Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Ahsañte mama umemaliza Kila kitu ,kupenda na kuhudumiwa tuwachie wao sisi tufanye yetu tunayopaswa kufanya
Unajua Mungu alitugawia haya majukumu ya upendo na utii Ili tukamilishane, Mwanaume ndiye anatakiwa Kupenda, upendo huvumilia, so yeye ataweza kuvumilia mood swings zetu wanawake (ambazo ni natural), upendo huprovide....hapa automatically mume atatunza mke na familia.
Kwa mwanamke tumeagizwa kutii...means utamtunza na kumuheshimu mumeo na kumsikiliza....haya mambo yakikutana automatically nyumba itakuwa na Amani ambayo ndio lengo la ndoa (Ili mpate utulivu).....ndo ukaona zamani wazee wetu walichaguliwa wake/waume na ndoa zilidumu, kila mtu alijua jukumu lake kwenye ndoa.

Leo haki sawa, wanawake na Sisi tunapenda, unamvumilia mwanaume miaka 8 uchumba sugu, hakuhudumii, anakudharau upo kisa unampenda.....hapo hapo una mdomo mchafu humuheshimu.....au mwanaume unaoa mwanamke Hana adabu, hakusikilizi Ila kigezo chako ni ana tako kubwa....halafu utegemee upate utulivu kwenye hiyo ndoa.
 
Sahihi kabisa
 
[emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…