Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Nyooookrooooo wewe tulia hukoWee ndo wata ku pi diddy,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulikojichanganya PM na kufokewa.
Mxxxiiiiieeeew
ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyooookrooooo wewe tulia hukoWee ndo wata ku pi diddy,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulikojichanganya PM na kufokewa.
Mxxxiiiiieeeew
ππππππππππ Unapoelekea huku takupa ban ya miezi sita weweUduguu niko poaa!! Naona uko kiben10 kipyaaa.
Poor Brain
Lala huko ππππMpaka nn si usemee vidampaa tyuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawataka balaa.
Huyu MWAMBA ni mtu wa aina gani?Sasa mwamba nae si aliomba namba siku hiyo hiyo anamind nini?
Mi kitu siwezi ni kuona mwamba kachukua namba alafu namimi niombe, never ever.
ndo maan wengine hatujawahi kuwaza kununua hata boda bodaHahahaaa ile raha ya kwenye daladala acha tu jamani ππππ
Mwamba ni mwanaumeHuyu MWAMBA ni mtu wa aina gani?
Ahsantee15k tu kiongozi, karibu sanaπ
Akiingia kwenye 18 amekwisha ntamvunja chululu huyu mtoto wenu πππUduguu niko poaa!! Naona uko kiben10 kipyaaa.
Poor Brain
Sikujua man kama mshkaji kashakaba penati ndio nikashtukia mchezo badaeSasa mwamba nae si aliomba namba siku hiyo hiyo anamind nini?
Mi kitu siwezi ni kuona mwamba kachukua namba alafu namimi niombe, never ever.
Yule nilikua nina uhakika yulo alone maana hata anavyopanda alikua na shost ake tu sema akanikuta niko mlangon napiga stori na mwamba mmoja ambae tumekutana tu humo humo ndio huyo akaniwahi, alipoingia manz akanilia buyu ghaflaMuhimu Sana Kabla ujaomba number inabidi usome mazingira kwanza unaweza aibika kumbe mume wake yupo maeneo hayo.
Bajaj full upepo... ππThubutuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepanda sijui mara 3, haizidi mara 5,
Nshazoea bajaji mie.
Hakuna ke alienitesa kisaikolojia kama huyo bidada, Mungu azidi kumbariki na sura yake ya baba kwa mbali ila shepu mashallah
Unachukua alaf unaenda kujaribu bahatiSasa mwamba nae si aliomba namba siku hiyo hiyo anamind nini?
Mi kitu siwezi ni kuona mwamba kachukua namba alafu namimi niombe, never ever.
Sikuhizi hata kwenye bodaboda huwa wanajibinua kiaina ili kutega raia.Dunga Dunga mnaitwa huku, mje kutoa shuhuda. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
LaaKuna mmoja nilipanda nae gari za makumbusho akawa analileta... Na mm nikaipokea na kuisuguliaa! Mpaka tunafika mwanamyamala pale nishakitupa
Hapana mkuuUnachukua alaf unaenda kujaribu bahati
Hakuna namnaPole sana mkali ila ndoivo utafanyaje
Hizo pigo zipo sana sijui kwanini hua wanatukomoaHakuna namna
Inakua kinyaa au wivu mkaliHapana mkuu