Huyo atakuwa mwanafunzi.Kwani umelazimishwa uwafuate ?? Waache na flat screen zao bhana. Wapo ambao hawapendi mizigo na tunaopenda mzigo ila usikete hoja ya kuwafanya watu wajisikie hawana thamani.
Ha haaa daah you made me laugh out loud. Lakini sindo ukweli huo mnawapenda hao?Tatizo lao huanzia wakati unamuapproach utasikia "lakn nyie si mnapendaga wenye makalio makubwa nyie"[emoji23][emoji23]
Mkibadilika mtatufanya wenye furaha sana wenza wenu.Sawa tutabadilika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilitakiwa wewe ukiwa nae umfanye ajikubali ili awe huru kama huyu wangu
View attachment 1824540
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo lao huanzia wakati unamuapproach utasikia "lakn nyie si mnapendaga wenye makalio makubwa nyie"[emoji23][emoji23]
Msaada wa hizo mbinuIlitakiwa wewe ukiwa nae umfanye ajikubali ili awe huru kama huyu wangu
View attachment 1824540
Ila hajasema hapendi, soma tenaHuyo atakuwa mwanafunzi.