Muongezee huyooo akalie vizuri....kidume kinalilia kazi shambani huko!!.....kucha kutwa apatehela aniletee mrembo nile...kwani mbusus nyeupe mchezo??? .......... hawezi!! aseme asaidiwe na wenzake!.. ila asijinyonge tu!Nimevuta picha io miguu inarushwa rushwa ukiwa umekaa kitandani au chini kabisa ukiwa umeinyoosha [emoji12][emoji12][emoji12]
Hao ndo wazuri sasa wakuchuneee! akili ni utafute zaidi walee mpaka wavembewe,,...mtu anaekupa hela mpige makofi aende huko na hela zake!!! kwanza siku ukifanikiwa ndo wa kwanza kuja kuzengea nilikusaidiaga weye!hao wengine wanakuja kukuchuna hela
Hivi wewe ni wakike au wa kiume sikuelewi aseeTena kabisaaa na aende tu! asije mie nataka chuma cha pua mkurya hasaa!! ngumi jiwe!! hakuname kulia lia hapa!......akizidi kulia namchapa makonde tena si ya kitoto!!.....Dume zima unalia??? sasa nani abembeleze mwenzie hivi nyie wazaramo mna nini???
ARDHI yooote hii, ..... km vepe kamata jembe tuuu kimya kimya!! sihitaji kujua mie .....ingia msimbazi huko!!...komaa huko huko!!! mpaka kieleweke......kamata chupa za palstiki hukoooo!! kalime mkoa kivyako lete hela hapa!! .........ndo uanaume!!
Hizi zote ni stress zinakusumbuwa, unatype huku machozi yanakulilika upate tu hata bodaboda wako akuweke ndani.😄😄Tena kabisaaa na aende tu! asije mie nataka chuma cha pua mkurya hasaa!! ngumi jiwe!! hakuname kulia lia hapa!......akizidi kulia namchapa makonde tena si ya kitoto!!.....Dume zima unalia??? sasa nani abembeleze mwenzie hivi nyie wazaramo mna nini???
ARDHI yooote hii, ..... km vepe kamata jembe tuuu kimya kimya!! sihitaji kujua mie .....ingia msimbazi huko!!...komaa huko huko!!! mpaka kieleweke......kamata chupa za palstiki hukoooo!! kalime mkoa kivyako lete hela hapa!! .........ndo uanaume!!
Hata wakiupitia wengine wataona ni maujinga tu.Natamani wanawake wapitie uzi huu,
Hakika umenena kweli tupu.
Usijitetee km huna shule Bana!! jibu hoja!! weka hela mbele nile...... unitongoze wewe!!.... ulie wewe!! ule mbusus bure halafu nikubembeleze wewe km zuzu!! eti usilie Baby!! mweee! ....mbona mna vituko nyie wa mjini? !! hukujipanga kwani?? ....Hivi wewe ni wakike au wa kiume sikuelewi asee
Wajameni mnisaidie huyu!! umesema vizuri sana ndo kabila letu tulivyo hivi kwani hujui kuwa wasiwasi ndo akili??? au hukusoma? Machozi yakinitoka ina maana na uchungu na Maisha wewe!! ......kutoboa ni lazima hata kiwanda cha kuchakata chips kavu nishindwe??Hizi zote ni stress zinakusumbuwa, unatype huku machozi yanakulilika upate tu hata bodaboda wako akuweke ndani.😄😄
Yaani unawadharau ??? Yaani mkwere sijui ana nini...mtu anatengeneza hela amekaa eti unasema ''hata bodaboda??? hivi hujui wale wana raza hela Mingi kwa siku kuliko Mfanyakazi wa Ikulu?? siyo nikimpata tu, ningekuwa na nafasi nanunua boda bodaa saaafi!hata bodaboda wako akuweke ndani.😄😄
Muongezee huyooo akalie vizuri....kidume kinalilia kazi shambani huko!!.....kucha kutwa apatehela aniletee mrembo nile...kwani mbusus nyeupe mchezo??? .......... hawezi!! aseme asaidiwe na wenzake!.. ila asijinyonge tu!
Dah!..Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta🙃
ni mautumbo kapisa kapisaa.Hata wakiupitia wengine wataona ni maujinga tu.
Nmetaman nkuone ukiwa unalia, na miguu unarusha hahahahah!Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta🙃
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji57]Tabia yetu wanaume ya kuficha maumivu kwenye mahusiano kama unaficha begi lenye nyara za taifa (meno ya tembo) ndio inafanya tunakufa mapema.
Mimi my wangu akiniumiza nalia kabisa kwa kurusha rusha miguu. Ile kimasta[emoji854]
NotedWANAUME WANA MAUMIVU PIA
Mwanamke mmoja aliniambia, 'Ilinichukua miaka kujua kwamba wanaume pia hulia. Nilimchukulia mume wangu kama binadamu bora. Ninamwona akitoka nyumbani kila siku na kurudi akitupa mahitaji yetu. Siku moja nikiwa nimetoka nyumbani na yeye alikuwa nyumbani, nilikumbuka kwamba nilihitaji kuchukua kitu nilikuwa nimekisahau nyumbani, niligeuka na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani, nilijaribu kupitia mlango wa nyuma ambao ulikuwa karibu na dirisha la chumba chetu. Nilimsikia mume wangu akilia kama mtoto mchanga akimwomba Mungu anisaidie nipate kazi ili nimsaidie kutunza familia. Hajawahi kunilalamikia hapo awali lakini siku hiyo, nilitokwa na machozi nikigundua kuwa mume wangu ameshikilia maumivu makali yake peke yake"
Binti msichana aliyeolewa muda si mrefu sana, aliwahi kwenda kulalamika kwa mama yake kwamba mume wake amekuwa hamtimizii mahitaji yake, basi yule mama kwa busara kubwa akamuuliza binti yake, ‘Umenunua vitu vingapi kati ya hivyo?” binti akakaa kimya na kusema, ‘Lakini huyo ni mume wangu si ana wajibu wa kunihudumia? Mama akamjibu, 'Je, umewahi kujua vitu ambavyo mumeo anataka umnunulie?".
Wanaume daima hujaribu kuficha maumivu yao.
Wanaume wanaweza kuwa kwenye msoto na wakati mgumu kifedha lakini wanaweza kufake kujifanya kuwa wana kila kitu.
Wanaume wengi wameoa lakini wana maisha ya upweke kupita maelezo.
Wewe mwanamke wakati mwingine jaribu kuongea na mume wako kwa utaratibu na utulivu utapata kitu kikubwa sana kutoka kwa wanaume, Wanaume huwa sio kwamba wako busy kila wakati kama wanawake wanavyofikiria.
Unapaswa kuelewa kwamba mume wako ana maumivu na ana mahitaji pia. Usimhukumu kwa mambo unayotaka kutoka kwake tu, Wakati mwingine mume wako hana mambo unayotaka wewe.
Wanaume pia wana mahitaji na matatizo ya kihisia. Wanaume bado wanalia kwa mapenzi na wanahitaji upendo wa mwanamke ...
Hahaha... Ungekua my wangu ungeona. Hasa nikikupenda sanaNmetaman nkuone ukiwa unalia, na miguu unarusha hahahahah!
Me kulia huwa nalia peke yangu kivyangu na s mbele za watu, yaan huwa nalia mwnyewe chumbani mpka kilio kinaisha...
N baadh ya watu huchukulia kuwa mwanaume n kuwa tofauti na bnadam mwngne, lkn n uhalisia nao pia hupitia tunayoyapitia. Sema n wagumu kuonesha maumiv yao hadharani....