anarudi katapeliwa! Akipika chakula bora lende, mgogoro wa majilani hamalizi hadi urudi wewe jamani! INABOA SANA!
Kuna wanawake huko unamkuta kalinzisha varaganti unafanya kumkuta polisi ukamuwekee dhamana! Hataki masiahara kusubiri hadi Mme arudi! Hii inaongeza sana IMANI KWA MUME!

ZINGATIO! Mwanaume anaefoka pasipo sababu hafai kuishi naye hata kidogo, lakini vile vyanzo vingine vinatibika
Umeandika vizuri. Ila umekosea sana kuwakashifu ndugu zetu wachaga. Hapo umezingua kugeneralize.
Pia kushauri kuchepuka kama suluisho umefail big time.
 
Habari zenu jamani.

Naomba kuuliza, inawezekana mie nimesahau mafundisho ya shangazi, wanawake wenzangu mnawezaje kuishi na mwanaume anaye fokafoka? Maana mimi naona yamenifika hapa!

Huyu mwanaume amenizidi umri kwa miaka saba, sasa sijui ananichukulia mimi mdogo yake! Yaani nikikosea kitu kidogo atafoka huku ananikata jicho kali, haijalishi kuna dada wa kazi karibu, ni atafoka tu! Huyo dada wa kazi nae anafokewa hadi namuonea huruma mtoto wa watu.

Huwa nanyamaza kisha namtafutia pose zuri namwambia anavyonikwaza ila routine ni ile Ile, nahisi kukonda, kugombana nae siwezi atanibonda nife.

Naombeni mbinu jamani nifanyeje, yamenifika kwa koo mwenzenu?!
Mpeleke hospitali kwa psychiatrist atakuwa na tatizo la kisaikolojia
 
Nadhani alikua anataka ushauri kama huu sasa apige kura toka kwenye maoni ya ushauri kisha achukue maamuzi,ila ushauri wangu aangalie anakosea wapi maana hakuna mkate mgumu mbele ya chai

Kuna wanaume hawayeyuki kaka
 
.
Achana na hiyo ndoa, kwa nini? Mimi ni mwanaume, sikiliza:

1. Mwanamke akigombea hawezi kuwa na mapenzi ya hiyari.

2. Mwanaume anaweza asielewe na akikosa mapenzi ugomvi pale pale.

3. Usipokuwa na mapenzi naye atawaza unabated mtu nje ya ndoa - ugomvi Unaendelea.

4. Ataanza toka nje ya ndoa kwa sababu anaitaji mapenzi!

Achana naye! Hiyo cycle huishia kwenye mauaji

Umeandika vizuri. Ila umekosea sana kuwakashifu ndugu zetu wachaga. Hapo umezingua kugeneralize.
Pia kushauri kuchepuka kama suluisho umefail big time.
Yaani umenigusa sana ndg kwa ujumbe wako mrefu kila nikiusoma unanivutia kushuka tu uzi mtamu kweli kweli yaani hujaacha kitu hapo...ila sio wachaga wote wwnye hizo tabia ni hulka ama makwazo kama ulivyoelezea pamoja sana

Hawa majamaa mama zetu wake zetu dada zetu walio wengi kwanza waongo hua kwenye kutafuta suluhu hawajuwagi kusema ukweli na pia kuaminisha nafsi zao kwa uongo wanaousema narudia wanawake wote mnisikie hakuna mkate mgumu mbele ya chai jamanii badilikeni ndoa zenu zidumu,huku mtapata ushauri

Wa kila aina wwngine kuwapotosha lkn wao wanavumilia ya kwao pia hakina ndoa iliokamilika asilimia 100 ni kuchukuliana na kuvumiliana NDOA IHESHIMIWE NA KILA MTU pia jifunze kuheshimu mamlaka ya juu yako
 
Wewe si umefuata pesa... Hukuangalia utu na tabia..? Ndio huyo mvumilie sasa...

Sasa mtu umetoka kumfokea kama mtoto... Unapataje nguvu ya kuomba game?
 
Aliyekwambia ndoa ni raha tu ni nani!? Bora wewe unafokewa tu kuna wenzako wanachezea mabanzi ya uso kila siku na wanavumilia! Kikubwa uvumilivu chukulia huo ndo udhaifu wake ubebe kama ulivyo hata yeye kabeba madhaifu yako mengi tu kakausha tu. Usione watu wametulia kwenye ndoa wanavumilia mengi mazito kuliko hako kajichangamoto kako kakufokewa!
 
Hakuna mwanaume anayemfokea mwanamke mpole na asiye na mdomo. jiangalie Sana. anajihami kwa kukufokea baada ya kugundua una kiburi au mdomo pistol.

Mie sio mwongeaji Wala mpigaji. Ila mwaka huu nimeanza tabia ya kumfokea wife. amebaki anaduwaa kuwa miaka 16 yote sijawahi mfokea, imekuwaje Tena? namjibu tu achague mawili, kutuliza kimdomo chake au nimzibue mateke kabisa.

wanawake nanyi mnatubadilisha sana
Umenena ukweli mkuu! Hata mimi ndo mbinu zangu nikigundua kuwa huyu mwanamke Ana kimdomo fyombi(mdomo mrefu) ninakua mkali kama pilipili kichaa, ili asinichukulie poa akanipanda kichwani! Hivyo huyo bi mdashi
Ajiangalie kama Ana kaujeuri ajirekebishe.
 
Achana na hiyo ndoa, kwa nini? Mimi ni mwanaume, sikiliza:

1. Mwanamke akigombezwa hawezi kuwa na mapenzi ya hiyari.

2. Mwanaume anaweza asielewe na akikosa mapenzi ugomvi pale pale.

3. Usipokuwa na mapenzi naye atawaza unabated mtu nje ya ndoa - ugomvi Unaendelea.

4. Ataanza toka nje ya ndoa kwa sababu anaitaji mapenzi!

Achana naye! Hiyo cycle huishia kwenye mauaji
Mmh! Ingekua hivyo ndoa zote zingekufa mkuu, cos ndoa nyingi hata za wazazi wetu zinaendeshwa kwa mfumo dume yaani mwanamke kufokewa na kupigwa ni jambo la kawaida! Na ndoa zinadumu na mapenzi motomoto kama kawaida. Na ndo maana kuna mahusiano au ndoa ambapo mwanamke anafokewa na kupigwa sana tu lakini ukimuuliza mwanamke anasema nampenda huyu mwanaume siwezi kumuacha.
Kikubwa ni uvumilivu tu changamoto katika ndoa ni kawaida. Tukisema penye kila changamoto suluhisho liwe ni kuachana basi hakutasalia ndoa hata moja chini ya jua.
 
Wanaume wa hivyo ndio wanawake mnatakiwa muwe nao, tena ndoa za kufokewa kidikteta ndio zinadumu, wala mwanamke acheat, tofauti na hizi ndoa za mwanaume romantic na diplomatic zinashida sana.
 
Mmh! Ingekua hivyo ndoa zote zingekufa mkuu, cos ndoa nyingi hata za wazazi wetu zinaendeshwa kwa mfumo dume yaani mwanamke kufokewa na kupigwa ni jambo la kawaida! Na ndoa zinadumu na mapenzi motomoto kama kawaida. Na ndo maana kuna mahusiano au ndoa ambapo mwanamke anafokewa na kupigwa sana tu lakini ukimuuliza mwanamke anasema nampenda huyu mwanaume siwezi kumuacha.
Kikubwa ni uvumilivu tu changamoto katika ndoa ni kawaida. Tukisema penye kila changamoto suluhisho liwe ni kuachana basi hakutasalia ndoa hata moja chini ya jua.

Mfumo Dume Sio kufokea, mzazi wako alifanikiwa maana wanawake by then hawakuwa na chaguzi, huwezi fokea mtu mzima hata mtoto!
 
Kiasili na kwa utafiti wanawake wanapenda au wanajisikia faraja wamekamilika wanapokandamizwa kimfumo dume zaidi kuliko wakiwa diplomatic zaidi yaani laizer affair hivi kuwa kuachwa huru zaidi wajitawale. Zile ndoa ambazo mwanaume ni mbabe na ana kipato nyingi hazivunjiki tofauti na hizi za mwanaume mpole, muungwana na kamwachia huru mkewe. Wanawake wanapenda kutawaliwa na sio kujiongoza. Thus ndoa za zamani zilikuwa zinadumu.
Unaweza vipi kumcheat, kumletea dharau au jeuri mwanaume mbabe, saikolojia yao tu inakataa wakajikuta wanakaa kwenye mstari. Ukiwa na elimu na dini huwezi kuwa dikteta.
 
Kufoka Mara moja si vibaya! Lakini kufoka kila muda HAIFAI! na inakera sana!
Mimi ni mwanaume nafaham kuna maudhi madogo ya mke kukosea vitu vidogo ndani ya nyumba!
Chanzo kikuu huwa ni kutokuyafanyia kazi maelekezo ya awali.
Mfano, mume anaweza kuwa hapendi vyakula vya mafuta anakueleza kwa upole kwamba usiweke mafuta iwe chukuchuku tu kama ni nyama n.k unaitika sawa! Lakini kesho yake unapika nakuunga na mafuta,
Anakula anakukumbusha tena mafuta hapendi, unaitika sawa, baada ya siku tena unampikia mafuta mafuta!
Hapo huwa inaanza kuibua makasiriko taratibu,
Kingine akikutuma kitu anakupa maelekezo vizuri lakini ukienda hufanyi kama alivyokuagiza akirudi anakuta umedabanga dabanga hovyo, mbaya zaidi hata na pesa umetapeliwa Hii hupandisha kiwango cha KUFOKA!

Kuna mambo ambayo mke akiyakosea kosea kila wakati mwanaume huanza kuwaza mbona kule wanawake wengine wanaelewa na kujisimamia vizuri lakini huyu Pimbi wangu hanielewi navyomulekeza!...hivyo mambo haya hupandisha hasira taratibu hadi mwanaume ANAKUWA WA KUFOKA FOKA!
Ingawa SAA NYINGINE KUNA WANAUME WAKORA Hasa wa kichaga wanapenda kufoka tu kama fala paspo sababu! Wa hivi hawana tiba hata umlambe miguu dawa nikuondoka, kama huwezi kutoka basi tafta mchepuko akugongee taratibu siku ziende!

TURUDI kwenye mume ambaye tabia za mke wake kukosa umakini kwenye maelekezo ya Mme!
Mume wa hivi tiba yake ni kwanza kutambua unakosea! Dawa yake ni kutafta muda kumkalisha mume na kumuahidi kwamba UTAONGEZA UMAKINI na USIKIVU kwake.
pili kama kitu hujaelewa muulize MUME WANGU ULICHONITUMA SIJAELEWA Ebu nielekeze tena! Usifanye kama hujaelewa! Hii itaanza kushusha masiriko na kuongeza imani kwamba unaweza Fanya vizuri kwa kuhisimamia!
Akikutuma kitu hakikisha unarudi kimetiki, hii inaongeza sana imani kwa mume anaona na kujisifu.

Mfano; Mimi na mke wangu ananikera sana kwenye ishu ya maelekezo! Unaweza mwambia njoo hapa POSTA ASKARI MONAMENT! anakuitikia sawa ...lakini utashangaa anakwambia nimefika njoo, ukimuangaza haonekani, ukimuuliza ebu nisomee jengo lolote unaloona karibu yako hapo utasikia anakujibu naona pameandikwa CENTRAL POLICE!
unamuuliza ulinielewa nilivyokuambia uje mnara wa askari? Anakujibu dear ndiyo mi nilizani sentro!
Mara nyingi sana ananikwaza kwasababu wakati wa kumpa maelekezo huitika sawa kumbe haelewi na wala haulizi! Mambo hayo huibua sana hasira!
Kibaya zaidi ukimwambia naomba nikufundishe kutumia GpS uwe unasoma location anakujibu anaelewa! Lakini maelekezo haelew!
KIBAYA ZAIDI ANAONA SAWA TU SHE IS PERFECT UKIMKOSOA MBISHI!
sasa MTU kama huyu kwakweli anachangia sana makasiliko na kuondoa mudi hata kutoka nae!

Mwanamke anaesikiliza maelekezo ni MZURI SANA! Kwanza huwa anaongeza ujasiri kwa mumewe!
Kuna wanawake ukiwapa kichwa cha habari tu (heading) na pesa akirudi kamaliza kila kitu hadi na zaidi yaani very genius!

Ukimtuma jambo analifanya vizuri hadi wewe uliye mtuma unaona usingeweza! UNAANZAJE KUMFOKEA MWANAMKE MZURI KAMA HUYU!!?
Lakini kuna wengine Bomu kabisa ukimpa pesa picha linaanza anarudi katapeliwa! Akipika chakula bora lende, mgogoro wa majilani hamalizi hadi urudi wewe jamani! INABOA SANA!
Kuna wanawake huko unamkuta kalinzisha varaganti unafanya kumkuta polisi ukamuwekee dhamana! Hataki masiahara kusubiri hadi Mme arudi! Hii inaongeza sana IMANI KWA MUME!

ZINGATIO! Mwanaume anaefoka pasipo sababu hafai kuishi naye hata kidogo, lakini vile vyanzo vingine vinatibika
Asipo elewa hii ndio basi tena. Umesahau kitu kimoja unaweza ukawa unarudi kitoka job umejiandaa kwa kumpa show kali wife ile ukifika to hom unapokelewa na yale unayo yakataza kila siku hapa mudi ya kudinya inayeyeka yote unaona tu bora ule ulale usije leta shida bure
 
Back
Top Bottom