Wewe ukigundua umechapiwa vibaya mno halafu mwanamke anakuchora tu utakubali kushindwa na kukubali aendelee kuchapwa IPASAVYO?Kukubali ujinga na kushindwa ni best way ya kucontrol emotion!
TOFAUTI YOYOTE KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA NDOA KUKUBALI UJINGA NA KUSHINDWA NDIO NJIA SAHIHI!
AWE ME AU KE!!!
Mkuu omba sana yasikukute na noteNa ukubwa pia halina mkuu. Kabla hujatenda tafakari kidogo haya.
Ulimtoa wapi
Ulimkutaje
Wewe ni msafi kiasi gani
Umekidhi matarajio yake
Amekidhi matarajio yako.
Kuna maisha bila yeye ?kama yapo yatakuwa vipi.
Baada ya hapo chukua hatua.
Well well well said mkuu huu ndiyo ushauriHaswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.
Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.
So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
Nimefuatilia mijadala ya hawa wanawake waliouwawa na waume zao wanawake wengi wanashindwa kuelewa kwanini inakuwa hivyo sasa najaribu kuwapa psychology yamwanaume anapogundua anasalitiwa.Haswaaa.. wanawake wanatakiwa wajue kuwa mwanaume anafikiri in logic na wao wanafikiri kwa kutumia hisia.
Kwa vyovyote vile hakuna mwanaume dunian ambaye atavumilia dharau kutoka kwa mwanamke wake, au kutoka kwa mke anae mwamini, huyo mwanaume hayuko.
So wanawake kama mna shida fulani semeni, unaona kuna tatizo kwa mwenzio sema, kuna jambo alikufurahishi sema. Huku kununa , kukaa kimya alaf ukachepuka, au ukamganyia mwanaume dharau.. matokeo yake ndio haya
Kabisa mkuu wanawake wanapaswa kuwaelewa wanaume tofauti na wanavyojifikiria wao.Mr robert nimegundua kuwa wanawake wengi wanafikiri wadada wengi wanadhani kuwa wanavyowaza wao ndio wanaume wanawaza hivyo hivyo...
Wanakosea sana, mwanaume anatumia logic, mwanamke anatumia hisia.
Kwa mwanaume 1 + 1 = 2
Kwa mwanamke 1 + 1 = kama hisia zitasema ni 5 , 6,3,0 hayo ndio majibu.
nawaasa wadada kuwa wawazi na waaminifu kwa wapenzi wao, unapokuwa muwazi unamrahisishia mwanaume kazi ya kukuhudumia, inakuwa rahisi kujua mke wake anahitaji nini. Lakini kama itakuwa mdada unanuna, huongei, dharau , jua kabisa mumeo anakukusanyia nguvu.. nani suala la muda tu lolote laweza tokea.
Umeelewa au umeitikia tu?Sawa
NimeelewaUmeelewa au umeitikia tu?
[emoji122][emoji122][emoji122]Kama jamii lazima tukubali kuwa talaka saa nyingine ni suluhisbo la migogoro kama hiyo.
Pia kipindi hiki cha hali ngumu makosa ya uhalifu na unyanysaji wa kijinsia au mauji ya kimahusiano huongezeka kutokana na stresa za maisha.
Wanawake kwa wanaume ukiona mahusiano yamekushinda dai talaka omba muachane kwa amani usi cheat kwani una risk afya yako na ya mwenzio na unarisk haya maisha yako. Mlikutana kwa amani achaneni kwa amani
Unafanya vizuri, lazima wajue wanaume hatuwazi kama wao, wajue pia kabisa hakuna mwanaume mpumbav chini ya jua.Nimefuatilia mijadala ya hawa wanawake waliouwawa na waume zao wanawake wengi wanashindwa kuelewa kwanini inakuwa hivyo sasa najaribu kuwapa psychology yamwanaume anapogundua anasalitiwa.
[emoji106][emoji106]Mwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .
Simpo.
Wengi wanaosema uvumilie hawajawahi kukutana na hiyo hali.Kuna mambo mengine kuvumilia inataka uwe na ujasiri wa ziada mkuu. Kusikia mke wako analiwa si jambo dogo eti.
Tatizo letu nchi zinazoendelea mtu anavumilia ndoa hata Kama kuna matatizo ambayo usuluhishi wake ni mgumu. Jamie zetu zinapaswa kubadili mtazamo kuepusha vifo visivyo vya lazima.Kama jamii lazima tukubali kuwa talaka saa nyingine ni suluhisbo la migogoro kama hiyo.
Pia kipindi hiki cha hali ngumu makosa ya uhalifu na unyanysaji wa kijinsia au mauji ya kimahusiano huongezeka kutokana na stresa za maisha.
Wanawake kwa wanaume ukiona mahusiano yamekushinda dai talaka omba muachane kwa amani usi cheat kwani una risk afya yako na ya mwenzio na unarisk haya maisha yako. Mlikutana kwa amani achaneni kwa amani
Watu wanachukua maamuzi unconsciousMkuu omba sana yasikukute na note
Sitetei wauwaji
GoodNimeelewa
Yes ni lazima tubadilishe mitazamo kwa kweli wengi wanaona ndoa kama jela ati ukiingia huwez toka.Tatizo letu nchi zinazoendelea mtu anavumilia ndoa hata Kama kuna matatizo ambayo usuluhishi wake ni mgumu. Jamie zetu zinapaswa kubadili mtazamo kuepusha vifo visivyo vya lazima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pengine ushawahi kuisikia hii stori.
Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.
Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
Eehh 100%!!! usaliti kwangu hautokaa uwe na nafasi ya pili.[emoji106][emoji106]
Mkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndaniMwanamke? Nifanyie ujinga lkn sio usaliti. Usaliti nikauthibitisha nilazima tuachane tu tena nbora uniache mapema kabla sijajua, kwasababu nikijua ,ukiona sijakuacha km weee ni mpenzi/mchumba tutaishia tu kukutumia lkn sitokaa nifanye hatua nyingine yabhapo naabadae bado tutaachana tu kwasababu hata mahusiano yenyewe hatokaa ayafurahie tena,..... Shida moja nilonayo nimgumu kusahau na msamaha wangu unategemea nakosa .
Simpo.