Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

Wanawake ndoa ni utii, acheni kujaza ujinga wadogo zenu

usiombe mwanamke awe na kipato.
Kuna ambao ni hopeless lakini hana kipato. Kipato cha mtu hakiwezi kumbadili akawa mjinga kama biblia ilivyoandika.
Mimi naamini wasichana na wavulana wetu hatujawafundisha kuanzia wakiwa wadogo kuheshimu ndoa. By the way siyo ndoa tu haiheshimiwi, hata kazi ofisini na majumbani hamna anayejali. Tuna tatizo kubwa kwenye ngazi ya familia jinsi tunavyowalea watoto wetu.
 
Mwanamke akileta jeuri kisa pesa unamuacha Tu akalale na ma dildo ..
Unatafuta mwenye heshima
Mkuu hata hawa mama wa nyumbani ni shida tu, wamejazana ujinga kwamba akikuacha managawana mali nusu kwa nusu, zamani ilikuwa mwanamke akijifanya hamnazo unatimua tena na kipigo juu anarudi kwao.

Siku hizi haondoki anakufanyia visa humo humo ndani anakwambia siondoki hadi tuuze mali kama ni nyumba, gari tugawane.....vinginevyo ndiyo unaona siku hizi matukio ya wanawake kuchoma visu wanaume yanaongezeka.

Janamke linabadilika kuwa kichaa dakika sifuri, ile asilimia kubwa ya wanawake kupandwa na mapepo kwenye maombi huenda kuna ukweli, hawa viumbe naturally wako possessed na mapepo.​
 
Kabisa ulichonena, wasituharibie watoto wetu wa kike eti ooh hamsini kwa hamsini, ukiwa na pesa tu mwanaume Hana lolote kwako. Heshima ndo kitu muhimu na silaha kubwa kwa mwanamke. Haijalishi una pesa au hauna pesa, siku zote mwanamke ni mwanamke tu. Kila mtu atimize majukumu yake kama mwanamke na kama mwanaume. Akiona ndoa imemshinda manyanyaso na mateso, ni marufuku kuyavumilia, ana haki ya kusogea taratibu na kwenda kulea watoto wake. Tuwaachie wanaume majukumu yao, na ukiona jukumu lake limemshinda na hauwezi kumvumilia, sogea taratibu bila makelele bila kutembeza sumu kwa watoto wetu wa kike. Super woman, strong woman bullshit.

Mtu ndoa yake imemshinda, yeye atakuelekeza Nini ww mtoto wa kike ukapata mawaidha njema. Mtoto wa kike chukua elimu kutoka kwa yule ndoa ameiweza, na anaishi kama mwanamke na ndoa yake Ina furaha. Lakini lijitu Lina taraka halafu ooh nisikilizeni mabinti ww ni super woman, mwanaume asikuchanganye, akirudi saa tano usiku na ww kesho Rudi saa Saba usiku. Akichepuka na Asha na ww kesho chepuka na Juma., Upumbavu. Mwanamke anasifika kwa heshima na maamuzi yenye busara katika ndoa yake.

Only if wangekuwa kama ww au hekima kama ww. Neno hekima kwa wanawake wa sasa ni adimu
 
Assalamualaikum nnawatakia mifungo mema.

Dear girl child kama una malengo ya kuolewa ukae ukijua mwanaume ni kiongozi wa familia aliumbwa yeye ikapita miaka 40 ndo ukatolewa ubavu wake akaumbwa mwanamke. Mungu fundi hakuna sababu ya kuumba sote wawili mmoja ametokana na mwenziwee awe msaidizi wake, hizi feminists activities zinazoendelea ni kuharibu mpango wa Mungu.

Hakuna usawa kati ya mke na Mume isipokua katika kuutafuta ufalme wa mbinguni au kujua lengo la kuumbwa na namna ya kulifikia. Nyie mastrong sijui super woman msituharibie watoto wetu wa kike, asili ya mke ni heshima, mwanaume ni kiongozi wa mwanamke.

Tena siye waislam tunaambiwa kabisa Pepo yako iko kwa mumeo, kumtii mumeo ndo lango la wewe kuiona falme ya Mungu, haijalishi ni kibe10, kizee kikongwe whatever huyo Mume alivo mradi tu anawajaibika kama Mume na anabeba majukumu yake ya kiunaume.

Kuna Wanawake wakiwa nje wanapondea ndoa ila wakiwa Kwa waume zao wanatulia tulii wanafanya majukumu yao mpaka baasi ukiwasikiliza unapotea. Za kuambiwa changanya na zako, ewe mtoto wa kike
Kwenye ndoa hakuna kutoa taarifa kuna kuomba ruhusa Kwa mume, kwenye ndoa hakuna mashindani kuna maelewano.

Sijui lengo la wanaharakati wa ndoa ni lipi. Binti kama anapigiwa, anadhalilka na kufanyiwa unyama hapa hata akiresist ni sawa na ni bora talaka kuliko kuuana.

Wanaharakati wamezalisha kizazi cha wanawake wachepukaji, tusio walezi wazuri, waongo na unaafiki mwingi tunajifanya tunashinda kwenye nyumba za Ibada ila tuna machafu kibao. Ingawa Toka zamani uchepukaji ulikuwepo kwa jinsia ke ila Sasa imezidi tena sio Siri tena.

Kwa Sasa jamii zina macho lakini hazioani, zina masikio lakini hazisikii. Ifike mahala wanawake tujitambue na ktk kujitambua sio kudharau ndoa yako, hiyo ni dhambi kubwa sana tunafanya. Shida iliyopo wanaume wengi siku hizi wanakimbia majukumu yao ya ubaba na ulezi ni sperm donors tu, ila hiyo haifanyi sababu ya mwanamke awe juu.

Ukiona umeshindwa toka, Kaa pembeni lea watoto wako vizuri kabisaa kuliko kuishi na mtu asiyejitambua
Ila kama umepata mwenza muungwana mstaarabu mheshimu, mpende na jengeni familia yenu vizuri, achaneni na wanaharakati uchwara wenye stress na maisha yao.

Ndoa ni kitu kizuri na baraka Kwa wenye akili na uelewa tu.
Wape hao, safi sana. Kama una mdovowako mwenye akili kama wewe afu hajaolewa, ni PM.
 
Kabisa ulichonena, wasituharibie watoto wetu wa kike eti ooh hamsini kwa hamsini, ukiwa na pesa tu mwanaume Hana lolote kwako. Heshima ndo kitu muhimu na silaha kubwa kwa mwanamke. Haijalishi una pesa au hauna pesa, siku zote mwanamke ni mwanamke tu. Kila mtu atimize majukumu yake kama mwanamke na kama mwanaume. Akiona ndoa imemshinda manyanyaso na mateso, ni marufuku kuyavumilia, ana haki ya kusogea taratibu na kwenda kulea watoto wake. Tuwaachie wanaume majukumu yao, na ukiona jukumu lake limemshinda na hauwezi kumvumilia, sogea taratibu bila makelele bila kutembeza sumu kwa watoto wetu wa kike. Super woman, strong woman bullshit.

Mtu ndoa yake imemshinda, yeye atakuelekeza Nini ww mtoto wa kike ukapata mawaidha njema. Mtoto wa kike chukua elimu kutoka kwa yule ndoa ameiweza, na anaishi kama mwanamke na ndoa yake Ina furaha. Lakini lijitu Lina taraka halafu ooh nisikilizeni mabinti ww ni super woman, mwanaume asikuchanganye, akirudi saa tano usiku na ww kesho Rudi saa Saba usiku. Akichepuka na Asha na ww kesho chepuka na Juma., Upumbavu. Mwanamke anasifika kwa heshima na maamuzi yenye busara katika ndoa yake.
Umetokwa povu.....Hasira za nini sasa
 
Mambo mengine yote tutakaa tuongee, ila dharau inayodhalilisha utu na uanaume wangu, tutaachana there is no healing for that. Kwasababu utakuwa umenidhalilisha mimi na wazazi wangu walionizaa, na hatua zote za mwanzoni zakujitambulisha ni za kinafiki. So, kila mtu atambae njia yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee ukimsaliti mkeo??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee ukimsaliti mkeo??
Nasimama na msimamo wangu, mimi nimekosea nakuniacha ni haki yake wala sitamzuia kwakuwa nitakuwa nimemfanyia unafiki na kumdharaulisha. Hakuna aliyebora anayemzidi baraka mwenzake, basi kwakuwa kiapo ni kilekile, basi hayohayo namimi yanifaa. Kwanini ucheat wakati ulimridhia mwenyewe?? Kuendekeza huruma aiza kwa mwanamke au mwanaume Kwa mambo kama haya ndiyo hufanya taasisi ya ndoa kuonekana bosheni na haifai. Uliuwa kwa upanga basi utauwawa kwa upanga.
 
๐Ÿ“Œ Kwa Sasa jamii zina macho lakini hazioani, zina masikio lakini hazisikii. Ifike mahala wanawake tujitambue na ktk kujitambua sio kudharau ndoa yako, hiyo ni dhambi kubwa sana tunafanya. Shida iliyopo wanaume wengi siku hizi wanakimbia majukumu yao ya ubaba na ulezi ni sperm donors tu, ila hiyo haifanyi sababu ya mwanamke awe juu.๐Ÿ”จ

Duh sio mchezo mleta mada unaafya nzuri ya akili jitunze sana ukawe mwalimu wa hiki kizazi kinachokuja
 
Imagine....
Eti mtu akiwa financially stable/independent ndo haombi ruhusa kwa mumewe, anatoa tu taarifa kisa kila kitu kajigharamikia mwenyewe?! Stupid!!!
Hawa ndio wanaosababisha baadhi ya wanaume wawazuie wake zao kufanya kazi!
 
Kuna ambao ni hopeless lakini hana kipato. Kipato cha mtu hakiwezi kumbadili akawa mjinga kama biblia ilivyoandika.
Mimi naamini wasichana na wavulana wetu hatujawafundisha kuanzia wakiwa wadogo kuheshimu ndoa. By the way siyo ndoa tu haiheshimiwi, hata kazi ofisini na majumbani hamna anayejali. Tuna tatizo kubwa kwenye ngazi ya familia jinsi tunavyowalea watoto wetu.
Na tumeacha dini tumefata Dunia Lau tungefata Mungu anavotaka tusingekua na kizazi Cha fifty fifty
 
Back
Top Bottom