Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ni kawaida yaoHizo pigo zipo sana sijui kwanini hua wanatukomoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida yaoHizo pigo zipo sana sijui kwanini hua wanatukomoa
Utakomaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyooookrooooo wewe tulia huko
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Thubutuuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unapoelekea huku takupa ban ya miezi sita wewe
Unawatakaa sanaa vidampaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lala huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpe vitu adimu had ajute kuchelewa kufahamu uhondroo wa samvu LA kopo.Akiingia kwenye 18 amekwisha ntamvunja chululu huyu mtoto wenu [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sanaaaa!!Bajaj full upepo... [emoji16][emoji28]
Sasa kwa boda boda atamtega nan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikuhizi hata kwenye bodaboda huwa wanajibinua kiaina ili kutega raia.
Mfyuuuuuuh nyokooo 😂😂😂😂 mbona SAMVUUU hahahahaa 😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpe vitu adimu had ajute kuchelewa kufahamu uhondroo wa samvu LA kopo.
Mwakyembe na kinana?[emoji477][emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]View attachment 2978566
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfyuuuuuuh nyokooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona SAMVUUU hahahahaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah ww umeua zaidiKuna mmoja nilipanda nae gari za makumbusho akawa analileta... Na mm nikaipokea na kuisuguliaa! Mpaka tunafika mwanamyamala pale nishakitupa
Kwa nn mkuuDah ww umeua zaidi
Mpaka ukakitupia..Kwa nn mkuu
Kama mwendekasi haijajaza sipandi labda niwe na haraka, napenda kuegemea zip za watu jamani sijui kwa niniZamani nilijua wanaume ndio tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikuwa wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati amesimama nyuma ya mwanamke.
Siku hizi mambo yamekuwa vice versa ambapo mfano kwenye mabasi ya Mwendokasi mwanamke anaweza ingia ndani na kuna sehemu kubwa tu ya kusimama bila kubanana lakini utashangaa anasimama mbele yako huku akisugua sugua makalio yake kwenye sehemu za siri za mwanaume.
Iliwahi nitokea hii, kuna siku mdada mmoja alipandia kituo cha njiani cha mwendokasi ila alipoingia tu akaniwekea makalio yake kwa mbele huku akijisugulisha makalio yake kwa mzee Abdallah kichwa wazi.
Nilikuwa nahitajidi sana kumkwepa na ilifika point nikamwambia dada samahani simama vizuri mana unanilalia ndo akasimama straight baada ya kujishtukia na kugundua kwamba mimi sio mzee wa zile pigo.
Nyumbani nina mke napata chululuu kila ninapohitaji isipokuwa tu zile siku ambazo mke wangu anaingia mwezini sasa ukijaribu kunishawishi kwa staili ile ni ngumu sana kushawishika, kuna wakati mwanamke anaweza hisi labda jogoo hapandi mtungi kumbe nyumbani una mke na sio mgeni wa papuchi.
Je wewe mdau ushawahi kutana na changamoto kama hii kwenye usafiri wa umma?
===
Pia soma: Kwa video hii, mwendokasi uwe na sehemu tofauti ya wanawake na wanaume
Ndio vzrNi changamoto mno. Upo zako kwenye usafiri umesimama unawaza maisha. Ghafla unasogezewa bonge la msambwanda, ukijisogeza na yeye ana sogeza, ukienda nyuma na yeye anaenda nyuma, ukienda pembeni na yeye hukohuko pembeni.
Mambo gani haya tunafanyiana? Huu ni unyanyasaji wa kijinsia! Serikali iingilie kati!
Tunatiana kwenye majaribu na vishawishi!
Kutiana upwiru bila sababu za msingi!
SanaaaHivi huwa wanaskiaga raha au
Mimi mwenyewe juzi nimewekewa mzigo balaaDunga Dunga mnaitwa huku, mje kutoa shuhuda. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo rafikiAiseee kumbe huko Dar mnafaidi kiasi hicho na hatuambiani? Mmekuwa wachoyo kiasi hicho kweli? Siku nikija huko na kigari changu nitatumia usafiri wa umma hadi narudi mikoani.