Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
- Thread starter
-
- #61
Ahhahahaha,nilikumiss pia jimmienilikumiss dada angu..... wanawake wengi wanapenda attention....
yani akiwa sehemu yenye mchanganyiko na wanaume na asipotongozwa anaona kama kuna kitu kinamiss kwahyo atautafuta mtongozo kwa hali na mali
hadi huwa najiuliza hivi wanawake wanajipima uzuri kwa idadi ya mitongozo au
Yaan kukataaDaaah hapa umeamua kutupiga za uso kabisa, kwamba hatuwezi kukaza, sure? Hebu tutake radhi bwana!
Ndio maskini mwenye pesa za uelewekaWe maskini tu
Uhuni ni tabia ya mtu sio group au eneoIsingekua group la kazini nahisi nisingekua na group lenye mchanganyiko wa jinsia!!
Magroup ya watu waliosoma pamoja shule ya msingi, sekondari na vyuo mengi naona yanapelekea watu kufanya uhuni tu
sijawaonea kabisa 😂😂😂😂😂Ahhahahaha,nilikumiss pia jimmie
Nadhani umetusemea bila kutuonea
Naongeza dola 15000000Niuzieni hilo group lenu kwa dola za Kjmarejani 459,000
Yaani hivi vidola vya bagia vinakutoa jasho bwana mdogoNaongeza dola 15000000
Tu
Nimempa hela za korosho ndugu yenu ....Yaani hivi vidola vya bagia vinakutoa jasho bwana mdogo
Ahsante kwa ufafanuzi, hapo umeeleweka 👍👍Yaan kukataa
Tatizo nyie maskini kelele nyingi sababu ya stress hivyo hamna hela , njoo kwenye hekalu langu hapa Bunju wamejaa watoto wakaliGrp la Michezo lakini wao wanafanya la Mitongozo.
Sisi tunajadili perfomance ya Martial mech tano mfululizo kufunga anakuja kurupia picha zake tano mfululizo huku kabinuka.
Yan wadada full kero mpaka unatongoza kila dada kama kuku tu anapanda bila kuomba.
Mkuu kwani nimekwambia nawatafuta?Tatizo nyie maskini kelele nyingi sababu ya stress hivyo hamna hela , njoo kwenye hekalu langu hapa Bunju wamejaa watoto wakali
Kwanza inafikaga mahali hata story zinaishaga humo kwenye groupIsingekua group la kazini nahisi nisingekua na group lenye mchanganyiko wa jinsia!!
Magroup ya watu waliosoma pamoja shule ya msingi, sekondari na vyuo mengi naona yanapelekea watu kufanya uhuni tu
Mtafute dogo fulani hivi anaitwa Da'Vinci hana ajira mara miojaoja namleta Bunjukunibrashia viatu kisha namlipa km dola 500 hivi ni mchapakaziNimempa hela za korosho ndugu yenu ....
Sema natafta mtu wa kumwajir anitypie text ...
Maana mikono inachoka sana ...
Nakupa hii dola laki moja ukimpata ...
Kwani mwanaume mwenye pesa utafutaga wabawake?Mkuu kwani nimekwambia nawatafuta?
Huyu mam sabrina tumsaidiaje ..?Mtafute dogo fulani hivi anaitwa Da'Vinci hana ajira mara miojaoja namleta Bunjukunibrashia viatu kisha namlipa km dola 500 hivi ni mchapakazi
Njoo nikuunge group la mapedeshee kila post utakayoipost utalipia vidola km 500 tuMama Sabrina naomba uniunge Katika ilo group