Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Waambie hao 😀Kabisaaa wee mpe mumeo utulivu na utulivu sie tunaupata kupitia tripple k;
Kuheshimiwa kula kugegeda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie hao 😀Kabisaaa wee mpe mumeo utulivu na utulivu sie tunaupata kupitia tripple k;
Kuheshimiwa kula kugegeda
Wakifeli hapo watajikuta tayari wameshapandishwa cheoKabisaaa wee mpe mumeo utulivu na utulivu sie tunaupata kupitia tripple k;
Kuheshimiwa kula kugegeda
Wee cheka tuu ndio ukweli wenyewe huo. Fanya hayo matatu nakwambia mumeo atakufulia hadi chupi zako🤣🤣🤣🤣
Nimeolewa zamaaaani.
Natarajia kuolewa hivi karibuni naomba uwe kungwi wangu😂😂😂Umemaliza kila kitu dada, shida ni kwamba wanawake tunataka kubeba majukumu ya wanaume, hasa hili jukumu la KUPENDA, mwanamke wake mi UTII, Kupenda sio Kazi yetu....kabla sijalijua hili niliteseka sana...
Mwanamke ukijifanya unampenda mwanaume utataka umcontrol, umpe pesa...which ni makosa makubwa sana (it is like you womanize him) we mtii mumeo, hakikisha unamtunza kuanzia jicho lake (ujiweke vizuri wewe na nyumba yako), pua yake (unukie vizuri), tumbo lake(mpikie chakula kizuri), mwili wake (mavazi yake yawe masafi) na masikio yake (asisikie maneno ya kero kutoka kwako)...
Hapo mwanaume asipokupenda huyo mgonjwa.
Tatizo Sisi tunajifanya haki Sawa, tunataka na Sisi tupende mwisho tunaishia kugombania password za simu...
NB. Hakuna usawa Kati ya mwanamke na mwanaume na hautokuja kutokea.... ukiona unatoka nyumbani huombi ruhusa Bali unatoa taarifa na ukirudi mume hata hakukosi Kosi na kibao, ujue hapo huna ndoa, tafuta shughuli nyingine ya kufanya
Ndoa ni UTUMWA na UTAPELIKataaa ndoa
Hongera sana na Karibuu.Natarajia kuolewa hivi karibuni naomba uwe kungwi wangu😂😂😂
Hongera! Mwanetu kapata mkeNimeolewa zamaaaani.
Kama ni kweli natamani niwepo nishuhudie siku unayoolewa mrembo 😀Natarajia kuolewa hivi karibuni naomba uwe kungwi wangu😂😂😂
[emoji23][emoji23] sawaMambo mrembo. Nimeamka nakuna pumbuz tuu hapa sina pakwenda hii wikend
Msalimie shemeji yetu andunje
Kama ni kweli natamani niwepo nishuhudie siku unayoolewa mrembo 😀
Nilikua napekua hii comment hatimae [emoji23][emoji23][emoji23]Mamy K baada ya yote mazuri uliyosema kuhusu mke mwema, naongezea mke pia awe mtundu kitandani mume atafurahi zaidi.
Mtuonyeshe mahaba kunoga msituonee aibu hakuna mume atakayekuona malaya bali atainjoi.
Fungukeni nini tuwafanyie mfurahie shoo
Kumbe tuna shemeji yetu andunje na hautuambii🤣🤣
Hiyo sentensi huwa siielewag [emoji23][emoji23] ebu nidadavulie vizuri
[emoji1787] mzabzab mpuuzi sana usimuamini huyoKumbe tuna shemeji yetu andunje na hautuambii[emoji1787][emoji1787]